The Bible Fraud & Secret in the bible...!!!

The Bible Fraud & Secret in the bible...!!!

Mwenye akili na atafakari.



BREAKING NEWS INTERNATIONAL
Pope Francis cancels The Bible and proposes to create a new book
abril 2, 2018 Sr. Lobo 3 comentarios bible, pope Francis

Pope Francis has surprised the world today by announcing that The Bible is totally outdated and needs a radical change, so The Bible is officially canceled and it’s announced a meeting between the highest personalities of the church where it will be decided the book that will replace it, its name and its content. Some names are already being considered and the one that has more strength is “Biblia 2000”.

“We can not keep trying to talk our public in a totally new world with a book that has thousands years. We are losing followers and we have to go a step further in the search for the modernization of the church. to rewrite the word of God, even if it is only the Old Testament, in which there are certain passages that it is better not to repeat. ”

The news has fallen like a bomb among the most conservative, who consider this
[4/5, 23:56]


Pope Francis cancels The Bible and proposes to create a new book Pope Francis cancels the Bible and proposes to create a new book
[
 
Mimi natoka nje ya mada makusudi.

Hivi kama lengo la biblia ni kufundisha upendo na imani. Kwanini hao walioileta biblia wasiwafundishe na kuwaachia hayo mafundisho hao wanao wafunsha ili wakafanye sawa na mapenzi yao? Kwanini ujenge nyumba uwakusanye kila siku? Kwanini uwawekee utaratibu na kuwaongoza? Je binadamu hushurutishwa kuzaliwa? Je binadamu hushurutushwa kuishi? Nini maana ya maisha? Je maisha sio kua huru na kufanya utakacho? Je kunamtu mwenye maamuzi juu ya mwisho wa mwenzake kama ni hivyo kwanini watu hufa wakiwa huru?

Hii ina maana maisha ni uhuru hadi mwisho wake ni uhuru pia. Sasa basi kwanini uwalazimishe watu na kuwamonitor? Kwakuwajengea "kanisa" na kuawapa miongozo ya kuishi?

Mwenye hoja anipinge kwa hoja, usilete hisia hapa.
 
Kuna kitu
Screenshot_2018-05-13-19-32-21.jpg
 
1 Timetheo 4
7 Bali hadithi za kizee, zisizokuwa za dini, uzikatae; nawe ujizoeze kupata utauwa.

2 Timotheo 3
1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari.
7 wakijifunza siku zote, ila wasiweze kabisa kuufikia ujuzi wa kweli.
13 lakini watu wabaya na wadanganyaji wataendelea, na kuzidi kuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika.

2 Timotheo 4
3 Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti;
4 nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.


Endelea na hao waalimu wako, unachotafuta utakipata siku ya BWANA.
 
"Pia anasema Jesup christ had a twin brother na hakuuliwa kwa crucifixion bali he was stoned to death baada ya kukamatwa na hatia ya kuiba the ancient secrets from Egypt na ndipo alipoanza kuperform MIUJIZA"

Mtoa mada hebu soma tena hii paragraph.

NB: kwa hiyo hata mungu wa waislam naye kuchakachua.
 
"Pia anasema Jesup christ had a twin brother na hakuuliwa kwa crucifixion bali he was stoned to death baada ya kukamatwa na hatia ya kuiba the ancient secrets from Egypt na ndipo alipoanza kuperform MIUJIZA"

Mtoa mada hebu soma tena hii paragraph.

NB: kwa hiyo hata mungu wa waislam naye kuchakachua.

Mkuu ingependeza kama ungekisoma wewe mwenyewe hiki kitabu ungepata kujua yaliyomo
 
Vitabu vyote vya dini ni uzuishi tu, si Qu'an wala Biblia...vyote ni utata mtupu. Binafsi siviamini hata kidogo kwani vimeandikwa kwa lengo la kuwaabudu wazungu, wayahudi na waarab tu. Ndiyo maana inasemwa history is always written for the victors si wafuasi, wafuasi wanabaki kuwa mabumbuwazi tu.
 
Mkuu mimi ni mwislam lakini Rabai Isa aka Iso aka Jesus aka Yesu,hakuuliwa kwa kupigwa mawe hiii sikubaliano nalo,Kwa imani ya kiislam Yesu kweli alisulibiwa msalabani lakini hakufa,ukisoma biblia kuna sehemu nyingi zinazoeleza kuwa Yesu hakufa msalabanni..

Kweli biblia inamapungufu mengi,lakini hii ya Yesu kupigwa mawe mpaka kufa mpya,nitarudi na aya za biblia kuthibitishia kuwa yesu hakufa msalabani
 
kinachonifanya niamini kuwa biblia ni ukweli na sio fasihi: mambo mengi yaliyotabiriwa katika agano la kale ni kweli yalitokea hasa ujio wa Yesu katika agano jipya...... mambo mengi ambayo biblia imeasa juu ya nyakati za mwisho ikiwemo manabii wa uongo, magonjwa, vita, njaa na matetemeko ya nchi yanaonekana............... KAMA BIBLIA IMETUNGWA KIJANJA, BASI ALIYETUNGA ALIKUA NA AKILI KULIKO BINADAMU WOTE. KUTABIRI MAMBO YA MIAKA 2000 MBELE SI JAMBO LA KUBEZWA HATA KIDOGO.
 
Back
Top Bottom