The 1st 2013 Kenyan Presidential Debate

The 1st 2013 Kenyan Presidential Debate

Mi mwenyewe nimeshangaa kwa kauli yake hiyo...nadhani sio nzuri sana kwen jukwaa kama hilo,,,,bora jamaa aliyesema angepeleka navy na anajua waganda hawana navy...
Nadhani kwa dharau hiyo hiyo ndo maana suala la Migingo halijashughulikiwa, maana Watendaji wenyewe ndo hao wenye kudharau kama hivyo.
Huyu Raila wakati mwingine mi simchuki serious sababu ya mambo yake hayo hayo!
Na kujifanya kwako mchezaji namba 9 sijui kafunga goli ngapi hadi sasa.
 
Kwa maoni yangu hii issue ya ICC, itamshusha sana Uhuru....si umesikia kijembe cha serikali ya skype? LOL

Ila huyu Julie wa Citizen huyu........

CC Nyani Ngabu

Mkuu serikali ya binamu yake Raila imenusa kwamba Knyatta yuko kwenye upande wa ushindi ikaamua kusema kwamba haitafanya kazi na wenye kesi kama wakichaguliwa.

Hili suala la ICC ilikuwa limumalize Kenyatta leo hii lakini jamaa kajitahidi kweli kweli kulijibu.
 
How can Uhuru Kenyatta speak of justice and equitable distribution of resources yet his family owns tens of thousands of acres of land in Tana River grabbed by his father Jomo Kenyatta?
 
Mkuu serikali ya binamu yake Raila imenusa kwamba Knyatta yuko kwenye upande wa ushindi ikaamua kusema kwamba haitafanya kazi na wenye kesi kama wakichaguliwa.

Hili suala la ICC ilikuwa limumalize Kenyatta leo hii lakini jamaa kajitahidi kweli kweli kulijibu.

Suala la ICC Wakenya wataamua tarehe 4, Machi.
 
Hahahaaaa another dose of common sense from Martha. Politicians don't fight each other!
 
Huyo jamaa naye kachemsha. Very undiplomatic of him to say that. Je Waganda wakichukulia hiyo kauli kuwa ni ya kiuchokozi?

nadhani inatakiwa Rais aliye firm..hata kwa 'mkwala' kama huo....wakichukulia ni uchokozi poa tu liwalo na liwe...maana kama wana uhakika kuwa migingo ni ya kwao, lakini Uganda wana jeshi la polisi ppale linalinda usalama, si uvamizi huo? kwa Siye tungeshatangaza vita kama ile ya Iddi Amin:becky: (ila sio na hii sirikali yetu hii)
 
nadhani inatakiwa Rais aliye firm..hata kwa 'mkwala' kama huo....wakichukulia ni uchokozi poa tu liwalo na liwe...maana kama wana uhakika kuwa migingo ni ya kwao, lakini Uganda wana jeshi la polisi ppale linalinda usalama, si uvamizi huo? kwa Siye tungeshatangaza vita kama ile ya Iddi Amin:becky: (ila sio na hii sirikali yetu hii)

I think it's important for someone who is vying for the presidency to refrain from comments that could be construed as hostile.
 
Mkuu serikali ya binamu yake Raila imenusa kwamba Knyatta yuko kwenye upande wa ushindi ikaamua kusema kwamba haitafanya kazi na wenye kesi kama wakichaguliwa.

Hili suala la ICC ilikuwa limumalize Kenyatta leo hii lakini jamaa kajitahidi kweli kweli kulijibu.

Unadhani wakikuyu na wakalenjin watapiga kura kwa kufuata maelekezo ya serikali ya binamu Barry?
 
Hivi wanaopiga Campain za Ukabila ni jubilee au? Naona Raila anawashambulia sana! Ila bottom line hii midahalo inajenga ideology ya taifa la kenya ni vizuri tukaiga 2015!
 
Mkuu swali la ICC lilikuwa ni killer question lakini jamaa kajitahidi kupambana nalo na Kenneth akamsaidia.

Hii debate inanikumbusha ule mdahalo wa hapa Tanzania wa mwaka 1995 ambapo ulimporomosha Mzee wa Kilalacha na kumuinua Mzee wa Lupaso.

For sure,... Safari ya urais wa nji hii ilipata hitilafu kubwa sana pale...wakati wenzie wanashusha nondo na sera yeye yuko busy na nilikamata sahabu, makyambasi, nimejenga vituo vya polisi nk.... I wonder kwanini JK na timu yake walikataa hii kitu 2010...may be alisoma alama za nyakati....Midahalo ni mizuri sana inasaidia kuwajua vizuri wagombea....
 
Uamsho anaboa kishenzi. He is just veering off from the questions.
 
Back
Top Bottom