Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yah teh teh. mkuu. you have made my day
Mbasha ni mpuuzi na kwajima ni mshenzi sana kumbe ni muuza sembe?nimejua leo jamaa naona na yeye anajaribu kumwaga ugali
mmh mi namshangaa hayo mbasha
siku zote hakujua eeh? Hadi kabaka ndo akajua, yeye ajibu tu amebaka au hakubaka?
Naona Mbasha anazidi Kujiumbua, Kuchafuka kwa Flora Hakutamfanya Mbasha awe salama.
Ni bora angetulia aangalie anawezaje kutatua matatizo.
Kuhusu Gwajima kuuza Sembe inawezakana. Alishakiri kuwa kabla ya kuwa Mchungaji alikuwa mshenzi tu.
mkuu nimeandika kwa hofu ya mungu na yale yanayotoka moyoni the bold numemjua kabla ya hiishida sipendi apotee hata kidogo sipendi roho yake ipotee naitaji kumwona akiwa mawinguni tukimtukuza mungu wa mbunguni na wala juu akuna jf kilamtu anandika anavyotaka
hata weeee pia naitaji safariyako umalize salama tuzidi kuwaweka maombini wamalize matatizo yao salama
mungu akubariki narudia tena hii nineno frm baibo
don't touch ma annointing
sijawahi ona waliowasema vibaya watumishi wa mungu wakaishia pazuri
mungu akutakase awarehemu wote
amin
Wanaume Aina Ya Mbasha ni Janga Kwa Taifa ..
Jamaa anakuazima Mke, nawe unamuachia Moro unarudi dar... Unajua kuwa Jamaa anagonga, Bado unakenua tu Meno..
Ningekuwa na Mamlaka ningeamuru utandikwe Bakora tano kwa kuaibisha Wanaume..
Pumbaf zako.
Huyu Mbasha kanikera kinoma....
Jamaa badala ya kujibu tuhuma za Kubaka analialia na Gwajima..
.
na bado anaendeleza ushenzi wake.
mbona mwanzo ulikua unang'angania Mbasha ndio bold leo umekuja kubadilika
mbona mwanzo ulikua unang'angania Mbasha ndio bold leo umekuja kubadilika
Epuka kuwanenea mabaya watumishi wa Mungu hata kaka wamefanya mabaya kwako-ila waombee,kumbuka ishu ya Daud na Saul