The Best FIFA Football Awards 2019: Messi atwaa tuzo ya Mchezaji bora, Klopp awa Kocha bora

The Best FIFA Football Awards 2019: Messi atwaa tuzo ya Mchezaji bora, Klopp awa Kocha bora

Mkuu tuache unafiki, Nje ya kubeba uefa virgil is nothing, perfomance yake huwezi ilinganisha hata na Bernado Silva, Virgil hakustahili hata kidogo, tena hata kuingia kwenye top 3 naona ni jambo la kushangaza kwangu mimi, kuna wachezaji walistahili hiyo nafasi, Mfano Sadio Mane kwa liverpool na sio virgil.

Kwakuwa mpira ni mchezo wa namba basi namba zinambeba sana Messi than hao top 3 ambao aliingia nao yaani Virgil na Cr7, hata kama hatumpendi la pulga na tumechoka kumwona hiyo haifanyi perfomance yake tuifumbie macho.

Kitu tunachotakiwa kujua ni kuwa kuwa mchezaji bora ni perfomance na sio kuchukua makombe, Chelsea 2012 walibeba uefa ila katika team yao hakuna hata mchezaji mmoja alieingia kwenye hata 11 eleven ya fifa.

So tusizunguke mbuyu, the man deserve it kwa kiwango chake mwaka huu.
Naona Mkuu umeamua usipepese macho, umepiga penyewe.
 
1569302344521.png

😀 😀 😀 😀 😀 😀 😎😎 Huyo Bro Bwana.
 
Tatizo huyu jamaa kawa kwenye kiwango kwa muda mrefu so watu wamemchoka kila siku kuona anapata yeye, watu wanataka mageuzi bila hata ya kutoa jasho.

Last year tuzo aliyopewa Modric watu hawakuzungumza kwakuwa alipewa mwingine nje ya cr7 na Messi ila walisahau kama walitaka apewe mwenye mafanikio kwa kubeba makombe basi wangempa Varane.

Wengi wetu tunaotaka apewe Virgil ukiuliza kwanini apewe yeye lazima tutasema kwakuwa kabeba uefa na huku tumesahau kuwa Alisson becker kabeba uefa na copa america sasa kwanini tusimpe alisson becker kama issue ni kubeba makombe?

Kwa mwaka huu, nje ya Bernado Silva na kidogo Reheem Stearling sioni mwingine ambae alikuwa na kiwango bora than La Pulga.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, Messi alistahili hii tuzo, yaani mtu akimbie kilometre 8, afunge magoli zaidi ya 40, assist zaidi ya 15, hatrick za kutosha, vyenga vya kutosha afu tuzo apewe mtu kakimbia kilometre 3, kazi yake ni kusimama na kukaba tu na kwenda kufunga magoli ya vichwa?

Hapana, suluhisho ni kwa mabeki kama walivyo makipa watengenezewe tuzo zao, huwezi linganisha kazi wanayofanya Salah na Mane na kazi wanayofanya Matip na Virgil.

Usain Bolt au Tyson gay apewe tuzo yake na David Rudisha apewe tuzo yake, kuwapa malipo sawa wakimbiaji wa marathon(Messi) na hawa wa mita 200 (Virgil) si haki kabisa.
Naona post zako haters wanazikimbia, aibu imewashika wanashindwa kukujibu.
 
Kwa kweli jana FIFA wamechemka, mimi mpaka leo nashindwa kujuwa vigezo. Navyojuwa inaangaliwa msimu mzuri kwa mchezaji mwaka ule sio history. Ok ni kweli Messi ni mchezaji bora sana lakini hakufanya vizuri mwaka huu lakini wamempa na mbaya zaidi jana bahasha haijafunguliwa Messi kishafika nyuma ya stage je majibu yanapangwa? nisieleweke labda simkubali Messi hapana ni bora sana tu lakini sio mwaka huu. tuache huko FIFA 11 eti Marcelo kachaguliwa jamani kwa lipi? kuna full back 2 za Liverpool walikuwa bora kabisa mwaka huu. Marcelo??? team 4 za EPL zilikuwa final leo wanakuja wanasema wachezaji wawili wa Ajax sababu tu walikuwa na msimu mzuri kuisaidia Ajax nusu final sasa wale waliofikisha team zao final? Sadio Mane kaisaidia Liverpool ubingwa wa ulaya na Senegal final za Africa nje. kweli nimeamini Nike na Adidas ndio wanaushawishi mkubwa. ndio maana Ronaldo jana hata kwenda hakwenda utasema aliambiwa Messi atapewa ingekuwa VVD angeenda. FIFA watuambie tu vigezo ni nini? eti Modric sijui Marcelo kwa lipi hasa team zao wanapigwa bench hii kuwakosea heshima wachezaji wengine. Ramos alikuwa na msimu mbovu na Real eti beki bora hapana kwa maoni yangu jana sio sawa. Messi mchezaji mzuri duniani? Yes. je mwaka huu alikuwa best? NO

Yes, sehemu nyingine zote nimekuelewa kuhusu hao wachezaji wengine ila hapo kwa Messi hapana.

Unaposema Messi hakuwa na kiwango bora last season unamaanisha nini?
Nani mfungaji bora wa uefa?
Nani mfungaji bora la liga?
Nani top assist uefa?
Nani top assist la liga?
Nani mfungaji bora ulaya/Dunia mzima?

Siku nyingine jifunze kutofautisha kati ya kubeba makombe na overall perfomance ya mchezaji.

Kumbuka unaweza kuwa na msimu mzuri ila usibebe makombe, na tumeyaona hayo kwa misimu kadhaa nyuma, Luis Suarez hakubeba kitu chochote ila alikuwa player of the year akiwa liverpool kwa ligi ya england.

Kwa mwaka huu hakuna mchezaji ambae alimkaribia Messi, labda kidogo Bernado Silva kwa kiwango bora na kwa hao alioingia nao top 3 kiukweli andunje alistahili kubeba hiyo tuzo.
 
Mbona hao UEFA hawakumpa? maana haya yote kayafanya Europe ije kuwa FIFA ambao hatujui vigezo vyao.

Jibu: Uefa wanaandaa UCL, EUROPA LEAGUE kwa ngazi ya vilabu so lazima focus yao ingekuwa hapo kwenye kubeba champions ligi na sio overall perfomance na tumeona hivyo kwa misimu kadhaa nyuma.

Kumbuka kubeba uefa hakukufanyi wewe uwe bora bali ubora wako unatokana na overall perfomance ya msimu mzima.

Yaani fifa wampe mchezaji bora beki? Kwa kazi gani ambayo anafanya? Yaani kusimama na kupiga vichwa mipira na zile tackling huku akiwa kakimbia kilometre 3 ndani ya dakika 90?

Hapana, hapana, hapana kwangu mimi mchezaji aliekuwa kwenye kiwango bora last season kwa Liverpool ni Sadio Mane na Bernado Silva kwa mancity ila kwa Dunia mzima Messi alikuwa best zaidi ya hao niliowataja na takwimu zinambeba, kumbuka mpira ni mchezo wa namba
 
Jibu: Uefa wanaandaa UCL, EUROPA LEAGUE kwa ngazi ya vilabu so lazima focus yao ingekuwa hapo kwenye kubeba champions ligi na sio overall perfomance na tumeona hivyo kwa misimu kadhaa nyuma.

Kumbuka kubeba uefa hakukufanyi wewe uwe bora bali ubora wako unatokana na overall perfomance ya msimu mzima.

Yaani fifa wampe mchezaji bora beki? Kwa kazi gani ambayo anafanya? Yaani kusimama na kupiga vichwa mipira na zile tackling huku akiwa kakimbia kilometre 3 ndani ya dakika 90?

Hapana, hapana, hapana kwangu mimi mchezaji aliekuwa kwenye kiwango bora last season kwa Liverpool ni Sadio Mane na Bernado Silva kwa mancity ila kwa Dunia mzima Messi alikuwa best zaidi ya hao niliowataja na takwimu zinambeba, kumbuka mpira ni mchezo wa namba
Namba hazidanganyi kabisa.Shida ni tunaukwepa ukweli kisa tu tuna mapenzi.Haya mambo ndio yanatupoteza sana huku bongo.
 
Yes, sehemu nyingine zote nimekuelewa kuhusu hao wachezaji wengine ila hapo kwa Messi hapana.

Unaposema Messi hakuwa na kiwango bora last season unamaanisha nini?
Nani mfungaji bora wa uefa?
Nani mfungaji bora la liga?
Nani top assist uefa?
Nani top assist la liga?
Nani mfungaji bora ulaya/Dunia mzima?

Siku nyingine jifunze kutofautisha kati ya kubeba makombe na overall perfomance ya mchezaji.

Kumbuka unaweza kuwa na msimu mzuri ila usibebe makombe, na tumeyaona hayo kwa misimu kadhaa nyuma, Luis Suarez hakubeba kitu chochote ila alikuwa player of the year akiwa liverpool kwa ligi ya england.

Kwa mwaka huu hakuna mchezaji ambae alimkaribia Messi, labda kidogo Bernado Silva kwa kiwango bora na kwa hao alioingia nao top 3 kiukweli andunje alistahili kubeba hiyo tuzo.
Watakuelewa tu.
 
Mkuu tuache unafiki, Nje ya kubeba uefa virgil is nothing, perfomance yake huwezi ilinganisha hata na Bernado Silva, Virgil hakustahili hata kidogo, tena hata kuingia kwenye top 3 naona ni jambo la kushangaza kwangu mimi, kuna wachezaji walistahili hiyo nafasi, Mfano Sadio Mane kwa liverpool na sio virgil.

Kwakuwa mpira ni mchezo wa namba basi namba zinambeba sana Messi than hao top 3 ambao aliingia nao yaani Virgil na Cr7, hata kama hatumpendi la pulga na tumechoka kumwona hiyo haifanyi perfomance yake tuifumbie macho.

Kitu tunachotakiwa kujua ni kuwa kuwa mchezaji bora ni perfomance na sio kuchukua makombe, Chelsea 2012 walibeba uefa ila katika team yao hakuna hata mchezaji mmoja alieingia kwenye hata 11 eleven ya fifa.

So tusizunguke mbuyu, the man deserve it kwa kiwango chake mwaka huu.
Eti VVD hakustahili kuwa huruma basi....Angekuwa mchezaji bora wa EPL?????kwan B.silva,Mane Hawakuwepo??????.....FIFA NI UOZO IPO KIBIASHARA BASI.....
 
Jibu: Uefa wanaandaa UCL, EUROPA LEAGUE kwa ngazi ya vilabu so lazima focus yao ingekuwa hapo kwenye kubeba champions ligi na sio overall perfomance na tumeona hivyo kwa misimu kadhaa nyuma.

Kumbuka kubeba uefa hakukufanyi wewe uwe bora bali ubora wako unatokana na overall perfomance ya msimu mzima.

Yaani fifa wampe mchezaji bora beki? Kwa kazi gani ambayo anafanya? Yaani kusimama na kupiga vichwa mipira na zile tackling huku akiwa kakimbia kilometre 3 ndani ya dakika 90?

Hapana, hapana, hapana kwangu mimi mchezaji aliekuwa kwenye kiwango bora last season kwa Liverpool ni Sadio Mane na Bernado Silva kwa mancity ila kwa Dunia mzima Messi alikuwa best zaidi ya hao niliowataja na takwimu zinambeba, kumbuka mpira ni mchezo wa namba
Hujui Maana ya UEFA....Labda nikwambie tuu UEFA ni Kama CAF Afrika au Kama CONCAFA amerika kaskazin au kama CONMEBOL amerika kusini...So haiongozi vilabu tuuu...hadi Nationa team na michezo yote Barani Ulaya ya Football
 
Tatizo huyu jamaa kawa kwenye kiwango kwa muda mrefu so watu wamemchoka kila siku kuona anapata yeye, watu wanataka mageuzi bila hata ya kutoa jasho.

Last year tuzo aliyopewa Modric watu hawakuzungumza kwakuwa alipewa mwingine nje ya cr7 na Messi ila walisahau kama walitaka apewe mwenye mafanikio kwa kubeba makombe basi wangempa Varane.

Wengi wetu tunaotaka apewe Virgil ukiuliza kwanini apewe yeye lazima tutasema kwakuwa kabeba uefa na huku tumesahau kuwa Alisson becker kabeba uefa na copa america sasa kwanini tusimpe alisson becker kama issue ni kubeba makombe?

Kwa mwaka huu, nje ya Bernado Silva na kidogo Reheem Stearling sioni mwingine ambae alikuwa na kiwango bora than La Pulga.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, Messi alistahili hii tuzo, yaani mtu akimbie kilometre 8, afunge magoli zaidi ya 40, assist zaidi ya 15, hatrick za kutosha, vyenga vya kutosha afu tuzo apewe mtu kakimbia kilometre 3, kazi yake ni kusimama na kukaba tu na kwenda kufunga magoli ya vichwa?

Hapana, suluhisho ni kwa mabeki kama walivyo makipa watengenezewe tuzo zao, huwezi linganisha kazi wanayofanya Salah na Mane na kazi wanayofanya Matip na Virgil.

Usain Bolt au Tyson gay apewe tuzo yake na David Rudisha apewe tuzo yake, kuwapa malipo sawa wakimbiaji wa marathon(Messi) na hawa wa mita 200 (Virgil) si haki kabisa.
Hahah! Mkuu umemaliza kila kitu, jamaa anaupiga mwingi kwa miaka mingi mpaka wamezoea wanaona kawaida sasa ....

Wakiongelea ndoo basi waseme anaestahili ni B. Silva, Mahrez au Allison kwa mbaaali
 
Back
Top Bottom