The 2019 NBA Playoffs

The 2019 NBA Playoffs

Kama unanisema mimi umekosea sana, mimi ni shabiki mkubwa wa michezo na kwa sasa Basketball. Niliwahi kuangalia soka wakati timu ya England ikipambana na Brazil mwaka 1970 (je ulikuwa umezaliwa?) Alikuwepo mchezaji moja wa Brazil anaitwa Pele au mchawi wa soka ila jina lake halisi lilikuwa Edson Arantes do Nascimento, na kweli alikuwa mchawi wa soka. Wakati huo England inao wachezaji hatari kama akina Bobby Moore na golikipa machachari akiitwa Gordon Banks.

England walijua wazi kabisa kuwa Pele hawezekani na hivyo wakaamua kwamba kila mchezaji anayekutana na Pele ahakikishe kwamba kimoja tu kinapita...ama mchawi au mpira. Siku hiyo England walivunja rekodi kwa kumkata Pele madaluga hadi ilibidi Pele atolewe uwanjani. Pamoja na kufanyiwa vituko vyote hivyo, heshima ya Pele ilibaki pale pale kama mchawi wa soka. Hivyo hivyo ukiona vituko Curry anafanyiwa uwanjani awe na mpira au hana lakini pamoja na hayo Curry naye kaandika historia!
Kwa ufupi ni kwamba kwenye playoffs watu wanamuwinda Curry na kumsahau KD. Kuhusu Historia ya Steph sidhani kama kuna mtu ataweza kuifikia ya huyu jamaa anaongoza 3 za playoffs hata michezo mia (kama sikosei) hajafikia [emoji2][emoji2] Wanaofuata wakila Rey Allen wana mbili na sabini na kitu huko ..... balaaa
 
Ni kweli, games nyingi zinakuwa decided na maamuzi ya referees, ziko fouls zisizohitaji kuwa called na zipo zinazohitaji kuwa called lakini wapi!
Kama game one ya warriors na rockets, referees wameamua ile game
 
Mkeka Wa Leo
IMG_20190506_192228.jpeg
 
Kwa ufupi ni kwamba kwenye playoffs watu wanamuwinda Curry na kumsahau KD. Kuhusu Historia ya Steph sidhani kama kuna mtu ataweza kuifikia ya huyu jamaa anaongoza 3 za playoffs hata michezo mia (kama sikosei) hajafikia [emoji2][emoji2] Wanaofuata wakila Rey Allen wana mbili na sabini na kitu huko ..... balaaa
Ray Allen, when asked if Curry was the greatest 3pt shooter had this to say...

"Based on what he’s done, I think he has to be—he’s on his way to being the best ever. He’s creating a lane all of his own. People comparing him to me, to Reggie [Miller]. But I think Steph is in a category of his own.

Just being able to have great handles the way he has with the ball, to be able to score at will by getting to the basket. Myself, Reggie Miller, Kyle Korver, Klay Thompson—we play a different game. We’re shooters. We come off screens, pindowns—Steph can do that, but he’s creating a different lane."
 
  • Thanks
Reactions: BAK
I am watching Mkuu hopefully Celtics will tie the series tonight 2-2. It is a very crucial game for Celtics to win otherwise their season will be over in few days.

Quarter one is over, Celtics are up by 8.
 
I am watching Mkuu hopefully Celtics will tie the series tonight 2-2. It is a very crucial game for Celtics to win otherwise their season will be over in few days.

Man, looks like Milwaukee have Boston's number, the lead is now 2 points. Heading to halftime.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tied series 2-2
 
What a game! Good efforts by both teams.
 
Hii speed waliyoamka nayo GSW quarter ya mwisho si mchezo
 
Kwa hii michezo miwili, Rockets wameonesha uwezo mkubwa wa kutungua tatu tatu! Wamefunga 17 huku Warrios wakiambulia 6 tu. Haya sasa ni 2-2 na tunahamia Oracle Arena kwa mchezo wa tano. Je ukame wa tatu tatu kwa Warriors utaendelea au mambo yatabadilika? Katika majaribio kumi Steph Curry kaambulia mbili tu...maajabu haya! Hata hivyo hongera sana Rockets kwa kusawazisha na kuwaacha mashabiki wa GSW roho juu, good luck!
 
Kwa hii michezo miwili, Rockets wameonesha uwezo mkubwa wa kutungua tatu tatu! Wamefunga 17 huku Warrios wakiambulia 6 tu. Haya sasa ni 2-2 na tunahamia Oracle Arena kwa mchezo wa tano. Je ukame wa tatu tatu kwa Warriors utaendelea au mambo yatabadilika? Katika majaribio kumi Steph Curry kaambulia mbili tu...maajabu haya! Hata hivyo hongera sana Rockets kwa kusawazisha na kuwaacha mashabiki wa GSW roho juu, good luck!
Hivi GsW Wana hali Gani Mpaka Sasa
 
Kahwi is so good but very unfortunately he won’t stay with the Raptors and it is a huge gap to feel next season.

Mashabiki Wa Kawhi Wanasema Kawhi Had been the most CONSISTENT PALAYER on both ends of the floor in the playoff
 
Back
Top Bottom