The bold atlst naweza kukufahamu kwa kiasi. Sijamfahamu Nifah cz sijawah hata chat naye ktk wall za Jf.
Bt Bold i knw ua a gud boy kwa upande wangu, sababu maandishi yana tusadifu kwa kias kikubwa sana ingawa sio wote unaweza wajua kupitia maandishi, ila najua ua a gud boy.
Ushauri tu ni kuwa mbaki katika utakatifu( holliness) kwa Mungu na Mungu atawaheshimu.
Kiasi kwamba msimpe shetani nafasi ya kuwashitaki na kupata mwanya wa kuwatawanya kama kondoo asiye na mchungaji
Kingine, huu uzi yap umefungua kwa nia njema kabisa lakini weka akilini kuwa umefungulia vita na mlango ambao shetani atapigana
Kitu kizuri hakuna cha kumshinda Mungu ukirud huko juu nilicho andika kuwa kaa ktk utakatifu Mungu atasimama upande wenu
Na katika marriage/ rlship lazima mmoja au wote wawili awe na imani vzr ili aweze kumbeba mwenzie ktk kuomba kwa Mungu
Kama wote hamsali ile ya kusali mnavyo ijua bas anzeni sasa
Na kama mmoja kasimama vzr na Mungu aombe ili hata vita ikija msitetereke sababu ngao yenu ni Mungu aliye hai
Kingine huwa napenda kuwaambia watu kama unaweza epuka vita, usipigane upuka kuliko kujichosha bila sababu
Hivyo kuna vita vingine kabisa mnaweza kuvikwepa , mvikwepe sio kuwa ni mpo dhaifu hapana
Ni kwasababu kama njia nyingine ipo kwanini uende ktk njia ya hatari
I wish u all da best ombi langu ni mapenzi ya Mungu kwetu ni mema sana na anatuwazia mazuri kila siku
Hivyo Mapenzi ya Mungu yatimizwe kwenu
Amen