Kana mwandiko mbaya kama MwachiNime ona some indication, sema uko POA depal!
Nikikumbuka na ninyi kipindi kile mnawishiana hepibethidei, mkasindikizana na convo za PM kuonesha jinsi mlivyoanza kukwaruzana hatimaye mkazama.[emoji16][emoji16][emoji16]
Nyie mko vizuri [emoji1783]
Big up
[emoji16][emoji16][emoji16]sisi hatuna shida,umeanza lakini embu kuwa mpole[emoji16][emoji16][emoji16]
Nyie mko vizuri [emoji1783]
Big up
You too madam, more love less egoKana mwandiko mbaya kama Mwachi
Ila kenyewe kanatukana sana, Mwachi akizinguliwa ye analia na kunywa pepsi, hawezi tukana.
Ilaa tusijichoshe
Happy new year.
[emoji16][emoji16][emoji16]wewe jilete tuNayafuata huko huko nije niyatibue[emoji2][emoji2][emoji2]
😂😂😂🙌 unamlike ukienda zako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]unataka bdae awake hadi picha ya ..... yangu
Kama hawawezi kuweka option ya kufuta uzi basi hapa hakuna uhuru tunaoutakaHili haliwezi kuwekwa, Unataka nyuzi zote za JF zifutwe?
🤐🤐🤐🤐🤭[emoji16][emoji16][emoji16]sisi hatuna shida,umeanza lakini embu kuwa mpole
😁😁😁😁Nikikumbuka na ninyi kipindi kile mnawishiana hepibethidei, mkasindikizana na convo za PM kuonesha jinsi mlivyoanza kukwaruzana hatimaye mkazama.
Na hawa nao walianza kukwaruzana kwa mjibu wa huu uzi.
Ila ile GRAVITATION FORCE ijulikanayo kama "Mtaachana tu" nimeamini ina nguvu sana
Ume prove we ni penseli🤒usinifananishe nashoga please
Soma tena..unakimbilia wapi?Miaka sita seriously?
Nisome nn tulia wewe, mahusiano yameanza 17 yameishia 23 ni miaka 6 ya uchumba tuSoma tena..unakimbilia wapi?
Ukisha-post Uzi unakua mali ya 'umma' sio wako pekee.Mods Tuwekeeni option ya kufuta nyuzi kuna muda huwa tunajutia tulichopost ni basi tu tunashindwa kufuta