The Advantage of being a latecomer: Yanga tunalo la kujifunza kwa Simba

Ni kweli mkuu uwajibakaji na uwazi ni mdogo sana kwenye masuala ya hela lakini naamini ni mwanzo tutazidi kupiga hatua ila kumshawishi mtanzania atoe hela ni rahisi kwa kuongea lakini kwa vitendo ni ngumu sana.
So far tumepiga hatua fulani. Tunaingia Phase 2 sasa.
 
Chief kusema ni rahisi ila utekelezaji wake sio mrahisi kiivo km hilo la vinywaji sidhani kama sheria za nchi zinaruhusu
 
Nimekumbuka maoni yangu, SIMBA inakwamishwa na MO.
 
Una point ila mwisho huku sijui umechoka, umeamua kufupisha kwa ku balance usionekane unapendelea upande mmoja.
 
Una point ila mwisho huku sijui umechoka, umeamua kufupisha kwa ku balance usionekane unapendelea upande mmoja.
Hakuna nilipopendelea. Nimekua wazi kutoa angalizo kwa timu yangu ya Yanga. Tujifunze kwa Makosa ya Simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…