Nifah ni hv The Bold ni mtunzi mahiri, asije kuwa aliwaza before hajakuaproch ili ili story iwe na wahusika live, nikimaanisha wewe mwenyewe na the bold. Nataka iwe forever bond, vinginevyo,Nitasimamia adhabu yk, copy?Unaamisha nini mkuu? Maana nimejaribu kuwaza nikashindwa kung'amua hasa ulichodhamiria kusema.
nawatakia safari njema mpendwaAsante Miss darling [emoji8]
Kama namuona the bold alivyofungua picture yako kwa kasi ya mwewe anapo nyakua kifarangaa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hahahaaaaaaa mkuu umeanza vituko vyako,picha zilitangulia kwanza kabla ya kuonana.
Ila Bold ndiye aliyetangulia eneo la tukio...na kisheria inatakiwa iwe hivyo,mwanaume ndiye anayepaswa kutangulia eneo la tukio....
Basi mtoto wa kike nikafika na mikogo kibao ila miaibu mingiiiiii hahaha Bold alihisi kaonana na mzungu heheheeee [emoji6]
We wish you best of lucky bestie,one love.
Ulivofika eneo la tukio mlikumbatiana?[emoji85]Hahahaaaaaaa mkuu umeanza vituko vyako,picha zilitangulia kwanza kabla ya kuonana.
Ila Bold ndiye aliyetangulia eneo la tukio...na kisheria inatakiwa iwe hivyo,mwanaume ndiye anayepaswa kutangulia eneo la tukio....
Basi mtoto wa kike nikafika na mikogo kibao ila miaibu mingiiiiii hahaha Bold alihisi kaonana na mzungu heheheeee [emoji6]
We wish you best of lucky bestie,one love.
Cc,baba bite(the bold)Wakati anazisubiria aliloa jasho mwili mzima,alipoziona usiambiwe kilichofuata
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wiiii unanipaga raha sanaWakati anazisubiria aliloa jasho mwili mzima,alipoziona usiambiwe kilichofuata
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]