Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,442
Hongera sana mkuu kwa majibu mubashara kila la heri na maandalizi memaPamoja mkuu...
Ingawa nahisi kuna maswali watu walikuwa na kiu nayo haujayauliza...
Tusubiri wadau labda watauliza...
Asante kwa majibu yako mkuu hapo mwisho umeua kabisaFootball.! Real Madrid die hard...
Bongo sina timu, siasa nyingi!! Mpira unachezwa kwenye vijiwe vya kahawa... Kwa hiyo hata kichuya sijui anachezea timu gani
We mbona hujataja lako? Ni utashi wa mtu kuweka verified I'd yake ama lahThe bold
JIBU HAYA MASWALI TAFADHALI..
The bold
Hatuna ubaya naww tunaomba..
Tutajie jina lako la kwanza..
Kabila na sehem unakotoka..
Kapicha hata ukikainvert colour sio mbaya..
Level ya elimu..
Sorry 4 interruption.
-Mond-
Pamoja mkuu...
Ingawa nahisi kuna maswali watu walikuwa na kiu nayo haujayauliza...
Tusubiri wadau labda watauliza...
The bold
JIBU HAYA MASWALI TAFADHALI..
The bold
Hatuna ubaya naww tunaomba..
Tutajie jina lako la kwanza..
Kabila na sehem unakotoka..
Kapicha hata ukikainvert colour sio mbaya..
Level ya elimu..
Sorry 4 interruption.
-Mond-
Japo kuwa STUNTER hajakuuliza maswali ya maana saana hasa deep kwa mtu wa level yako, watu kama nyie mna maswali yenu bwaanaaa, mambo ya kiungo sijui usichokipenda sijui mbuzi kwenye gunia hayo ni ya kina mond na wema, BTW amejitahidi kukuvuta hapa kwakuwa bold alikuwa anaonekana katika makala au andishi lake tu, Leo kujumuika hapa aiseee mungu mkubwa, ni sawa na diamond akafanye show ya bure uwanja wa taifa,Hili swala la Kibiti nimewahi kuilizaa na wahusika wa vyombo vya usalama na nimetoka maoni yangu marefu sana huko...
Sasa najua watu watauliza... Wakuilize wewe kama nani.? Nadhani hili swali wakaulizwe walionifuata, walinifuata mimi kama nani??
Hili la North Korea nimewahi kuandika mpaka uzi kipindi kile mzozo umekole...
1. Nilisema licha ya kwamba japo tunaichukia Marekani, lakini uhalisia ni kwamba NK hawezi kumpiga Marekani abadani... Ni sawa na kusema Stendi United amfunge Barcelona... Miujiza inatokeaga... Ila muujiza huu unaoswa uwe muujiza haswa
2. Nikasema kuwa haiwezi kutokea vita ndani ya miezi minne ijayo kwa kuwa kadiri nilivyofuatikua hakuna mabadiliko yoyote kwenye kiwango cha DefCon ya JCS nchini Marekani.... Watu wakabisha hasa kuwa ndani ya siku chache vita itatokea... Huu mwezi wa pili sasa unaenda wa tatu... Nadhani tumeshajua nani yuko sahihi... Na nakazia kwamba mpaka mwaka huu unaisha usitegemee vita kati ya US vs NK
Humtendei haki shem kwa kutokuwa shabiki wa timu za bongo. Maana yeye ni Yanga damu.!Football.! Real Madrid die hard...
Bongo sina timu, siasa nyingi!! Mpira unachezwa kwenye vijiwe vya kahawa... Kwa hiyo hata kichuya sijui anachezea timu gani
samahani broo.. mimi nikiwa kama member mwenye umri mdogo zaidi kuwahi kutokea nilijiunga nikiwa na miaka 16 .......swali langu ni hili.Nampa 70%... Kwa sababu ya dhamira! Ana dhamira njema na nchi
Marekebisho; azingatie msemo wa "power corrupts" na ajiepushe na hilo.
Naomba unijibu kwa mtindo wa ndio/hapana
Wewe ni mfanyakazi wa serkali?
una 6sance kama unavotuaminisha kwa maandishi yako?
We ni mtu wa usalama?
operation bravo two 0 ilifeli sababu ya hali ya hewa?
Does your wife to be really know hwo you're?
[HASHTAG]#HallaMadrid[/HASHTAG]Football.! Real Madrid die hard...
Bongo sina timu, siasa nyingi!! Mpira unachezwa kwenye vijiwe vya kahawa... Kwa hiyo hata kichuya sijui anachezea timu gani
Nami nilipoanza kusoma maandiko yako nina matumaini siku moja nitaangalia filamu ya hollywood uliyotunga wewe.!BAADA YA MIAKA MITANO
1. Naona moja ya kitabu changu kikiingia kwenye orodha BEST SELLER huko duniani (sitanii kwenye hili... I mean it)
2. Naona Moja ya hadithi zangu ikitengenezewa movie Hollywood (again... Sitanii)
MCHANGO WA JF
- Imenipa mke (hili la muhimu kuliko yote)
- Imenipa platform ya kuonyesha kipaji changu na audience ya kujitambulisha kwao
Mdau hii ndo kali zaidi itabidi nije PM uniassist kama nanilihiNaamini makala na riwaya zote nilizoandika ni 'Mawe'... Ila kama utahitaji nitaje chache nitakuambia...
1. VIPEPEO
2. GERANIMO
3. THE OTHER HALF
4. BEHIND THE CURTAIN
5. STORI YA KINA NORTAFBATOLLO (hii ni makala yangu ya kwanza kuiweka humu JF)
Mafanikio...
Nadhani ni mapema mno kuzungumzia mafanikio...
Labda niseme yafuatayo;
i) nimefarijika kwa kipawa changu kujulikana
ii) nimpata marafiki wengi sana na supporters kupitia group langu la WhatsApp SIMULIZI ZA THE BOLD ambao sasa wamekuwa kama familia yangu
iii) nimefungua website na inafanya vizuri sana sana www.https://jamii.app/JFUserGuide
iii) kuna member mkongwe wa JF (sio active sana) yuko US amependa ninachofanya na kuna deal fulani amenipatia huko... Soon mambo yakikamilika nitaweka hadharani iwe ushuhuda na kuwatia moyo wengine humu JF
Mm RaymondWe mbona hujataja lako? Ni utashi wa mtu kuweka verified I'd yake ama lah
Siku hili likitimia nitafanya party hata mwenyewe chumbani. Napatwa na hasira unavochelewa kupata haki yako (mafanikio)BAADA YA MIAKA MITANO
1. Naona moja ya kitabu changu kikiingia kwenye orodha BEST SELLER huko duniani (sitanii kwenye hili... I mean it)
2. Naona Moja ya hadithi zangu ikitengenezewa movie Hollywood (again... Sitanii)
MCHANGO WA JF
- Imenipa mke (hili la muhimu kuliko yote)
- Imenipa platform ya kuonyesha kipaji changu na audience ya kujitambulisha kwao
SimbaFootball.! Real Madrid die hard...
Bongo sina timu, siasa nyingi!! Mpira unachezwa kwenye vijiwe vya kahawa... Kwa hiyo hata kichuya sijui anachezea timu gani
Japo kuwa STUNTER hajakuuliza maswali ya maana saana hasa deep kwa mtu wa level yako, watu kama nyie mna maswali yenu bwaanaaa, mambo ya kiungo sijui usichokipenda sijui mbuzi kwenye gunia hayo ni ya kina mond na wema, BTW amejitahidi kukuvuta hapa kwakuwa bold alikuwa anaonekana katika makala au andishi lake tu, Leo kujumuika hapa aiseee mungu mkubwa, ni sawa na diamond akafanye show ya bure uwanja wa taifa,
Ok labda mm niulize maswali yangu matatu tu ambayo sijaridhika nayo.
1. Ningependa kujua elimu yako stage kwa stage kama fundi wa tanesco anavopanda ngazi zake kumfungia mteja mpya umeme, [emoji3][emoji3][emoji3] from vidudu- ------++
2. Umesema umeanza kutumikia taifa tangu upo shule, JE KIVIPI? Kuna ukakasi nauona hapa ukizingatia na umri wako sio kivileee hadi tukuweke katka list ya waliosoma kipindi cha mwalimu....
Tungependa utuambie ni kazi gani hiyo najua unaendelea nayo, kazi gani kwa serikali gani ya kukufanya ulale hadi saa 3/4 asubuhi?
3. Hili linaweza tegemeana na swali la pili kiasi fulani, kuhusu kibiti umesema kuwa wahusika walikufuata kukuomba ushauri how? Waache mawaziri wastaafu, wabunge wa upinzani mbali na kufuatwa hawaruhisiwi hata kuzungumzia hiyo kitu. Kwanini wew?
Inatosha kwa sasa nikikumbuka jambo nitauliza tena
Cc The bold
Nimesoma Sayansi... PCBsamahani broo.. mimi nikiwa kama member mwenye umri mdogo zaidi kuwahi kutokea nilijiunga nikiwa na miaka 16 .......swali langu ni hili.
Je ulisoma sayansi au sanaa ulipokua A level,?
shukran
Naomba akikujibu unitagJapo kuwa STUNTER hajakuuliza maswali ya maana saana hasa deep kwa mtu wa level yako, watu kama nyie mna maswali yenu bwaanaaa, mambo ya kiungo sijui usichokipenda sijui mbuzi kwenye gunia hayo ni ya kina mond na wema, BTW amejitahidi kukuvuta hapa kwakuwa bold alikuwa anaonekana katika makala au andishi lake tu, Leo kujumuika hapa aiseee mungu mkubwa, ni sawa na diamond akafanye show ya bure uwanja wa taifa,
Ok labda mm niulize maswali yangu matatu tu ambayo sijaridhika nayo.
1. Ningependa kujua elimu yako stage kwa stage kama fundi wa tanesco anavopanda ngazi zake kumfungia mteja mpya umeme, [emoji3][emoji3][emoji3] from vidudu- ------++
2. Umesema umeanza kutumikia taifa tangu upo shule, JE KIVIPI? Kuna ukakasi nauona hapa ukizingatia na umri wako sio kivileee hadi tukuweke katka list ya waliosoma kipindi cha mwalimu....
Tungependa utuambie ni kazi gani hiyo najua unaendelea nayo, kazi gani kwa serikali gani ya kukufanya ulale hadi saa 3/4 asubuhi?
3. Hili linaweza tegemeana na swali la pili kiasi fulani, kuhusu kibiti umesema kuwa wahusika walikufuata kukuomba ushauri how? Waache mawaziri wastaafu, wabunge wa upinzani mbali na kufuatwa hawaruhisiwi hata kuzungumzia hiyo kitu. Kwanini wew?
Inatosha kwa sasa nikikumbuka jambo nitauliza tena
Cc The bold
Japo kuwa STUNTER hajakuuliza maswali ya maana saana hasa deep kwa mtu wa level yako, watu kama nyie mna maswali yenu bwaanaaa, mambo ya kiungo sijui usichokipenda sijui mbuzi kwenye gunia hayo ni ya kina mond na wema, BTW amejitahidi kukuvuta hapa kwakuwa bold alikuwa anaonekana katika makala au andishi lake tu, Leo kujumuika hapa aiseee mungu mkubwa, ni sawa na diamond akafanye show ya bure uwanja wa taifa,
Ok labda mm niulize maswali yangu matatu tu ambayo sijaridhika nayo.
1. Ningependa kujua elimu yako stage kwa stage kama fundi wa tanesco anavopanda ngazi zake kumfungia mteja mpya umeme, [emoji3][emoji3][emoji3] from vidudu- ------++
2. Umesema umeanza kutumikia taifa tangu upo shule, JE KIVIPI? Kuna ukakasi nauona hapa ukizingatia na umri wako sio kivileee hadi tukuweke katka list ya waliosoma kipindi cha mwalimu....
Tungependa utuambie ni kazi gani hiyo najua unaendelea nayo, kazi gani kwa serikali gani ya kukufanya ulale hadi saa 3/4 asubuhi?
3. Hili linaweza tegemeana na swali la pili kiasi fulani, kuhusu kibiti umesema kuwa wahusika walikufuata kukuomba ushauri how? Waache mawaziri wastaafu, wabunge wa upinzani mbali na kufuatwa hawaruhisiwi hata kuzungumzia hiyo kitu. Kwanini wew?
Inatosha kwa sasa nikikumbuka jambo nitauliza tena
Cc The bold