Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tamaa, huyu cheupe alikuwa hapa JF muda kibao hakuna mtu aliyekuwa anamtolea macho. Hasa hasa mlikuwa mnabishana naye kwenye siasa kumuita nyumbu etc.. kumbe ni almasi.. sasa hivi tokwa tu na midenda watu ndio wameshamuweka cheupe ndaniNimesoma uzi huu sijaumaliza kwakua nahisi wivu moyoni aisee hasa pale ulipomalizia cheupe ndo nikaumia zaidi why sikuwa ni mimi ninaemkamatia mtoto mzuri huyo ila Hongereni sana nyie watu
Lazma na yeye atakuwa nondo tu.Mkuu...siwezi kusubiri kuona kiwango cha IQ cha mtoto/watoto wetu.
Na nitafurahi sana kumsoma humu In Shaa Allah
Aamin Allahuma Amiin,ubarikiwe na kila la kheri kwenye mahusiano yako pia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hongereni sana, ila The Bold makala zako nikajua umekula chumvi umeona mengi kumbe mdogo wangu wa sita.
Shukrani mkuu kwa kututakia kheri..Hongereni sana Bold & Nifah kwa kuwa katika mahusiano kwa muda wa miezi sita mfululizo, japo ni muda mchache kulinganisha na changamoto zilizomo katika mapenzi na maisha kwa ujumla lakini ni mwanzo mzuri, ushauri wangu ni kuwa halalisheni kwa kufuata taratibu husika ili mtambulike rasmi kwa jamii mjiepushe na uzinifu. NAWATAKIA MAISHA MAREFU YENYE KHERI NA BARAKA TELE.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nifah ni hv The Bold ni mtunzi mahiri, asije kuwa aliwaza before hajakuaproch ili ili story iwe na wahusika live, nikimaanisha wewe mwenyewe na the bold. Nataka iwe forever bond, vinginevyo,Nitasimamia adhabu yk, copy?
Hakika... Wana JF watakuwa watu maalumu zaidi siku hiyo ya pilauSiku ya harusi wageni maalum wawe wana jf
Sisi wote tuna majina ya kiislamu... So its good there!The Bold & Nifah,nasubiria kadi ya kuchangia na mualiko wa ubwabwa!
Swali kwa The Bold: Lile jina lako halisi (ulilopewa na wazazi wako) litabadilika? au bibie Nifah ndo atabadili jina lake kukufuata?
PM??? Ilikuwa mwezi mmoja wa mwanzoni tu..Kila la kheri lakini naamini hamjawahi kukutana ni PM tu... Sasa cku ya kukutana nae ukakuta ni mwenzio halafu anatokea pale kwenye ukuta mrefuuu wenye maghorofa mengi ndani.. Hapo chachaaa.. Na kama ulidis kwenye post zako mmmhhh
Asante miss chaggahongereno sana
Shukrani mkuuNakukubali sana mkuu hongera zako.....
Unajua mimi na Nifah tulianza kupendana before hata hatujuani kiundani au mwonekano (I know its sounds strange... Ila ndio tulipendana hivyo)..The bold/nifah hongereni sana wakuuu.ila najaribu kuvuta picture siku ya kwanza kupeana miadi ya kuonana(kama hamkuanza kwanza kutumiana pictures)hakukua na kutegeana kufika kwanza eneo la tukio?,ilikuepuka shambulio la moyo[emoji2] .
Wanyamwezi husema bhangi bhulyaa bhangi bhutumula misooo,itabidi na mimi shemeji/wifi yenu wa kiromije nimshawishi ajiunge jf[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
I wish you the best nyie viumbe.
Shukrani kwa pongezi mkuu..Kwanza hongereni na mmefanya ionekane vitu/mahusiano yanaweza jengwa popote lakini kubwa tunaomba halali ipite ku imarisha mlichoanzisha pia nahisi upande wa "Nifah" ni "Nikah" inahusika sijui kwa Mr Bold au itakuwa kwa mkuu wa Wilaya?
Inshallah mkuu... Nadhani tutakuwa mfano mzuri kwa wengine..Daa! Safi sana nimependa namna uhusiano wenu ulivyoanza atleast mnakitu cha kusimulia, kazi mliyonayo ni kuthibitisha kwmb uhusiano unaoanzia kwenye mitandao unaweza kuleta very bold and strong familia