The Bible Fraud & Secret in the bible...!!!

Mkuu wewe elimu yako umeisomea chuo gani rasmi ?
Ninavyojua kuanzia shule za msingi hadi vyuoni vile vya kiserikali tunajifunza mambo yaliyogunduliwa na Wazungu, ya kwetu ni kidogo mno.
Wazungu nao wanaiga lakini ni wazuri wa kujifanya kila kitu wamegundua wao,ustaarabu wa wanzo duniani,kuanzia dini na mambo mengine umeanzia Egypt,wazungu mpaka leo hii wanapinga kuwa yale magofu ya Pyramid yamejengwa na mtu mweusi..

Ukiangalia na kutafakari,Nabii Musa ambae alizaliwa Egypt nae alikuwa mweusi,Nabii Ibrahim alikwenda Egypt na kupewa mke Hahar(Hajir) mke nae alikuwa mweusi,Hagar aliezaa na nabii Ibrahimu wakamzaa Ismael,.Isa(Yesu) alikuwa mweusi,ukisoma biblia wasifu wa Isa(Yesu) ni kama wasifu wahabeshi(Waithiopa),nikisema weusi hapa namanisha na wasifu wa wahabeshi au wasomali,hawa watu ni weusi lakini wana nywele kama za manyoya ya kondoo...

Historia ya dunia kaandika mzungu kwa kujipendela yeye ili binaadamu wengine wamuone yeye bora,tafakari
 
Inaelekea aliyetoa uzi huu hata Biblia haijui, na pia hajui kwamba kuna vitabu vingi vimetungwa baadaye kwa ajili ya kupotosha.
Kwanza lazima afahamu Biblia au vitabu vilivyomo ndani mwake ilikuwaje vikapatikana na kukubalika kuwa ndio Neno la Mungu. Fuatilia kwa karibu ukiwa Mkristo au usipokuwa Mkristo cha msingi, elewa wenyewe Biblia inasemaje na kujua wakati huo ilikuwa na maana gani, ili kutafsiri katika leo. Imani haturukii bila kujua nini unaamini (hasa Ukristo). Wakristo ambao ni watu waliosoma na wamekaa katika kweli si rahisi kudanganya. (Tusichanganye na watu ambao hawaenendi Kikristo na kujjita Wakristo, watu ambao hata kusoma Biblia hawasomi, watu ambao kazi yao ni kusikiliza tu, toka kwa watu, wahubiri), watu kama hao nilirahisi kupotoshwa. Uisome uone kweli kama Yesu alikuwa mwongo, mjanja, je alikuwa na akili timamu?. Biblia ni kitabu cha kihistoria (hilo limethibitshwa), ingawa ni cha kiroho. Maeneo yote yaliyotajwa kwenye Biblia yalikuwepo wakati wake wa kuandikwa, ingawa maeneo mengine yamepotea, Wanaakelojia wanendelea kugundua maeneo hayo siku kwa siku. Usikurupe ndugu, hivyo vipo na vingi tu, lakini anayelewa juu kwanini vitabu viliandikwa na aliyeandika yukoje hawezi kustuka na hayo. Hata wazushi kuhusu Ukristo wapo hata leo na wengine wamo katika Ukristo (wanajifanya).
 
Issa ( Yesu) hakupata kuoa, wala hakupata kuwa na watoto, na wala hakuuwawa, badli walifananishiwa mfano wake na alipaa mbinguni kwa Mola wake kwa baadhi ya tafsiri
 
Mkuu ushawahi kuona madawa ya hospitali yana majina yenye asili ya kiafrika?
 
Haya mambo ya copy and paste huwa yananiboa kweli kweli...
Uko sahihi mkuu.......... Nafikiri nimpe jibu la copy and paste pia ila nahisi nitakuwa narudia ujinga

Nimeamua kuachana naye tu
 
Issa ( Yesu) hakupata kuoa, wala hakupata kuwa na watoto, na wala hakuuwawa, badli walifananishiwa mfano wake na alipaa mbinguni kwa Mola wake kwa baadhi ya tafsiri
Leta ushahidi wa kimaandiko.
 
Issa ( Yesu) hakupata kuoa, wala hakupata kuwa na watoto, na wala hakuuwawa, badli walifananishiwa mfano wake na alipaa mbinguni kwa Mola wake kwa baadhi ya tafsiri
Mmekaririshwa upumbavu. Na waliowakaririsha wanajua ukweli.
 
Waarabu lugha yao imetumika kwenye Qur'an na mtume ametoka kwao,ila sijajua mahusiano ya wazungu na ukristo ama biblia huwa yanakujaje mpaka iwe pakizungumziwa hizi dini mbili basi lazima atajwe mzungu kuhusishwa na ukristo au biblia.

Je,ni ukoloni tu ndiyo umetuathiri hivyo sababu ya kutawaliwa nao au kweli kuna mahusiano ya wazungu na ukristo?
 
wewe ndio hutumii akiri ungekuwa na akiri ungejua nilishafuatilia u feki wa dini kuja kujibashana na mimi unaonyesha na upeo mdogo wa kufikiri grow up
Mkuu umefuatilia dini zote zilizokuwepo duniani?
 
dini zote ni feki
Mkuu ukisema kitu fulani ni feki maana yake kuna original na ndiyo maana ukaweza kugundua feki yake,sasa unaweza kutuambia dini ya kweli ambayo ndiyo halisi ipo wapi au ilipotelea wapi?
 
Imani za wazazi wetu au jamii zetu ndiyo huleta athari kwenye imani zetu kwa maana nasi hufuata imani hizo,je ni dalili zipi zenye kukufanya uone ukweli kwenye imani uliyonayo?

Yapi yanakufanya ujione upo sahihi kabisa ?
 
Unafikiri waafrika hatukuandika historia kwa sababu gani?
 
Uko sahihi kuhusu idadi ya vitabu vinavyotokeza biblia ila hauko sahihi kuhusu walioandika vitabu hivyo kitabu cha Mathayo kimeandikwa na mathayo mwaka 41AD, marko kimeandikwa na marko 65AD, Yohana kimeandikwa na Yohana 98AD, matendo kimeandikwa na luka mwaka 61AD na vile vitabu vya kwanza vya biblia viliandikwa na musa kuanzia mwaka 1513BC hadi1473bc...hiyo dhana kuwa vitabu viliandikwa miaka 600 baada ya Yesu kufa sio kweli kwa maana Yesu au Issa alikufa mwaka wa 33AD miaka 8 baadae Mathayo anakamilisha kitabu chake yaan mwaka 41AD.
 
Uko sahihi kuhusu idadi ya vitabu vinavyotokeza biblia ila hauko sahihi kuhusu walioandika vitabu hivyo kitabu cha Mathayo kimeandikwa na mathayo mwaka 41AD, marko kimeandikwa na marko 65AD, Yohana kimeandikwa na Yohana 98AD, matendo kimeandikwa na luka mwaka 61AD na vile vitabu vya kwanza vya biblia viliandikwa na musa kuanzia mwaka 1513BC hadi1473bc...hiyo dhana kuwa vitabu viliandikwa miaka 600 baada ya Yesu kufa sio kweli kwa maana Yesu au Issa alikufa mwaka wa 33AD miaka 8 baadae Mathayo anakamilisha kitabu chake yaan mwaka 41AD.
 
Huwa najiuliza, kwanini nguvu nyingi, fedha, juhudi na maarifa ya hali ya juu yatumike kupinga uwepo wa Mungu? Kwa hali halisi kuna cha kujifunza, kuna haja ya kuyatafuta maarifa kadri mtu atakavyoweza. Kwa bahati mbaya sana kuna mabingwa wa upotoshaji, ukaaminishwa hata mambo ambayo kwa akiri ya kawaida yanatia shaka. Lengo hasa la kupinga uwepo wa Mungu kwa nguvu nyingi ni lipi? Aina inayotumika upingaji wa uwepo wa Mungu inatia shaka, ikitaka kuwaaminisha watu pengine wapotoke! Binafsi sio mtaalamu sana mambo haya, ila sidhani kama aina hiyo ya vitabu vitaniaminisha kutokuwepo kwa Mwenyezi Mungu.
 


Ni ukoloni kwani wazungu ndiyo waliotumia ukristu kututawala na kutupumbaza huku wakituibia rasilimali zetu. Walifuata nyayo za waarab.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…