The bold: Waraka

teh teh teh. We ze bolidi mi naendelea kusoma hii komedi. Jitahidi uandae nyingine mapema iwezekanavyo
 

Ni maombi yangu ya Nguvu kwa Mungu aliye hai AKUPE MACHO YA ROHONI. Ni ngumu sana kujitambua coz umefungwa na uganga.
 
hhuhuuuu uyu The bold ni dogo fulan alisomaga tambaza..msanii tu

Nakushauri uonane na Daktari wa magonjwa ya akili. Huwezi kuwa mzima wewe. Posti zako zinanitia sana shaka na uwezo wako wa kufikiri.

Ulisema huoni cha kujadili kwenye huu uzi, umerudi kutafuta nini? Kutuambia The bold aliposoma??
 
Last edited by a moderator:
sasa kama mtumishi ana gegeda wake za watu asisemwe? Ngoja hivi punde atagegeda wa kwako, na anananiliu sembe tukae kimya tu? Hv nyie mmelishwa nn? Duh mazingaombwe nouna yanaharibu medula oblangata zenu

utakua una kimini cha akili, soma posts zangu uelewe na ujue nimequote hviyo kwa minajili ipi, --- i never support wasanii wa dini including hata huyo TBJ

yawezekana wewe ni mdogo sana hata humjui kibwetere ni nani... well google kuhusu kibwetere

nyambafff wahed
 
Ni maombi yangu ya Nguvu kwa Mungu aliye hai AKUPE MACHO YA ROHONI. Ni ngumu sana kujitambua coz umefungwa na uganga.

amen .... maombi ni maombi tu ..siwezi yadharau!!!... ilmradi mwombaji awe msafi...
 
unashida kubwa kuliko mtu yoyote anaweza kutambua... post yako haiendani kabisa mtu anayemwogopa Mungu, achilia mbali kusifia Helicopter
 
Kama kweli unafanya kazi ya Bwana, epuka lugha za aina hii na usijiingize katika majigambo ya kidunia. Ni kama vile umejiunga kwenye baraza la wafanya mizaha.

hata Yesu alivyopakwa marhamu ya ghara Yuda alikuwa wa kwanza kujifanya anajali gharama..mimi kusema helcopter yamikutano unadai najisifu.. duh..alafu post nzima nilioandika we umeona makosa tu"!" yaani vichwa vya watu wengine aisee.... ni shake before use!!
 
unashida kubwa kuliko mtu yoyote anaweza kutambua... post yako haiendani kabisa mtu anayemwogopa Mungu, achilia mbali kusifia Helicopter

huna haki ya kunihukumu... jibu hoja... hapa tunajadili kama great thinker...sio kuingiza personal value zangu....be intellectual..discuss idea not people...
 

Ukitaka kujua uwongo ni hizo hoja za kuazimishwa mke, kusali kwenye kanisa la mchungaji muovu, kubembeleza mke aliyekimbia na mwanaume mwingine tena alikua anajua siku nyingi mke wake anatembea na mchungaji!
Hii ni story ya kutunga! Hakuna mwanamme mpumbafu kiasi hicho kuvumilia hayo!
Hata awe masikini kiasi gani
 

Hahahaaa Lord have mercy!
 
Makosa ya Mbasha ;
-kama alijua Gwajima anazini na mke wake alichukua hatua gani.?
-Kwa nini aendelee kusali kwa mtumishi ambae sio mwamiminifu tena kwa ndoa yake, pia muuza Sembe na mfufua misukule ya uongo.?

Exactly! You are a great thinker my dear!
 

Haswaaaaaaa.........
Mkuu kula likes laki nane! Umegusa penyewe! Umariooo jangaaaaa!
 
kwenda kwa mungu ni shughulii kweli kweli ila ema ucjali mungu yupo na haki ya mtu haipotei japo inaweza ikacheleweshwa tu
 
Haya Ndio Matatizo Ya Kulelewa na Mwanamke..

Mwanaume Hujui Kulipa Kodi, Hujui Kulipa Umeme, Hujui Kulipa Ada ya Mtoto n.k

Hapo bado unajiita Mwanaume, Lazima usaidiwe.

Huhuhuuuuuuuu........
 
Davidm salute!!!! Tukutane kesho kwenye bonde la kukata maneno!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…