The Bold & Nifah: Happy Six Months "Anniversary"!

The Bold & Nifah: Happy Six Months "Anniversary"!

Ukishamuoa umpige marufuku kuzurura JF..sawa bold?
Hahahahaha..!! Kama ulikuwepo mkuu

Bado harusi, ila namdhibiti sana asiwe anazurura humu... Nadhani unaona siku hizi amekuwa adimu flani hivi humu anaweza kukaa hata siku tatu hajaingia JF
 
Daahh the bold mie ni msomaji wako yaani kwa kifupi nafuatilia sana thread zako kila niendapo huwa nakaa nazisoma sana...mungu wajalie kila lililo jema muishi maisha marefu yenye furaha tele
Shukrani sana mkuu cadabraa kwa pongezi...

In shaa Allah mwenyezi Mungu atujalie
 
Nimesoma uzi huu sijaumaliza kwakua nahisi wivu moyoni aisee hasa pale ulipomalizia cheupe ndo nikaumia zaidi why sikuwa ni mimi ninaemkamatia mtoto mzuri huyo ila Hongereni sana nyie watu
Hahahahahahah!!

Asanate sana mkuu..
 
Kwa ulivyo mtaalam wa kupanga lugha kwenye story mm nitasemaje sasa.



Nifa mwenyewe mhhh sio mdogo kwenye hio IQ sasa mmekutana hapo hata mkijipanga mkaleta ID ya mtoto wenu akathibitisha tutaelewa maana sjui mnatulogezea kwanza....



Ila all in all kila la kheri kwenye mausiano yenu na tathnia yenu
Aisee Nifah huwa anamsubiri sana kwa hamu huyo "Einstein" wetu..


Shukrani mkuu kwa pongezi..
 
Acha tamaa, huyu cheupe alikuwa hapa JF muda kibao hakuna mtu aliyekuwa anamtolea macho. Hasa hasa mlikuwa mnabishana naye kwenye siasa kumuita nyumbu etc.. kumbe ni almasi.. sasa hivi tokwa tu na midenda watu ndio wameshamuweka cheupe ndani
Hahahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Ingawa umeandika kiutani ila kuna ukweli mkubwa sana ndani yake!
 
The bold atlst naweza kukufahamu kwa kiasi. Sijamfahamu Nifah cz sijawah hata chat naye ktk wall za Jf.
Bt Bold i knw ua a gud boy kwa upande wangu, sababu maandishi yana tusadifu kwa kias kikubwa sana ingawa sio wote unaweza wajua kupitia maandishi, ila najua ua a gud boy.

Ushauri tu ni kuwa mbaki katika utakatifu( holliness) kwa Mungu na Mungu atawaheshimu.
Kiasi kwamba msimpe shetani nafasi ya kuwashitaki na kupata mwanya wa kuwatawanya kama kondoo asiye na mchungaji

Kingine, huu uzi yap umefungua kwa nia njema kabisa lakini weka akilini kuwa umefungulia vita na mlango ambao shetani atapigana

Kitu kizuri hakuna cha kumshinda Mungu ukirud huko juu nilicho andika kuwa kaa ktk utakatifu Mungu atasimama upande wenu

Na katika marriage/ rlship lazima mmoja au wote wawili awe na imani vzr ili aweze kumbeba mwenzie ktk kuomba kwa Mungu

Kama wote hamsali ile ya kusali mnavyo ijua bas anzeni sasa
Na kama mmoja kasimama vzr na Mungu aombe ili hata vita ikija msitetereke sababu ngao yenu ni Mungu aliye hai

Kingine huwa napenda kuwaambia watu kama unaweza epuka vita, usipigane upuka kuliko kujichosha bila sababu
Hivyo kuna vita vingine kabisa mnaweza kuvikwepa , mvikwepe sio kuwa ni mpo dhaifu hapana

Ni kwasababu kama njia nyingine ipo kwanini uende ktk njia ya hatari

I wish u all da best ombi langu ni mapenzi ya Mungu kwetu ni mema sana na anatuwazia mazuri kila siku

Hivyo Mapenzi ya Mungu yatimizwe kwenu
Amen
Asante sana madam...


Unajua vile huwa naheshimu maneno yako ukiwa kama mtumishi wa Mungu aliye hai...


Siwezi kusema mengi, ila haya yote uliyoandika nimeyahifadhi moyoni mwangu na naamini Mungu atanisaidia niyatekeleza kwa kadiri ya mapenzi yake!


Asante kwa kuniinua mbele za Mungu siku zote ili nizishinde vita! Nashukuri sana kwa hekima na maneno yako ya kutia moyo unayonipa siku zote... Mwenyezi Mungu azidi kukutunza na azidi kulupa moyo wa kutuombea!


Shukrani sana Mtumishi! Ubarikiwe..
 
it is possible. mimi nimeshakutana na watu wengi tu ambao tumeanza mahusino (siyo ya kimapenzi) kwenye mitandao ya kijamii.

hongereni bwana. ila vipi kuhusu wivu? [emoji23][emoji23][emoji23]
Shukrani sana mkuu...



Kuhusu wivu?? [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hiyo ipogo sana mkuu! Alafu si unajua wanaJF baadhi walivyo wakorofi... Wanaona kabisa Nifah she is taken lakini huko PM sasa [emoji17] [emoji17]

Uzuri mwanamke wangu anajielewa! Huwa wanakula za mbavu kinoma [emoji23] [emoji23]
 
Shukrani sana mkuu...



Kuhusu wivu?? [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hiyo ipogo sana mkuu! Alafu si unajua wanaJF baadhi walivyo wakorofi... Wanaona kabisa Nifah she is taken lakini huko PM sasa [emoji17] [emoji17]

Uzuri mwanamke wangu anajielewa! Huwa wanakula za mbavu kinoma [emoji23] [emoji23]
Hahahah
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sitaki kufuata mfano wa Chibu, nimzalishe soulmate wangu two kids bila ndoa?? [emoji15]

Nataka tupate watoto wa 'halal'
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kuonjana onjana pia haram,na uchumba kene dini yetu mwisho miezi mi3,kama ndo ingekuwa uhamiaji unakosa la ku overstay nchi ya watu miezi 3.

Ps
Sasa mzee baba cheupe hana wadogo zake wakike? Fanya bas makaratee uniweke kwa mmoja tuwe tunakutana ukweni.
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kuonjana onjana pia haram,na uchumba kene dini yetu mwisho miezi mi3,kama ndo ingekuwa uhamiaji unakosa la ku overstay nchi ya watu miezi 3.

Ps
Sasa mzee baba cheupe hana wadogo zake wakike? Fanya bas makaratee uniweke kwa mmoja tuwe tunakutana ukweni.
In shaa Allah... Nafanya wonders soon...


Ana mdogo wake kazuriiiiiiiii... Ila hatumuzeshi for now... May be usubiri amalize shule [emoji4] [emoji4]
 
Back
Top Bottom