Mpenzi yani wewe umepaona hapo tuuu???!!!!mmmmhhhh......we haya we
:focus: nna nyingi sana zinazonikosha ila nikiamka asubuhi lazma nisikilize hizi nyimbo mbili 'Ni Asubuhi' na 'Anasikia' za Miriam Mauki kwakweli huwa nasikia amani na napata nguvu ya kuanza siku.
umeona ee,
yani huo ni mwisho wa yote hasa kwa wale wasio na heshima kwa wazazi wa kike.
Kunyatanyata ndo ile iliyoimbwa na kijitonyama singers?
Mzee, Kuna Kaswida fulani tulikua tunaimba madrass, very nice.
Sijui niweke hapa? It is to praise the prophet Muhamad (SAW)
Mzee Mwanakijiji christian fellowship hahahaaaaaaaaaaaa!!!mkuu unataka kuanzisha kanisa?karibu inalipa sana
Nyimbo zote za wale Warundi wa Ulyankulu - Mapigano Barabara ya 13 Ulyankulu
1. Mwenye Mamlaka
2.Goliath
3.Mnadhiri wa Mungu
....................................
Mwenye mamulaka By mapigano Ulyankulu - YouTube
Mzee, Kuna Kaswida fulani tulikua tunaimba madrass, very nice.
Sijui niweke hapa? It is to praise the prophet Muhamad (SAW)
Nyimbo zote za wale Warundi wa Ulyankulu - Mapigano Barabara ya 13 Ulyankulu
1. Mwenye Mamlaka
2.Goliath
3.Mnadhiri wa Mungu
....................................
Mwenye mamulaka By mapigano Ulyankulu - YouTube
Gospel = injili
Dini = religion
The best gospel songs = nyimbo bora za injili
jee ni sahihi nyimbo za dini kupigwa bar?
shuka bwana sikuiti uhukumu ila shuka ,
ona majaribu yanavyonisonga yanijia kwa kasi kama mabomu,
akili yaniruka nifikiliapo,
sina uwakika na aliyeimba hii nyimbo na hayo ni baadhi tu ya maneno katika hiyo nyimbo kiukweli kila nikisikiliza hii nyimbo lazima nilie.