The Best FIFA Football Awards 2019: Messi atwaa tuzo ya Mchezaji bora, Klopp awa Kocha bora

The Best FIFA Football Awards 2019: Messi atwaa tuzo ya Mchezaji bora, Klopp awa Kocha bora

De jong
Modric
Marcelo
Ramos
Kwenye kikosi bora cha mwaka wanafanya nini humo..?
Eriksen
Robertson
B.Silva
Mane ... wamehuniwa hawa watu.
Mkuu kweli hadi De jong unamashaka juu ya uwepo wake hapo?
 
This Messi thing akapenchingwana!

Hakuna cha virgin deki wala Renata, soka lina mguu wake bana. Kura wamepiga makapteni na makocha, lawama zinaenda FIFA, kwanini mnafananisha hiyo tuzo na uchaguzi wa Tanzania?
 
Kwa kweli jana FIFA wamechemka, mimi mpaka leo nashindwa kujuwa vigezo. Navyojuwa inaangaliwa msimu mzuri kwa mchezaji mwaka ule sio history. Ok ni kweli Messi ni mchezaji bora sana lakini hakufanya vizuri mwaka huu lakini wamempa na mbaya zaidi jana bahasha haijafunguliwa Messi kishafika nyuma ya stage je majibu yanapangwa? nisieleweke labda simkubali Messi hapana ni bora sana tu lakini sio mwaka huu. tuache huko FIFA 11 eti Marcelo kachaguliwa jamani kwa lipi? kuna full back 2 za Liverpool walikuwa bora kabisa mwaka huu. Marcelo??? team 4 za EPL zilikuwa final leo wanakuja wanasema wachezaji wawili wa Ajax sababu tu walikuwa na msimu mzuri kuisaidia Ajax nusu final sasa wale waliofikisha team zao final? Sadio Mane kaisaidia Liverpool ubingwa wa ulaya na Senegal final za Africa nje. kweli nimeamini Nike na Adidas ndio wanaushawishi mkubwa. ndio maana Ronaldo jana hata kwenda hakwenda utasema aliambiwa Messi atapewa ingekuwa VVD angeenda. FIFA watuambie tu vigezo ni nini? eti Modric sijui Marcelo kwa lipi hasa team zao wanapigwa bench hii kuwakosea heshima wachezaji wengine. Ramos alikuwa na msimu mbovu na Real eti beki bora hapana kwa maoni yangu jana sio sawa. Messi mchezaji mzuri duniani? Yes. je mwaka huu alikuwa best? NO
pale mngoni anapojaribu kuchambua mpira
 
Yes, sehemu nyingine zote nimekuelewa kuhusu hao wachezaji wengine ila hapo kwa Messi hapana.

Unaposema Messi hakuwa na kiwango bora last season unamaanisha nini?
Nani mfungaji bora wa uefa?
Nani mfungaji bora la liga?
Nani top assist uefa?
Nani top assist la liga?
Nani mfungaji bora ulaya/Dunia mzima?

Siku nyingine jifunze kutofautisha kati ya kubeba makombe na overall perfomance ya mchezaji.

Kumbuka unaweza kuwa na msimu mzuri ila usibebe makombe, na tumeyaona hayo kwa misimu kadhaa nyuma, Luis Suarez hakubeba kitu chochote ila alikuwa player of the year akiwa liverpool kwa ligi ya england.

Kwa mwaka huu hakuna mchezaji ambae alimkaribia Messi, labda kidogo Bernado Silva kwa kiwango bora na kwa hao alioingia nao top 3 kiukweli andunje alistahili kubeba hiyo tuzo.
Na ndio maana nimesema kama vigezo ni UEFA sasa iweje UEFA hawakumpa Messi mchezaji bora ulaya. Kuna siku nimemsikia Klop akisema huwezi kuwa bora Ulaya halafu unasikia watu wanasema Man city bora duniani. Messi ni mchezaji mzuri tena sana wa kiwango cha kipekee. swali ni vipi asiwe bora Ulaya halafu akawa duniani?? hivi vigezo vinautata sana mwaka jana alikuwa Modric kwani alifunga magoal mangapi?
 
Kama hizo statistics hazikushawishi kuwa La pulga ni bora basi haumpendi binafsi na sio professionally
nashindwa kueleweka, Mimi naamini kabisa hakuna mchezaji kama Messi kwa miaka aliyocheza na wala siamini kama Ronaldo anamshinda Messi ila hivi vigezo leo mnatoa sababu Messi je mwaka jana Modric ni vigezo gani?? mfungaji bora, assist nyingi au kushinda UEFA
 
Ronaldo funs mna shida sana

Liverpool funs hata hawalalamiki na isitoshe VVD amempigia kura Messi sasa wewe mtu Ubungo kibangu unalalamika nini?
Mimi nadhani ungeacha kuni quote sababu matusi sio sehemu yake ni hoja tu maana navyojuwa mimi hunijui lakini pia watu wanaoishi Ubungo pia ni watu kama wewe tu. ila ajabu huyu wa ubungo hatukani wa kukushifu wewe wa Masaki unatukana na kejeli ndio utajuwa nafasi yako.
 
pale mngoni anapojaribu kuchambua mpira
Huwa nashangaa watu badala ya kuleta hoja wanaleta dharau kwa baadhi ya makabila hiyo inaonesha ni mtu wa aina gani. hayo ni maoni yangu na wewe unaweza kuwa na yako sasa hayo ya Mngoni una issue zako binafsi maana navyojuwa ni watu kama wewe tu
 
Hongera sana mess ata kama haupo umu Jf.

Fifa wameona ni bora kwa mwaka huu na wamekupa tuzo.

Wavimba macho wa kibongo tukomae na kichwa cha mwendawazimu wetu tusilalamikie wanao jua nn maana ya mpira, team Ronald kaa pembeni
 
Na ndio maana nimesema kama vigezo ni UEFA sasa iweje UEFA hawakumpa Messi mchezaji bora ulaya. Kuna siku nimemsikia Klop akisema huwezi kuwa bora Ulaya halafu unasikia watu wanasema Man city bora duniani. Messi ni mchezaji mzuri tena sana wa kiwango cha kipekee. swali ni vipi asiwe bora Ulaya halafu akawa duniani?? hivi vigezo vinautata sana mwaka jana alikuwa Modric kwani alifunga magoal mangapi?

Mkuu, ngoja nikuulize swali dogo kabisa, Je kwa mtazamo wako wewe unaona mchezaji tumpe tuzo kwa overall perfomance yake ya msimu mzima au tumpe tuzo kulingana na makombe aliochukua ndani ya msimu mzima?

Tafadhari sana naomba unijibu bila ya maelezo meeeengiiii
 
Hivi nyie mnaoilaumu FIFA kwa Messi kutwaa Ballon, naomba mnieleweshe;Kura walipiga maofisa wa FIFA au manahodha wa timu za taifa? Maana kama tujuavyo sote, hata huyo VVD wa Liverpool kampigia kura Leo Messi.Kama Van Djik kamkubali Messi,wewe ni nani kupinga?
mkuu mtu yuko zake uyole mbeya eti nae anapinga "atomica la pulga"kupewa tuzo...wakati hajui ata utaratibu wa mshindi anavopatikana
 
Makosa walifanya UEFA kwa kumpa VVD badala ya MESSI.
nashindwa kueleweka, Mimi naamini kabisa hakuna mchezaji kama Messi kwa miaka aliyocheza na wala siamini kama Ronaldo anamshinda Messi ila hivi vigezo leo mnatoa sababu Messi je mwaka jana Modric ni vigezo gani?? mfungaji bora, assist nyingi au kushinda UEFA
 
nashindwa kueleweka, Mimi naamini kabisa hakuna mchezaji kama Messi kwa miaka aliyocheza na wala siamini kama Ronaldo anamshinda Messi ila hivi vigezo leo mnatoa sababu Messi je mwaka jana Modric ni vigezo gani?? mfungaji bora, assist nyingi au kushinda UEFA

Hebu acha mambo yako, tunaongelea msimu uliopita hapa, kati ya VVD na La Pulga nani kwako alikuwa na overall perfomance kubwa than mwenzake?
 
Makosa walifanya UEFA kwa kumpa VVD badala ya MESSI.

Mkuu, inawezekana walikosea kama waliangalia overall perfomance ya mchezaji kwa msimu mzima wa mashindano yote ya barani ulaya na inawezekana hawakukosea kama waliangalia only uefa champions league na europa league.
 
Mkuu, ngoja nikuulize swali dogo kabisa, Je kwa mtazamo wako wewe unaona mchezaji tumpe tuzo kwa overall perfomance yake ya msimu mzima au tumpe tuzo kulingana na makombe aliochukua ndani ya msimu mzima?

Tafadhari sana naomba unijibu bila ya maelezo meeeengiiii
nitakuwa muongo nikisema najuwa jibu la moja kwa moja. Na hata ukienda huko watu kama Lineker kuna mabishano yanaendelea vigezo ni nini? maana league kubwa sio kama France au Portugal. tuseme UEFA maana kwa miaka ndio imekuwa vigezo. 2016, 2017, 2018 walishinda Ronaldo na Modric lakini sio kwamba Messi alikuwa hayuko vizuri iweje 2019 sio UEFA kama kigezo
 
Na ndio maana nimesema kama vigezo ni UEFA sasa iweje UEFA hawakumpa Messi mchezaji bora ulaya. Kuna siku nimemsikia Klop akisema huwezi kuwa bora Ulaya halafu unasikia watu wanasema Man city bora duniani. Messi ni mchezaji mzuri tena sana wa kiwango cha kipekee. swali ni vipi asiwe bora Ulaya halafu akawa duniani?? hivi vigezo vinautata sana mwaka jana alikuwa Modric kwani alifunga magoal mangapi?

Uefa kama waliangalia perfomance ya kwenye mashindano ya vilabu, i mean champions league na europa league anastahili japo napo kuna ukakasi kwangu mimi kuz Sadio Mane alistahili kuliko VVD ila kama waliangalia mashindano yote kwa msimu mzima basi walichemka vibaya mno kumpa VVD
 
Back
Top Bottom