The Best FIFA Football Awards 2019: Messi atwaa tuzo ya Mchezaji bora, Klopp awa Kocha bora

The Best FIFA Football Awards 2019: Messi atwaa tuzo ya Mchezaji bora, Klopp awa Kocha bora

Acha mihemko mkuu. De light yupi unaemzungumzia wewe yule alietagisha matatu mechi ya Spurs?
Mkuu kwani beki alikua peke yake?!
Mbona unanichekesha ndugu?!
Mtizame Delight toka Uefa inaanza je kwa kiasi kikubwa alicheza kwa kiwango ama chini ya kiwango?
 
Kwa kweli jana FIFA wamechemka, mimi mpaka leo nashindwa kujuwa vigezo. Navyojuwa inaangaliwa msimu mzuri kwa mchezaji mwaka ule sio history. Ok ni kweli Messi ni mchezaji bora sana lakini hakufanya vizuri mwaka huu lakini wamempa na mbaya zaidi jana bahasha haijafunguliwa Messi kishafika nyuma ya stage je majibu yanapangwa? nisieleweke labda simkubali Messi hapana ni bora sana tu lakini sio mwaka huu. tuache huko FIFA 11 eti Marcelo kachaguliwa jamani kwa lipi? kuna full back 2 za Liverpool walikuwa bora kabisa mwaka huu. Marcelo??? team 4 za EPL zilikuwa final leo wanakuja wanasema wachezaji wawili wa Ajax sababu tu walikuwa na msimu mzuri kuisaidia Ajax nusu final sasa wale waliofikisha team zao final? Sadio Mane kaisaidia Liverpool ubingwa wa ulaya na Senegal final za Africa nje. kweli nimeamini Nike na Adidas ndio wanaushawishi mkubwa. ndio maana Ronaldo jana hata kwenda hakwenda utasema aliambiwa Messi atapewa ingekuwa VVD angeenda. FIFA watuambie tu vigezo ni nini? eti Modric sijui Marcelo kwa lipi hasa team zao wanapigwa bench hii kuwakosea heshima wachezaji wengine. Ramos alikuwa na msimu mbovu na Real eti beki bora hapana kwa maoni yangu jana sio sawa. Messi mchezaji mzuri duniani? Yes. je mwaka huu alikuwa best? NO
We ubest wa mtu unaangalia nini, hizo sio tuzo za mafanikio ya timu mi tuzo za mchezaji bora wa dunia.
Statistics zote zinambemba Messi
 
Lionel Messi last season(2018/2019):

Europe top scorer[emoji818]

Barcelona top scorer[emoji818]

Champions League top scorer[emoji818]

La Liga top scorer[emoji818]

Barcelona most assists[emoji818]

La Liga most assists[emoji818]

Most La Liga MOTM awards[emoji818]

Most UCL MOTM awards[emoji818]

Most chances created[emoji818]

Most goal contributions in the top 5 leagues[emoji818]

Most points won for his team in the top 5 leagues[emoji818]

Most free-kick goals[emoji818]

Most braces[emoji818]

Most hat-tricks[emoji818]

Top scorer Vs Top 6 EPL teams[emoji818]

Contributed to 74/96 team[emoji818]

goals [emoji818]

UCL most man of the week[emoji818]

UCL best Forward[emoji818]

UCL goal of the tournament[emoji818]

Pichichi award(la liga golden shoe) [emoji818]

6th European Golden shoe 2019(record)[emoji818]

Most goals outside box[emoji818]

La Liga MVP[emoji818]

ESPY Best international Men's

Soccer Player of the year[emoji818]
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Yawezekana hkuwa ukitizama huo mpira.

Sihitaji kumueleze sana Alison kwa kiufupi tu alitoka na cleansheat 5 kwenye mechi sita za Copa America.
Tafauti kubwa kati ya liverpool ya 2017-2018 na ya 2018-2019 ni Alison. kutoka point 70 pl mpaka 96. Kutoka Runner Up Mpaka ubingwa Ulaya.

Na kwa yoyote aliekua anatizama vizuri soka naamini alimuona vizuri Silva.

Wewe huzungumzii overall performance unachozungumzia wewe ni kufunga magoli mengi tu.
Tafuta statistics za Messi msimu wa 2018/19 na za huyo B. Silva. Ni mbingu na ardhi.
Usiongee tu kwa mapenzi ongea kwa data
 
Hii ni tuzo ya mchezaji bora, juhudi kubwa hasa ya mchezaji inaangaliwa.

Kama ishu ni kubeba makombe basi hata Xavi, Sneidjer, Iniesta wangekuwa na hii tuzo.
unataka kuniambia sneijder, xavi na iniesta hawakuwa na juhudi?

mwaka 2010 inter milan walibeba makombe matatu makubwa barani ulaya, mwaka huo huo uholanzi walifika fainal kombe la dunia na key player alikuwa ni wesley sneijder mbona hakushinda tunzo?

argentina alitolewa robo fainali na ujerumani
barcelona alitolewa nusu fainali dhidi ya inter milan.
kwa sababu alifunga magoli mengi la liga na uefa kama kawaida tunzo akapewa messi
 
unataka kuniambia sneijder, xavi na iniesta hawakuwa na juhudi?

mwaka 2010 inter milan walibeba makombe matatu makubwa barani ulaya, mwaka huo huo uholanzi walifika fainal kombe la dunia na key player alikuwa ni wesley sneijder mbona hakushinda tunzo?

argentina alitolewa robo fainali na ujerumani
barcelona alitolewa nusu fainali dhidi ya inter milan.
kwa sababu alifunga magoli mengi la liga na uefa kama kawaida tunzo akapewa messi
Ndio maana wanaangalia juhudi binafsi.
Ebu rejelea Tuzo alopewa CR7 2013.
 
Mkuu, ngoja nikuulize swali dogo kabisa, Je kwa mtazamo wako wewe unaona mchezaji tumpe tuzo kwa overall perfomance yake ya msimu mzima au tumpe tuzo kulingana na makombe aliochukua ndani ya msimu mzima?

Tafadhari sana naomba unijibu bila ya maelezo meeeengiiii
Naomba nikujibu mkuu...Mchezaji anapewa tuzo kwa vyote hivyo viwili
 
Mkuu, inawezekana walikosea kama waliangalia overall perfomance ya mchezaji kwa msimu mzima wa mashindano yote ya barani ulaya na inawezekana hawakukosea kama waliangalia only uefa champions league na europa league.
Mashindano yote barani ulaya VVD alikuwa bora...kuanzia EPL,UCL mpaka National team
 
Uefa kama waliangalia perfomance ya kwenye mashindano ya vilabu, i mean champions league na europa league anastahili japo napo kuna ukakasi kwangu mimi kuz Sadio Mane alistahili kuliko VVD ila kama waliangalia mashindano yote kwa msimu mzima basi walichemka vibaya mno kumpa VVD
Acheni kumuongelea vibaya VVD....eti mashindano yote walikosea...sasa EPL mchezaji bora nani?,EPL beki bora nani?EPL mwenye cleanshit nying nani,EPL Aerial won nyingi nani?.....sema hujui mpira......Na UEFA inaangalia mashindano yote ya ulaya ndomana waliona anastahili
 
Last year tuzo aliyopewa Modric watu hawakuzungumza kwakuwa alipewa mwingine nje ya cr7 na Messi ila walisahau kama walitaka apewe mwenye mafanikio kwa kubeba makombe basi wangempa Varane.
kwa miaka miwili mfululizo luka modric alikuwa anaonyesha kiwango kikubwa sana cha soka lakini bahati mbaya wapiga kura walikuwa wanampuuza kwa makusudi kama walivyofanya kwa sneijder na andres iniesta,

tatizo kubwa lipo kwa wapiga kura ambapo wengi wao wanaongozwa na mihemko ya kupenda jina la mchezaji na si kiwango cha mchezaji na mchango husika ndio maana si ajabu marcelo, sergio ramos wanachaguliwa kwenye timu bora wakati real madrid msimu uliopita waliruhusu magoli zaidi ya 40.

kituko chengine
eden hazard kwenye michuano ya europe msimu uliopita alianza mechi 4 tu lakini cha ajabu ndio mchezaji bora wa michuano ya europe league.

hazard eti amemzidi oliver giroud mwenye magoli 11 na assist 5.
hazard amemzidi luka jovic mwenye magoli 10 na assist 1.

baadhi ya nyakati mapenzi yakizidi hupelekea upumbavu wa makusudi
 
We ndio haujui na umeropoka.
UEFA inaangalia sana sana club bingwa ulaya.
Wanatizama je umechukua club bingwa ulaya ama laah?
Kama wanaangalia hadi team ya taifa messi ni Latino sio European inamaana watachukua takwim za Copa America walete Uefa?!
Uefa wanatizama uchukuaji vikombe.
Ndio maana VVD ameweza Kuwa mchezaji bora kwa vigezo vya kuchukua kombe la club bingwa ulaya.
Lakini km wangekua wanatizama over all performance bila kuchukua kombe basi messi angestahili .
Lakin kwasababu wanatizama makombe UEFA basi messi hiko kigezo kakosa.
Tukija kwa FiFa best player wanatizama performance nzima ya mchezaji.
Na ukiangalia hakuna mchezaji alomzidi messi sio ktk league wala uefa.
We jamaa ktk league Laliga wamemchambua league ilivyoisha ameshinda magoli ya faulo (free kick ) yanafika 13.
Nitajie mbuzi yeyote aliyefanya hvyo.
Ktk laliga hiyo hiyo ameshinda magoli ya kuiokoa barca ya comeback 10+,nitajie kunguni yeyote aliyefanya hivyo.
Halafu km kweli unaufatilia mpira messi toka acheze uefa kuna zile rates za performance ktk mechi.
Messi amekuwa akipata rate ya 8.0% mpk nusu fainali alipotolewa akawa amepata rate ya 6%.
Inamaana hakuna mchezaji alo maintain kiwango kama messi.
Hata van dijk ameshindwa kufanya hilo.
Messi achaneni naye ninyi achaneni naye kabbisa.
Huu msimu ni wake.
Na ballon d'or watampa tu.
Ulipoanza kuzungumzia makombe nikaacha kusoma barua yako hiyo....2010 mess alichukua UEFA????? 2013 Ronaldo alichukua UEFA????....lakini kipindi hicho wote walichukua .....UEFA nishirikisho la mpira wa Miguu barani ulaya


Kwaiyo wanasamia vitu vyote kuanzia ligi za ndani ya nchi mpaka timu za taifa kama ilivyo CAF hapa kwetu Afrika
Takwimu zooooote ambazo mess kazipata ni kutoka club level,hivyo hivyo kwa VVD takwimuzooote ni kwa club level,

sasa ukilinganisha takwimu zote kila mmoja kwa nafasi yake uwanjani UEFA wakaona VVD anastahili na wakampa,ila nazan kinachowasumbua ni hamjui beki anapimwa kwa vigezo vipi....labda nitajie stats za beki bora unamjuaje....mana mnakazana Na Mess mara assist,mara Goals,mara dribbles....sikatai mess mzuri, mnafahamu beki anapimwaje????
 
Ulipoanza kuzungumzia makombe nikaacha kusoma barua yako hiyo....2010 mess alichukua UEFA????? 2013 Ronaldo alichukua UEFA????....lakini kipindi hicho wote walichukua .....UEFA nishirikisho la mpira wa Miguu barani ulaya


Kwaiyo wanasamia vitu vyote kuanzia ligi za ndani ya nchi mpaka timu za taifa kama ilivyo CAF hapa kwetu Afrika
Takwimu zooooote ambazo mess kazipata ni kutoka club level,hivyo hivyo kwa VVD takwimuzooote ni kwa club level,

sasa ukilinganisha takwimu zote kila mmoja kwa nafasi yake uwanjani UEFA wakaona VVD anastahili na wakampa,ila nazan kinachowasumbua ni hamjui beki anapimwa kwa vigezo vipi....labda nitajie stats za beki bora unamjuaje....mana mnakazana Na Mess mara assist,mara Goals,mara dribbles....sikatai mess mzuri, mnafahamu beki anapimwaje????
Sisi tunazungumzia current issue.
Mkuu hukuelewa wapi ?
Kama ukileta mambo yale ya miaka 2010 basi messi angechukua kwasababu kipindi kile walikua wanaangalia performance ya mtu pekee.
Ndio maana hata Ronaldo 2013 licha ya realmadrid kukosa kombe hata moja lakin yeye alipata tuzo ya mchezaji bora.
Lakini ukija kwa sasa hv uefa wanatizama kombe.
Usipochukua kombe huwez ukawa mchezaji bora wa Uefa.
Ila FiFa wanatizama nini umefanya ww umeperform kiwango kipi.

Kilichombeba VVD kuwa mchezaji bora uefa ni kwasababu yeye amefanikiwa kuwa mlinzi ama mkabaji mahiri.Beki hupimwa umahiri wake katika kuzuia mashambulizi.Van Dijk ndivyo alivyofanya.Na pia hiyo ikawafanya wao kulinda mlango wao kiasi cha kubeba mpk UEFA.Ukitizama ni km yeye kachangia kwa kiasi kikubwa kwasababu km back line ingekuwa mbovu Liverpool tusingewaona final.
 
mhh mitihani wa Taifa?? wapi hakuna hiyo kitu
Mkuu mbona unarocha bhanaaa!!!
Kwani mitihani ya taifa huwez jua matokeo yako?
Uliwahi kwenda kuhudhuria kongamano hata moja la kielimu Dar?
Mm nilienda mwaka 2015,kuna wanafunzi walioongoza kimkoa ktk mitihani ya taifa na walioongoza kitaifa walikabidhiwa zawadi,je hao hawakujitambua km wameongoza?Tena walikua wakiinuka na kuwa na shamrashamra hata kabla majina hayajatajwa.
 
Mkuu mbona unarocha bhanaaa!!!
Kwani mitihani ya taifa huwez jua matokeo yako?
Uliwahi kwenda kuhudhuria kongamano hata moja la kielimu Dar?
Mm nilienda mwaka 2015,kuna wanafunzi walioongoza kimkoa ktk mitihani ya taifa na walioongoza kitaifa walikabidhiwa zawadi,je hao hawakujitambua km wameongoza?Tena walikua wakiinuka na kuwa na shamrashamra hata kabla majina hayajatajwa.
Sasa wewe ndio hujaelewa. Matokeo ya mitihani utaijuwa lakini huwezi kujuwa ikiwa matokeo hayajatoka au kubandikwa
 
kwa miaka miwili mfululizo luka modric alikuwa anaonyesha kiwango kikubwa sana cha soka lakini bahati mbaya wapiga kura walikuwa wanampuuza kwa makusudi kama walivyofanya kwa sneijder na andres iniesta,
tatizo kubwa lipo kwa wapiga kura ambapo wengi wao wanaongozwa na mihemko ya kupenda jina la mchezaji na si kiwango cha mchezaji na mchango husika ndio maana si ajabu marcelo, sergio ramos wanachaguliwa kwenye timu bora wakati real madrid msimu uliopita waliruhusu magoli zaidi ya 40.
kituko chengine
eden hazard kwenye michuano ya europe msimu uliopita alianza mechi 4 tu lakini cha ajabu ndio mchezaji bora wa michuano ya europe league.
hazard eti amemzidi oliver giroud mwenye magoli 11 na assist 5.
hazard amemzidi luka jovic mwenye magoli 10 na assist 1.
baadhi ya nyakati mapenzi yakizidi hupelekea upumbavu wa makusudi

Kwahiyo unataka kuniambia Modric alikuwa na kiwango bora kuliko CR7 na MESSI?

Na unataka pia kuniambia WESLEY alikuwa na kiwango bora kuliko MESSI mwaka 2010? Kwa lipi na kipi alichofanya?

Je unafahamu kuwa Makombe ni overall perfomance ya team mzima na sio mchezaji mmoja?

Je unakubaliana nami kuwa unaweza ukawa na wavunja kuni na kubeba makombe ila kazi yao ikawa ni kuzuia na kusubiri penalty kama GREECE au PORTUGAL?

Je unajua kuwa tuzo hupewa kwa kuzingatia overall perfomance ya mchezaji na sio overall perfomance ya team?

Tatizo wengi wetu tunachanganya kati ya team perfomance na individual perfomance na pia tunashindwa kuelewa kuwa tuzo ya uchezaji bora wa Dunia ni individual perfomance na sio team perfomance.

Narudia tena, Nje ya kubeba UCL kwa msimu huu VIRGIL is nothing, ni sawa na KOULIBALY tu, Bernado Silva alikuwa na msimu bora kuliko VIRGIL kwa individual perfomance.
 
Acheni kumuongelea vibaya VVD....eti mashindano yote walikosea...sasa EPL mchezaji bora nani?,EPL beki bora nani?EPL mwenye cleanshit nying nani,EPL Aerial won nyingi nani?.....sema hujui mpira......Na UEFA inaangalia mashindano yote ya ulaya ndomana waliona anastahili

Takwimu za Messi zimeletwa hapa za msimu mzima, kipi kinawashinda kuleta takwimu za Virgil hapa ili tuone?

Yaani mtu anaesubiri kupiga vichwa na tackling eti apewe uchezaji bora wa Dunia? Acheni mambo yenu bwana.

Hivi unajua kuwa beki wa kati toka dakika ya kwanza hadi mpira unaishi anaweza asikimbie hata kilometre 3? Na wakati viungo wakabaji na washambuliaji wanakimbia zaidi ya kilometre 7 uwanjani?

Mabeki na makipa watengenezewe tuzo zao, hawastahili kushindanishwa na viungo pamoja na washambuliaji hata siku moja, kazi wanayofanya ni ndogo sana compared na viungo na washambuliaji.

Ni upumbav* wa kiwango cha SGR kumlinganisha VVD na hata SADIO MANE kwa takwimu za uwanjani na hata PFL kabeba kwa bahati tu, ile tuzo alitakiwa apewe Raheem Stearling na sio VVD, kuna muda matatizo ya nje ya uwanja yanamuhukumu Raheem.

Afu kumbukeni kuwa Mohamed Salah alibeba PFL na kumwacha De Bruyne ambae alikuwa anapigiwa upatu wa kuwa mchezaji bora so hata hii FIFA wako fair kabisa na La Pulga alistahili
 
Back
Top Bottom