The Bold & Nifah: Happy Six Months "Anniversary"!

The Bold & Nifah: Happy Six Months "Anniversary"!

Nchi za mashariki mwa bara la Asia kuna falsafa ya kale sana wanayoiamini kuhusiana na muunganiko na mahusiano ya binadamu. Falsafa hii inaitwa Red String Of Fate (Yīnyuán hóngxiàn).

Kwamba, kuna 'uzi' usioonekana unawaunganisha watu tangu siku wamezaliwa, watu ambao maishani wanatakiwa kuja kukutana, au kusaidiana au kuwa pamoja.

Uzi huu usioonekana unalindwa na kusimamiwa na aina ya Mungu/roho anayeitwa Yuè Xià Lãorén (au kwa kifupi Yuè Lão).

Tafsiri rahisi ya jina la "mungu/roho" huyu ni "matchmaker god"
Yeye anasimamia uzi huu unaowaunganisha watu hawa usikatike daima mpaka pale watakapokuja kukutana.

Nchini china wanaamini uzi huu unafungwa kwenye viwiko vya mkono, na nchini Japan wao wanaamini uzi huu unafungwa kwenye kidole kidogo cha mwisho na kwamba uzi huu unaowaunganisha watu hawa, unaweza kupinda (tangle) au kunyooka zaidi (stretch) lakini kamwe hauwezi kukatika mpaka watu hawa wakutane.

Kwa kifupi, imani hii ya watu Asia inarandana na imani ya watu wa magharibi kuhusu 'Soulmate'.

Mimi na Nifah: Historia fupi


Nikiwa sekondari nilikuwa naisikia sikia kitu kinaitwa "jambo forums" na 'kasheshe' zake lakini sikuijua sana kwa undani.

Baadae mwaka 2009 nikiwa kidato cha tano nikaichungulia ndani kujua yaliyomo, kipindi hiki ilikuwa imeanza kuitwa "Jamii Forums".

Kipindi hiki kulikuwa na mijadala 'mizito mizito' sana na karibu yote ilihusu siasa.
Japokuwa nilikuwa 'mtoto wa sekondari' nilivutiwa nayo sana, napenda sana mijadala, hasa mijadala mizito (yenye hoja sio matusi).

Mwaka 2011 nikajiunga rasmi (kwa ID nyingine) lakini baadae nikasahau password ya ile ID. Ndipo hapa mwaka 2013 nikafungua ID hii ya The bold.
Mwanzoni nilikuwa nasoma tu, sikuwa mchangiaji sana, lakini kuanzia 2014 nikaanza kuwa active zaidi na hata kuanzisha threads.

Kwa sababu zangu binafsi, nikaepuka mijadala ya jukwaa la siasa, na nikajikuta navutiwa zaidi na Jukwaa la Jamii Intelligence. Na nikitaka kupumzika nikawa naingia Celebrities Forums… na huko ndiko mambo yalikoanzia.

Binafsi nina maslahi fulani fulani na pia ni shabiki mkubwa wa vijana wa WCB. Huko Celebrities Forum nikakutana na bibie Nifah mkosoaji mkubwa wa WCB.
Taratibu tukaanza kukwaruzana kwenye mijadala. Ugomvi huu ukawa mkubwa zaidi na kufikia pabaya mwaka 2015 na mwanzoni kwa 2016. Ulikuwa ni ugomvi mkubwa haswaaa kiasi kwamba tulikuwa tunatoleana lugha Kali za aibu kabisa. Ugomvi huu ukaendelea na kukua siku baada ya siku, kiasi kwamba Nifah akawa adui yangu namba 1 humu JF na mimi nikawa hivyo kwake.

Lakini ukweli ni kwamba rohoni nilikuwa namkubali sana huyu bibie na nilikuwa navutiwa nae sana, IQ yake, ujengaji hoja wake na niliamini ni mtoto mrembo haswaaa!!

Kwahiyo mara kwa mara nilikuwa nafanya ule mchezo wa kutembelea profile yake na kuanza kuangalia replies zake kwenye threads mbalimbali. Nikazidi kuvutiwa naye zaidi na nikajikuta naanza kulike posts za huyu "adui" yangu.

Pasipo mimi kujua, kumbe naye anafanya mchezo huu wa kutembelea profile ya mimi "adui" yake na ghafla nikaanza kuona likes kutoka kwake.
Baadae tension kati yetu ikaanza kupungua na tukawa tukikutana kwenye threads yoyote lazima tuchit chat.
Kipindi cha uchaguzi wa marekani nakumbuka tulibet, yeye akaweka 100K kwa Clinton, mimi nikaweka 100K kwa Trump, [emoji23].. Alijuta [emoji23][emoji23]

Chit chat kwenye threads zikaendelea…

Kisha tukahamia PM. Huko PM kilichoendelea sitaki kuwasimulia… ila kwa ufupi mwana wane sikutaka ujinga, nikajitutumua, nikafanya yangu… and the rest is history.!

Tangu hapo… we have been crazily in love together!

Najivunia kumpata mwanamke wa dizaini yake, ana heshima, mnyenyekevu, big IQ, beautiful, anajua kukalangiza jikoni na mwenye kujua haswa mapenzi ya dhati… bila kusahau usiku tukizima taa huwa najihisi tumeenda kutalii sayari ya Mars!! Mashallaaahh…

Nafurahi pia ndugu zake wanajivunia mimi kuwa na binti yao, na ndugu zangu pia wanajivunia mimi kuwa na huyu binti.!

Mwenyezi Mungu akutunze white masai wangu… na wakuu mtuombee soon tunataka kufanya halal..

Imekuwa six months sasa tuko pamoja… let's make it to six more years, and then 60 years na hatimaye 600 years!! Let's make this forever...

Happy six months anniversary soulmate...
Nakupenda sana Cheupe!

The Bold
-----------
Ngoja tu!!🤣🤣🤣
 
6 years dating??!! Hayakuwa mahusiano tena, hii ilikua ndoa bubu. Hapo ndio utasikia wadada wanasema Ulinipotezea muda wangu utadhani huo muda umepotea kwake tu.
Huwa wanasema hivyo kwa sababu wanaume mnajisifiaga kwamba mnaweza kuoa hata mkiwa na miaka 50, lakini mwanamke akifika 30 tu ndoa anaanza kuitafuta kwa tochi, sasa kwa mtazamo wa hovyo kama huo unadhani ni yupi anakuwa kapotezewa muda hapo
 
Nchi za mashariki mwa bara la Asia kuna falsafa ya kale sana wanayoiamini kuhusiana na muunganiko na mahusiano ya binadamu. Falsafa hii inaitwa Red String Of Fate (Yīnyuán hóngxiàn).

Kwamba, kuna 'uzi' usioonekana unawaunganisha watu tangu siku wamezaliwa, watu ambao maishani wanatakiwa kuja kukutana, au kusaidiana au kuwa pamoja.

Uzi huu usioonekana unalindwa na kusimamiwa na aina ya Mungu/roho anayeitwa Yuè Xià Lãorén (au kwa kifupi Yuè Lão).

Tafsiri rahisi ya jina la "mungu/roho" huyu ni "matchmaker god"
Yeye anasimamia uzi huu unaowaunganisha watu hawa usikatike daima mpaka pale watakapokuja kukutana.

Nchini china wanaamini uzi huu unafungwa kwenye viwiko vya mkono, na nchini Japan wao wanaamini uzi huu unafungwa kwenye kidole kidogo cha mwisho na kwamba uzi huu unaowaunganisha watu hawa, unaweza kupinda (tangle) au kunyooka zaidi (stretch) lakini kamwe hauwezi kukatika mpaka watu hawa wakutane.

Kwa kifupi, imani hii ya watu Asia inarandana na imani ya watu wa magharibi kuhusu 'Soulmate'.

Mimi na Nifah: Historia fupi


Nikiwa sekondari nilikuwa naisikia sikia kitu kinaitwa "jambo forums" na 'kasheshe' zake lakini sikuijua sana kwa undani.

Baadae mwaka 2009 nikiwa kidato cha tano nikaichungulia ndani kujua yaliyomo, kipindi hiki ilikuwa imeanza kuitwa "Jamii Forums".

Kipindi hiki kulikuwa na mijadala 'mizito mizito' sana na karibu yote ilihusu siasa.
Japokuwa nilikuwa 'mtoto wa sekondari' nilivutiwa nayo sana, napenda sana mijadala, hasa mijadala mizito (yenye hoja sio matusi).

Mwaka 2011 nikajiunga rasmi (kwa ID nyingine) lakini baadae nikasahau password ya ile ID. Ndipo hapa mwaka 2013 nikafungua ID hii ya The bold.
Mwanzoni nilikuwa nasoma tu, sikuwa mchangiaji sana, lakini kuanzia 2014 nikaanza kuwa active zaidi na hata kuanzisha threads.

Kwa sababu zangu binafsi, nikaepuka mijadala ya jukwaa la siasa, na nikajikuta navutiwa zaidi na Jukwaa la Jamii Intelligence. Na nikitaka kupumzika nikawa naingia Celebrities Forums… na huko ndiko mambo yalikoanzia.

Binafsi nina maslahi fulani fulani na pia ni shabiki mkubwa wa vijana wa WCB. Huko Celebrities Forum nikakutana na bibie Nifah mkosoaji mkubwa wa WCB.
Taratibu tukaanza kukwaruzana kwenye mijadala. Ugomvi huu ukawa mkubwa zaidi na kufikia pabaya mwaka 2015 na mwanzoni kwa 2016. Ulikuwa ni ugomvi mkubwa haswaaa kiasi kwamba tulikuwa tunatoleana lugha Kali za aibu kabisa. Ugomvi huu ukaendelea na kukua siku baada ya siku, kiasi kwamba Nifah akawa adui yangu namba 1 humu JF na mimi nikawa hivyo kwake.

Lakini ukweli ni kwamba rohoni nilikuwa namkubali sana huyu bibie na nilikuwa navutiwa nae sana, IQ yake, ujengaji hoja wake na niliamini ni mtoto mrembo haswaaa!!

Kwahiyo mara kwa mara nilikuwa nafanya ule mchezo wa kutembelea profile yake na kuanza kuangalia replies zake kwenye threads mbalimbali. Nikazidi kuvutiwa naye zaidi na nikajikuta naanza kulike posts za huyu "adui" yangu.

Pasipo mimi kujua, kumbe naye anafanya mchezo huu wa kutembelea profile ya mimi "adui" yake na ghafla nikaanza kuona likes kutoka kwake.
Baadae tension kati yetu ikaanza kupungua na tukawa tukikutana kwenye threads yoyote lazima tuchit chat.
Kipindi cha uchaguzi wa marekani nakumbuka tulibet, yeye akaweka 100K kwa Clinton, mimi nikaweka 100K kwa Trump, [emoji23].. Alijuta [emoji23][emoji23]

Chit chat kwenye threads zikaendelea…

Kisha tukahamia PM. Huko PM kilichoendelea sitaki kuwasimulia… ila kwa ufupi mwana wane sikutaka ujinga, nikajitutumua, nikafanya yangu… and the rest is history.!

Tangu hapo… we have been crazily in love together!

Najivunia kumpata mwanamke wa dizaini yake, ana heshima, mnyenyekevu, big IQ, beautiful, anajua kukalangiza jikoni na mwenye kujua haswa mapenzi ya dhati… bila kusahau usiku tukizima taa huwa najihisi tumeenda kutalii sayari ya Mars!! Mashallaaahh…

Nafurahi pia ndugu zake wanajivunia mimi kuwa na binti yao, na ndugu zangu pia wanajivunia mimi kuwa na huyu binti.!

Mwenyezi Mungu akutunze white masai wangu… na wakuu mtuombee soon tunataka kufanya halal..

Imekuwa six months sasa tuko pamoja… let's make it to six more years, and then 60 years na hatimaye 600 years!! Let's make this forever...

Happy six months anniversary soulmate...
Nakupenda sana Cheupe!

The Bold
-----------
Hivi anniversary inahesabuweje kwa wasio ndoani, ni siku mliyozungumza?, kukubaliana ? Au kuduu?
 
Hivi anniversary inahesabuweje kwa wasio ndoani, ni siku mliyozungumza?, kukubaliana ? Au kuduu?
Ni ujuha kufanya anniversary ya miezi 6.
Kimsingi anniversary inafanywa lengo kushukuru kwa kuvuka mabonde mengi na mema mengi pia.

Sasa miezi 6 kwa mapenzi hata hamjajuana vizuri ilikuwa ni ushamba na kujionyesha
 
Ni ujuha kufanya anniversary ya miezi 6.
Kimsingi anniversary inafanywa lengo kushukuru kwa kuvuka mabonde mengi na mema mengi pia.

Sasa miezi 6 kwa mapenxi hata hamjajuana vizuri ilikuwa ni ushamba nabile kujionyesha
Mkuu unaumia na nini?
They say enjoy it while it lasts, and they did it accordingly.
i.e. one should cherish every moment of something enjoyable as they might never get another chance.
 
Uchumba miaka saba wachache wanaweza kuvumilia,nilikaa kwenye uchumba mda mrefu ila kilichonisaidia niliamua kufocus na ishu zangu na kutoiwaza ndoa,pole sana nifah kiukweli ni ngumu kuvumilia miaka yote hiyo
Mbna wengine zaidi ya 7. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Just maamuzi tyuuh.
 
Back
Top Bottom