The bold: Waraka

Kuna kitu nyuma ya huu ukatili,hawezi kua katili hivi hivi,huwezi jua Imma kamtenda mara ngapi tena kwa ktembea na mdogo wake,bora yeye anatembea na Gwajima ambae hana uhusiano wowowte wa ki DNA na Imma.
Hata huyo shemeji yake hana uhusiano wa kiDNA na flora.. Maana huyo binti ni yatima, alilelewa na familia ya akina flora mwanza, alipomaliza darasa la saba ndo akaja kuishi na flora dar. Kama ni DNAs, hapo hamna kitu
 
Hata huyo shemeji yake hana uhusiano wa kiDNA na flora.. Maana huyo binti ni yatima, alilelewa na familia ya akina flora mwanza, alipomaliza darasa la saba ndo akaja kuishi na flora dar. Kama ni DNAs, hapo hamna kitu
Mhuuuuuuuuu,basi kazi ipo,hii issue iko complicated sana kwa kweli
 
davidm hizo ACCT kufunguliwa kwa jina la Frola na fedha kuwekwa Moro nazo unakanusha???
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkuu the bold

Jikusanye uanze maisha upya
 
Duh! nilihisi mwanzoni tu kama the bold ndiyo mbasha mwenyewe. Kaazi kweli kweli.
 
too bad nimechelewa nimekuta uzi ushachafuka
 
Nadhani kajenga na nyumba kwan asingeweza kuhamisha vitu vyote vya ndani na kupeleka hotelini inakosadikika anaishi kwa sasa
 
Kuna kitu nyuma ya huu ukatili,hawezi kua katili hivi hivi,huwezi jua Imma kamtenda mara ngapi tena kwa ktembea na mdogo wake,bora yeye anatembea na Gwajima ambae hana uhusiano wowowte wa ki DNA na Imma.

one wrong can not justify the other
 
Nimefurahi kweli ulipomuita Gwajima MBWA..., hahahahahah...! pole bhana unajua yule mke wako nae tatizo anakua kama wale mbwa walio kwenye joto bhana..., aaaghhh..., pole bwana..

What!!!!! Untaka kuniambia nini hapa!!! Unajua mbwa jike akiwa kwenye heat anapandwa na dume hata ishirini...??

Mkuu yani Flora ni mbwa jike aliyekwenye heat....Duhh
 
We we unayesema mbasha hana akili we ndio hopeless kabisa na upeo wako was kufikiri ni mdogo mno.
 
Labda ya open university

huna kitu kabisa aisee... Zero

Nilikuwa na machungu yangu moyoni leo na wala sikuwa na mpango wa kuchangia leo lakini Janjaweed umenifanya nicheke sana, Thanks kwa kunipunguzia machungu kidogo. Hivi mods hakuna jinsi ambavyo mnaweza kuweka kitufe cha kubonyeza kama ilivyo kwa "like" ili kuonesha ni jinsi gani mtu umecheka au hata umekasirika? maana kuna wakati mtu unaweza ukasoma kitu humu JF ukacheka sana ukatamani hata kama kungekuwa na mahali pa kibofya kuonesha kuwa umecheka
 
one wrong can not justify the other
Wote wana makosa,ila huyo aliyebaka ana kosa kisheria na ndo maana alilala keko,umeona wapi Gwajima kashitakiwa kwa kutembea na Flora?Emma alikosea sana kutembea na shemeji yake,angeenda corner Bar asingekosa Demu.Mimi ninachomshauri tu aachane na mitandao ajikite kwenye kesi yake.Atafute mawakili wazuri,maana Flora kashashusha credibility yake,hapo imma ahakikishe anaiambia mahakama kuwa anasingiziwa,Maana kama mke kabeba kila kitu hii inaonyesha kabisa kuwa kuna kunauwezekano kabisa wa kuamuarengia kesi mme wake
 
yote yatasemwa ila ukweli wanaujua wenyewe.na hakimu wao ni Mungu ..sie tunaona kwa macho ya nje ila yeye aliye juu anaona kwa macho ya ndani.Mungu awasaidie kwa hili
 
Kwani huyo mchungaji ndo yule aliyemficha kipindi chote au????(G....)By the way penzi limeshaingia
luba bro,wazo la kumrudia nashauri liache anza upya maisha yako.SABABU ni kuwa mandhali kaonja lazima jamaa litaendelea kukupigia tuuuuuuuuu!!!!! mwisho utakufa na presha. Please let it go for the sake of your life.
 

Nami nimechekaa balaa @njajaweed kibokoooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…