The 1st 2013 Kenyan Presidential Debate

The 1st 2013 Kenyan Presidential Debate

Hivi Raila aliposema Migingo is a "piece of rock" haitamletea matatizo maana issue za mipaka huwa ni sensitiive..isije ikafika mahali na sisi tukasikia mgombea wetu aantuambia LAke nyasa ni kama Mindu tu
 
Ile kitu ya tarime inafanya Kazi... Ndio maana akaenda break kuongeza....


Mkuu si utani Kenyatta alikuwa akikamata hiyo kitu. Kuna ndugu yake mmoja ni rafiki yangu tulikutana ughaibuni akanisimulia juu ya huyu jamaa. Hata ukimuangalia midomo yake utagundua ukweli huo.
 
529843_4982809720997_613071353_n.jpg
 
Hahahaaa haya bana. Wewe nikumbushie machungu tu lakini jua kwamba Hillary atagombea tena 2016 na safari hii atashinda. Au umesahau kama mimi ni Team Clinton?

Halafu sidhani kama Uhuru anafanya vibaya kwenye huu mdahalo. The guy is very well-spoken and he knows his stuff.

Kwahiyo Hillary amejitoa serikalini ili ajipange kuingia kilingeni sio?
Uhuru anaweza kushinda kwa kubebwa na ukabila lakini hayuko composed kama Agwambo!
 
Nyani Ngabu, Martha is something else. I tell you I am proud of her.

Those who thinks women are weak, I urge them to listen to Martha.

She made my night.

Queen Esther

Wakati wa break profile yake ilisema ni "no nonsense barrister".
 
Mkuu mimi naona huyu Political Scientist cum economist, Mr. Kenyatta anamfunika Odinga kwenye huu mdahalo so far.

Naona amekosa mwelekeo baada ya kushambulia na issue ya ICC lakini hata Raila sijaona kama amefanya lamaana zaidi ya kujiandaa na vijembe kwa Kenyatta
 
Hivi Raila aliposema Migingo is a "piece of rock" haitamletea matatizo maana issue za mipaka huwa ni sensitiive..isije ikafika mahali na sisi tukasikia mgombea wetu aantuambia LAke nyasa ni kama Mindu tu

Kuna shida hapo. Kipande cha nchi unakiita a piece of rock! Kenyatta kalijibu vizuri sana hilo swali. Martha Karua akawatupia dongo executives wanaogombea urais kwamba hawakufanya lolote. Linus akamtupia swali hilo Raila, Raila akishia kusema a piece of rock!
 
Kwahiyo Hillary amejitoa serikalini ili ajipange kuingia kilingeni sio?
Uhuru anaweza kushinda kwa kubebwa na ukabila lakini hayuko composed kama Agwambo!

Uhuru is presidential material. In a head to head debate he will obliterate Raila to smithereens.

Raila atabaki anatangaza mpira usio na wachezaji wala mpira lol. Dongo la Sonko liliniacha hoi sana.
 
Naona amekosa mwelekeo baada ya kushambulia na issue ya ICC lakini hata Raila sijaona kama amefanya lamaana zaidi ya kujiandaa na vijembe kwa Kenyatta

Mkuu swali la ICC lilikuwa ni killer question lakini jamaa kajitahidi kupambana nalo na Kenneth akamsaidia.

Hii debate inanikumbusha ule mdahalo wa hapa Tanzania wa mwaka 1995 ambapo ulimporomosha Mzee wa Kilalacha na kumuinua Mzee wa Lupaso.
 
Kuna shida hapo. Kipande cha nchi unakiita a piece of rock! Kenyatta kalijibu vizuri sana hilo swali. Martha Karua akawatupia dongo executives wanaogombea urais kwamba hawakufanya lolote. Linus akamtupia swali hilo Raila, Raila akishia kusema a piece of rock!

Mi mwenyewe nimeshangaa kwa kauli yake hiyo...nadhani sio nzuri sana kwen jukwaa kama hilo,,,,bora jamaa aliyesema angepeleka navy na anajua waganda hawana navy...
 
Mkuu swali la ICC lilikuwa ni killer question lakini jamaa kajitahidi kupambana nalo na Kenneth akamsaidia.

Hii debate inanikumbusha ule mdahalo wa hapa Tanzania wa mwaka 1995 ambapo ulimporomosha Mzee wa Kilalacha na kumuinua Mzee wa Lupaso.

Kwa maoni yangu hii issue ya ICC, itamshusha sana Uhuru....si umesikia kijembe cha serikali ya skype? LOL

Ila huyu Julie wa Citizen huyu........

CC Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Mi mwenyewe nimeshangaa kwa kauli yake hiyo...nadhani sio nzuri sana kwen jukwaa kama hilo,,,,bora jamaa aliyesema angepeleka navy na anajua waganda hawana navy...

Huyo jamaa naye kachemsha. Very undiplomatic of him to say that. Je Waganda wakichukulia hiyo kauli kuwa ni ya kiuchokozi?
 
Back
Top Bottom