The bold: Waraka

Acha movie iendelee! Pole sana Emma!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Ni mojawapo kati ya post zinauma sana nilizowahi kusoma JF, hii post ina mengi mengi ya kutufumbua macho!!!! Emma mdogo wangu JIPE MOYO UTAYASHINDA YANA MWISHO UTAYASHINDA huu wimbo wenu uliwainspire wengi na kutoka hapo mkaelekea kilele cha mafanikio, naomba wimbo huohuo ukawe faraja kwako sasa katika mapito haya unayopitia USIKATE TAMAA DHALIMU HATAISHINDA HAKI
 
hehe hakuna kitu kama hicho..mwezi wa nane tupo Iringa na helcopter watch me

Huko Iringa machangudoa kutoka nchi nzima watahamia kama wanavyohamia Dodoma. Si wameishasikia mchungaji anahonga milioni tisa na milioni kumi na nane... Watakuja mikutanoni wamejiremba kikahaba ili kumtamanisha kahaba mwenzao Gwajima. Kumbe lile zee fuska Sana, linamtanguliza mume wa mtu Dar linabaki linatafuna mkewe...
 
Nimesoma kwa makini mno huo waraka, nimejaribu kuvaa uhusika, aisee imeniuma sana. Nilipojaribu kumsikiliza katika uzi mwingine anaosema Flora amekomba kila kitu kuanzia documents hadi kapeti na mashuka yaani ndio nimezidi kuumia hadi nikahisi kutokwa chozi.
 

mchungaji hafai huyu.....
sa hivi inabidi kuwa making sana na hawa wachungaji majina
 

mbona mwanzo ulikua unang'angania Mbasha ndio bold leo umekuja kubadilika
 

siwezi kukulazimisha kuamini maana ungetaka ukweli ungemuhoji the bold atoe ushahidi juu ya anayoongea... Najifunza mengi kupitia hizi story za uongo zaidi sana napata kujua kuwa hata story nyingi za wanasiasa ni uongo unaotungwa na watu wachache tu...
 
We Danganywa Tu Ila Elewa Na Atoe Jibu Kabaka Au Hakubaka, Asitake Kuonewa Huruma Kwakuunganisha Stor Za Uongo, ANGEKUA KWELI ANAJIELEWA ANGEELEZA KWANINI ALIBAKA NA SI POROJO ZAKE IZO

Kwa mimi naona hakubaka. Angekuwa amebaka dhamana isingetolewa kwa masharti rahisi. Kwa sasa angekuwa bado mahabusu. Kuna namnanamna between.
 

mkuu uongo upo na ndio unaotawala hii dunia,kumbuka story ya jana juu ya kifo cha kawambwa,mtu kajitungia tu na kuweka hewani,wapo wafungwa wengi wanaotumikia vifungo kwa makosa yasio yao ndio dunia ilivyo
 
Acha kumfundisha uoga wewe,hakuna Mtumishi wa Mungu Sampuli hii huyo ni Wakala wa Shetani.

Haswa anatumia comed mara nafufua watu misukule ya miaka kumi inaongea kama sio sanaa ni nn?


Sent from my iphone using jamii forum
 
Gwajima ni tapeli, alikuwa anadanganya watu eti ana uwezo wa kufufua misukule. wizi mtupu. sasa kaingilia wake za kondoo wake. nasikia hata yule pale mwenge wa kanisa ka EFATA aliwahi kumdanganya dada mmoja akampangishia chumba hotel moja hapa Dar eti aweze kusali na kuomba vizuri kuepuka furugu za watu, baadae akamtokea lkn baadae alimnunulia kiwanja na kumjengea nyumba.
 
Mkuu The Bold, kwanza pole dana kwa yote!.
Kiukweli nimeguswa sana!, and I think I can help somewhere somehow!.

Kwa wenye mashaka, naomba niwathibitishie "this is bonafide genuine!".

Naomba kutoa usaidizi mfupi namna ya kuipambanua "bonafide genuine" from "fake"
Unaweza kuijua tuu kwa kuusikiliza moyo wako!, listen from your heart!.
Pasco.
 

Ingawaje Moyo Wako unavuja damu, God will make a way
 

Inabidi Mbasha afanye hivyo, Lakin mpaka hapa sina uhakika tena kama ntakuja kuoa maana kwenye hili sakata nimejifunza mengi tena zaiddi nazidi kuogopeshwa with a thing the so called ndoa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ninamfahamu vizuri huyo mtu wa kwenye avatar yako hapo, he was my classmate pale Tambaza. Majina yake yanaanzia na H and B ni wewe au umeamua tu kutumia bila yeye kujua mkuu???

Tambaza mwaka gani mkuu, maana sisi ni matunda ya hiyo shule ya ukweli. Hata mimi hiyo sura si ngeni kabisa.
 

Wagonjwa badala ya kufurahia neno la Mungu kuwa jirani yao wenyewe wanaita makelele, HAMJISHTUKII???? Mnasubiri wafe ndiyo mjifanye kuwarudisha misukule badala ya kwenda kuwaombea afya njema kabla hawajafa.

Hivi ile ishu ya mtikila muliimaliza vipi???

Ya Amina Chifupa Je???

Nyie jamaa fiksi nyingi sana, halafu eti mnakimbilia kusema tusimsemee vibaya mtumishi wa Mungu. Mungu yupi?? Huyu huyu muumba wa Mbingu na ardhi?? Wa isaka na yakobo??? Wa ibrahim??? Au mungu wa misukule???

Anaonekana ni mtumishi wa mungu kwa watu ambao hawajapewa macho ya rohoni na kulijua neno kama ninyi. Hampo huru tena. Mmefungwa na nguvu za kishirikina za kurudisha hiyo misukule.

Ibada zenu ni za promotion zaidi kuliko kuwahakikishia waumini wenu ufalme wa Mungu aliye hai. Ibada nzima mnazungumzia misukule. What i know, huwezi cheza ngoma usiyoijua i.e ni lazima mmefanywa kuwa misukule and that`s why hamna akili za kujitambua.

Mnajitahidi Kumpenda Mungu wenu kwa mioyo yenu yote na Nguvu zenu zote lakini HAMTUMII AKILI ZENU KUMPENDA MUNGU and thats why MNAANGAMIZWA NA MSIPOBADILIKA NA KUIJUA KWELI NA MAPASTOR WENU FAKE MTAZIDI KUANGAMIZWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…