Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Nataka kujua zaidi kuhusu hiyo 6th sense
Mfanyakazi wa Serikali: NDIO
Una 6th Sense: Hakuna ambaye hana, unatakiwa ujue tu namna ya kuitumia (ufundwe kwenye hilo)
Wewe mtu wa usalama??: Sijaelewa una maana gani??? Unamaanisha Tiss au??
Oparesheni Bravo 0: nikujibu hapa kwenye uzi huu?? Au intelligence??
Does you wife know who you really are??: Yes... Nifah knows me A-Z.! We don't have secrets