The bold: Waraka

The bold: Waraka

wewe The bold sijui ila nina uhakika una akili ndogo sana, yaani bandiko lote ilo hujaandika kwanini umebaka? asee umetia aibu sana

Pole sana Sam Mapenzi kwa kubakwa ila usihukumu mpka mahakama ikuthibitishe umebakwa.
 
Last edited by a moderator:
ukitaka kujua si yakutunga aliomba excuse yanini? ATADANGANYA WAJINGA TU ILA MIMI NATAKA TU AJIBU KAMA AMEBAKA AU HAKUBAKA
Suala la kupiga hilo halina ubishi, ila kama ni mtego ulisukwa na vielelezo vipo, na binti kadanya umri kuwa ana miaka 17 wakati ni 19, hapo lazima kesi imgeukia binti mwenyewe na wale waliomtuma.
 
Suala la kupiga hilo halina ubishi, ila kama ni mtego ulisukwa na vielelezo vipo, na binti kadanya umri kuwa ana miaka 17 wakati ni 19, hapo lazima kesi imgeukia binti mwenyewe na wale waliomtuma.

Ok Sasa Ata Kama Ana Miaka 100 Je Kubaka Inaruhusiwa?
 
pole sana kwa kuingia kwenye mtego wa shetani

Shetani Gwajima hawezi nipata mm mtoto wa Yesu Kristo....... Huyo Shetani atawapata na kuwanasa wajinga kama nyie.....Wewe hapo kwanza tayari umenaswa......Huruma hiii....
 
mjue akili za watu zilivo ndogo eti mimi ni gwajima, watanzania mkikosa kazi ni shida
 
Dah,hii kweli sintofahamu! Hii dunia ina mengi! jikaze mkuu ndio uanaume huo!
 
Shetani Gwajima hawezi nipata mm mtoto wa Yesu Kristo....... Huyo Shetani atawapata na kuwanasa wajinga kama nyie.....Wewe hapo kwanza tayari umenaswa......Huruma hiii....

ukweli utakuweka huru siku moja.
 
Pole sana The bold,
Kitu ambacho hukukijua toka mwanzo ni kua KUNGURU HAFUGIKI!!
Cha msingi pigania tu ushinde kesi yako mahakamani, ya uraiani utakuja kupambana baadae.
Wewe bado ni kijana na una nguvu, achana na huyo muuza K
mkuu nimefurahishwa na signature yako teh teh....
 
Jamani mnapocomment, tafadhari msi quote huo waraka, ni mrefu sana.,.mnatupa tabu kusoma hasa cc wenye visimu.
 
Back
Top Bottom