adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Haha boss umenifanya niangue kicheko asbh asbhFIFA ni genge la wahuni tu
Mpira mchezo wa takwimu mzee baba, Je modric ni kiungo mkabaji au mshambuliaji?
Kama ni kiungo mshambuliaji, Je alikuwa na assist ngapi kwenye UCL, La liga na World Cup last season?
Kama ni kiungo mkabaji, Je alipokonya mipira mara ngapi kwenye hizo competition zote?
Je alipiga accurate pass ngapi? Unaposema alikuwa anatawala dimba la kati uwe na takwimu pia, kama huna takwimu utakuwa mbabaishaji, Kwa Worldcup kwangu Pogba alicheza vizuri sana than Modric na bila kupepesa macho kabisa nakiri kwa kusema Kylian Mbappe ndio alikuwa mchezaji bora wa mashindano.
Hivi uwezo binafsi ni nini??? Ni kufunga magoli mengiiiiii halafu kuchukua La Liga, na kushindwa kuisaidia timu yako ya taifa walau kufika fainali kwa mwaka husika na kisha kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa FIFA
Vile vile uwezo binafsi huohuo ndio uliowaweka Marcelo ,modric na Ramos kwenye best 11,
Hao ndio FIFA na wapigakura wao
Ukisoma utafikiri tumewahi hata kuchukua kombe la Africa Tz au hata Club bingwa kwa vilabu vyetu huku.Wabongo katika ubora wao wa kulalama...wanashindana na fifa utafkiri wao ndio wamepiga hizo kura....wakati mwingine elimu inamtoa mtu ujinga...
Yani unajaribu kumuelewesha mtu haelewi tu, unamwambia hii ni individual performance anabisha tu...kumbe wabishi tunao wengi na sio wahehe tu...
Yaani umenifanya nicheka sana comment hii, big up!Ukisoma utafikiri tumewahi hata kuchukua kombe la Africa Tz au hata Club bingwa kwa vilabu vyetu huku.
Kila mtu mjuaji huku bongo..kila mtu mchambuzi anajua mpira..
Wanafikiri FIFA kama kigenge cha Kahawa vile...
Binafsi toka Kizazi kila cha Gaucho na wenzake ni nani wanafanya jitihada hasa binafsi kutufanya tuangalie mpira.
Ronaldo huku Messi hawa jamaa ni Almighty amewapa nafasi na wakaitumia haswa.
Sijawahi kusikia humu Liver,City,PSG au Bayern zikizingua wanaongelewa individual prayer..ila popote alipo Ronaldo au Messi siku nzima tunakosa usingizi humu.
Binafsi nitazidi kusema wapewe tu wanastahili mno maana hao waliobaki hatuoni mambo yao kama hawa wawili.Na ndio maana si rahisi sana kuwajua mpaaka utafute weee na tochi ndio uone.
Mchezaji mzuri hana tofauti na kufanya ngono chumbani halafu mimba tunaona jamii nzima.
Next year nikimaanisha msimu huu Ronaldo afanye yake naye mwakani anachukua.Wapaka mipira rangi waendelee kusubiri huruma za wana humu na vilio vilio ili wapate huko mbeleni.
View attachment 1215780
View attachment 1215782
Watabaki kuwa icon daima hawa jamaa.FIFA wanaelewa sana mchango wa hawa washikaji wawili.
Kama vipi tukakate rufaa huko mbele ....
HahahahahahahahahahahahahahahahaWabongo katika ubora wao wa kulalama...wanashindana na fifa utafkiri wao ndio wamepiga hizo kura....wakati mwingine elimu inamtoa mtu ujinga...
Yani unajaribu kumuelewesha mtu haelewi tu, unamwambia hii ni individual performance anabisha tu...kumbe wabishi tunao wengi na sio wahehe tu...
Hivi uwezo binafsi ni nini??? Ni kufunga magoli mengiiiiii halafu kuchukua La Liga, na kushindwa kuisaidia timu yako ya taifa walau kufika fainali kwa mwaka husika na kisha kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa FIFA
Vile vile uwezo binafsi huohuo ndio uliowaweka Marcelo ,modric na Ramos kwenye best 11,
Hao ndio FIFA na wapigakura wao
Ukisoma utafikiri tumewahi hata kuchukua kombe la Africa Tz au hata Club bingwa kwa vilabu vyetu huku.
Kila mtu mjuaji huku bongo..kila mtu mchambuzi anajua mpira..
Wanafikiri FIFA kama kigenge cha Kahawa vile...
Binafsi toka Kizazi kila cha Gaucho na wenzake ni nani wanafanya jitihada hasa binafsi kutufanya tuangalie mpira.
Ronaldo huku Messi hawa jamaa ni Almighty amewapa nafasi na wakaitumia haswa.
Sijawahi kusikia humu Liver,City,PSG au Bayern zikizingua wanaongelewa individual prayer..ila popote alipo Ronaldo au Messi siku nzima tunakosa usingizi humu.
Binafsi nitazidi kusema wapewe tu wanastahili mno maana hao waliobaki hatuoni mambo yao kama hawa wawili.Na ndio maana si rahisi sana kuwajua mpaaka utafute weee na tochi ndio uone.
Mchezaji mzuri hana tofauti na kufanya ngono chumbani halafu mimba tunaona jamii nzima.
Next year nikimaanisha msimu huu Ronaldo afanye yake naye mwakani anachukua.Wapaka mipira rangi waendelee kusubiri huruma za wana humu na vilio vilio ili wapate huko mbeleni.
View attachment 1215780
View attachment 1215782
Watabaki kuwa icon daima hawa jamaa.FIFA wanaelewa sana mchango wa hawa washikaji wawili.
Kama vipi tukakate rufaa huko mbele ....
Bwana wee kuna mambo ujue weusi tunazingua sana.Yaani umenifanya nicheka sana comment hii, big up!
Barcelona au juve zikifungwa amefungwa messi na Ronaldo afu Liverpool akifungwa amefungwa Liverpool[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Jinsi roho zetu zilivyo pana zaidi hahaha...wamefungua na uzi mwingine wanaulizana utofauti wa balon d or na fifa world player of the yearWabongo tushawazoea kamanda...mti wenye matunda siku zote hupigwa mawe π π
Kitu pekee nachojua mpaka sasa kati ya Messi na Ronaldo.Ni hii UEFA iliyoanza.
Team wanazocheza zitakapozingua matokeo.Huwa wanatajwa watu wawili tu humu...
MESSI kazingua
Ronaldo kazingua..
Halafu unakuja kusikia hapa kelele kibao kuhusu hawa watu wawili.Miaka hii ya karibuni sijawahi sikia majina yenye pilika mingi mno kama haya mawili.
FIFA inawapa mnachopenda bado mnalalamika.
Watu mpaka wanapasuana na vyupa ukianza ubishi wa Messi na Ronaldo...
wacha wapewe tuzo hizo mpaka wafe...wengine wasubiri kwanza muda wao.Wajikaze......hao jamaa wanahangaikia familia zao eti.
Hivi uwezo binafsi ni nini??? Ni kufunga magoli mengiiiiii halafu kuchukua La Liga, na kushindwa kuisaidia timu yako ya taifa walau kufika fainali kwa mwaka husika na kisha kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa FIFA
Vile vile uwezo binafsi huohuo ndio uliowaweka Marcelo ,modric na Ramos kwenye best 11,
Hao ndio FIFA na wapigakura wao
Kama unataka takwimu unaweza ukakuta Lampard ni bora kuliko Zidane. Vijana wa sasa uelewo wenu wa Football ni waajabu kabisa.
Kwa kuzingatia takwimu hata Maradona anaweza akakosa hata top 20 ya wachezaji wa dunia.
Na kusema kuwa Pogba alicheza vizuri kuliko Modric world cup ni vichekesho vikubwa.
Ukisoma utafikiri tumewahi hata kuchukua kombe la Africa Tz au hata Club bingwa kwa vilabu vyetu huku.
Kila mtu mjuaji huku bongo..kila mtu mchambuzi anajua mpira..
Wanafikiri FIFA kama kigenge cha Kahawa vile...
Binafsi toka Kizazi kila cha Gaucho na wenzake ni nani wanafanya jitihada hasa binafsi kutufanya tuangalie mpira.
Ronaldo huku Messi hawa jamaa ni Almighty amewapa nafasi na wakaitumia haswa.
Sijawahi kusikia humu Liver,City,PSG au Bayern zikizingua wanaongelewa individual prayer..ila popote alipo Ronaldo au Messi siku nzima tunakosa usingizi humu.
Binafsi nitazidi kusema wapewe tu wanastahili mno maana hao waliobaki hatuoni mambo yao kama hawa wawili.Na ndio maana si rahisi sana kuwajua mpaaka utafute weee na tochi ndio uone.
Mchezaji mzuri hana tofauti na kufanya ngono chumbani halafu mimba tunaona jamii nzima.
Next year nikimaanisha msimu huu Ronaldo afanye yake naye mwakani anachukua.Wapaka mipira rangi waendelee kusubiri huruma za wana humu na vilio vilio ili wapate huko mbeleni.
View attachment 1215780
View attachment 1215782
Watabaki kuwa icon daima hawa jamaa.FIFA wanaelewa sana mchango wa hawa washikaji wawili.
Kama vipi tukakate rufaa huko mbele ....
Haha boss umenifanya niangue kicheko asbh asbh
Akitwaa Messi inakuwa tatizo kwao, na kupelekea kusema "FIFA ni genge la wahuni" [emoji2]π Mara oh tuzo za siku hizi zimepoteza mvuto...but akitwaa another player wala hamna shida [emoji2][emoji2]kosa atwae La purga tu povu linawatoka hawa wajomba....umasikini pia unachangia huu ujinga..
Hawa jamaa hawana hoja za msingi, ukiwauliza wanataka VVD apewe mchezaji bora wa dunia kwa lipi? Wengi wao watasema kwakuwa kabeba uefa, wanasahau kama makombe basi alisson becker kabeba uefa na copa america na kwanini asipewe yeye.
Tukiwaletea takwimu za Messi na kuwaambia walete takwimu za VVD hawafanyi hivyo na wanabaki wakilalama tu.
Beki kumpa uchezaji bora wa dunia kwa mpira wa kisasa ni ngumu sana kwakuwa mpira wa kisasa ni mchezo wa namba.
Haiwezekani mtu aliekimbia kilometre 8 dani ya dakika 90 alinganishwe na mtu aliekimbia kilometre 3 ndani ya dakika 90 na ndio maana hata mishahara yao mabeki na makipa si mikubwa sana kulinganisha na wachezaji wenzao, kazi wanayofanya washambuliaji na viungo ni ngumu sana na wanastahili kupata kile wanachopata.
Jinsi roho zetu zilivyo pana zaidi hahaha...wamefungua na uzi mwingine wanaulizana utofauti wa balon d or na fifa world player of the year
Jinsi tulivyo na roho pana kuna uzi mmoja kuna mtu alimchambua yule mtanzania mwenzetu Samatta wacha kabisa.
Nawashauri tujipange kuanzisha tuzo tofauti na FIFA ili tuwape wakwetu na sie.