The Bolsheviks, Dkt. Bashiru, Somo kwa UVCCM na CCM

The Bolsheviks, Dkt. Bashiru, Somo kwa UVCCM na CCM

Omary - Msamalia

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2020
Posts
2,079
Reaction score
4,521
Katiba ya CCM inatambua kuwa CCM ni chama cha Kijamaa (Wakulima na wafanyakazi) lakini miaka yote jambo hili limekuwa si kweli kwa 100%.

Ndani ya CCM kuna makundi 3 ya kiitikadi Bourgeoisies(Hili kundi lenye watu wenye ukwasi wa kifedha) hawa ni kundi la Kikwete, Lowassa na Hata sasa Samia hawa si wajamaa ila wanatumia nguvu ya CCM kunufaika na kuwanyonya Watanzania, hawa kwa aina yao hawatawai kuiletea Tanzania aina yoyote ile ya Maendeleo kama hawatakuwa na chama cha Kiliberali ambacho kinaweza kuwajibishwa na wanachi.

Kundi la pili ni Center-left hawa ni wajamaa wenye msimamo wa kati kama akina Ndugai, Bashe, Mpango, Hussein Mwinyi, na kundi lenye wataalam wengi.

Kundi lingine ni Far-left hawa ni akina Bashiru, Polepole, Mpina, Lukuvi, Hayati Magufuli , Hayati Nyerere, Mangula hawa wanafata Chinese model of leadership na Kundi hili likifuatiwa na center-left ndio wanaweza kuiletea Tanzania Maendeleo kwa watu wengi na kwa haraka kwa mataifa ya Asia ya Mashariki.

The Bolsheviks/Bolshevists
Hili likuwa kundi lenye mlengo mkali wa Kimarx (Far - left) lililoanzishwa na Lenin huko Russia ili kuipindua Serikali ya Tsar hawa wao huaminin forcefully revolutions kama njia ya kuitoa serikali madarakani kama itabidi.

Vijana wa UVCCM kabla ya kuendelea kupigania nafasi za uongozi ili mpate deal ndogo za milioni milioni, mnatakiwa kujua kwa hali iliyopo CCM na mapadiliko ya Siasa ya Dunia na kijamii, ni suala la muda kuona vyama 2 au 3 vikubwa kitoka ndani ya CCM msipoteze future yenu kuitetea CCM angalieni hizi pande 3 nilizozitaja na mchague upande na muelewe faida na hasara.

CCM ina miaka michache sana chini ya miaka 10 kuvunjika kwa aibu sana, so vijana kama mnaweza anzeni kujiandaa na maisha bila uchawa na vipesa vidogo vidogo vya Rushwa.

Mwisho Bolsheviks wataibuka waishindi kwenye Round ya kwanza ya mabadiliko
 
CCM ilikufa 2015. Ikainuliwa kwa mkono wa chuma na aibu. Ili ikubalike tena ikabidi ibatizwe kwa moto. Tukaambiwa siri nyingi za matatizo yalitokana na ccm ikiwemo kufungulia maji kwenye mabwawa ili umeme usiwepo majenereta yauzwe, vigogo wa madawa ya kulevya wakabanwa hadi wale tulioambiwa wakidakwa nchi itatikisika.

Drugs dealers maarufu walitikiswa hadi wakakimbia nchi.

Waliozoea kuipiga serikali kwa makaratasi kina seth na kina rugemalira nao wakatulizwa.

Tukaona ndege zikinunuliwa, umeme wa bei nafuu, miundo mbinu ya maji, reli ya umeme, barabara za lami hadi milangoni kwenye vimitaa vyetu na mataa, hospital kila kona ya nchi.

Hapa chama tukakisamehe maana kilituonyesha kujutia hasa.

Lakini imedhihirika wazi sasa ni vigumu shetani kuiona pepo. Kimejirudisha tena shimoni.
 
Mm
Katiba ya CCM inatambua kuwa CCM ni chama cha Kijamaa (Wakulima na wafanyakazi) lakini miaka yote jambo hili limekuwa si kweli kwa 100%.

Ndani ya CCM kuna makundi 3 ya kiitikadi Bourgeoisies(Hili kundi lenye watu wenye ukwasi wa kifedha) hawa ni kundi la Kikwete, Lowassa na Hata sasa Samia hawa si wajamaa ila wanatumia nguvu ya CCM kunufaika na kuwanyonya Watanzania, hawa kwa aina yao hawatawai kuiletea Tanzania aina yoyote ile ya Maendeleo kama hawatakuwa na chama cha Kiliberali ambacho kinaweza kuwajibishwa na wanachi.

Kundi la pili ni Center-left hawa ni wajamaa wenye msimamo wa kati kama akina Ndugai, Bashe, Mpango, Hussein Mwinyi, na kundi lenye wataalam wengi.

Kundi lingine ni Far-left hawa ni akina Bashiru, Polepole, Mpina, Lukuvi, Hayati Magufuli , Hayati Nyerere, Mangula hawa wanafata Chinese model of leadership na Kundi hili likifuatiwa na center-left ndio wanaweza kuiletea Tanzania Maendeleo kwa watu wengi na kwa haraka kwa mataifa ya Asia ya Mashariki.

The Bolsheviks/Bolshevists
Hili likuwa kundi lenye mlengo mkali wa Kimarx (Far - left) lililoanzishwa na Lenin huko Russia ili kuipindua Serikali ya Tsar hawa wao huaminin forcefully revolutions kama njia ya kuitoa serikali madarakani kama itabidi.

Vijana wa UVCCM kabla ya kuendelea kupigania nafasi za uongozi ili mpate deal ndogo za milioni milioni, mnatakiwa kujua kwa hali iliyopo CCM na mapadiliko ya Siasa ya Dunia na kijamii, ni suala la muda kuona vyama 2 au 3 vikubwa kitoka ndani ya CCM msipoteze future yenu kuitetea CCM angalieni hizi pande 3 nilizozitaja na mchague upande na muelewe faida na hasara.

CCM ina miaka michache sana chini ya miaka 10 kuvunjika kwa aibu sana, so vijana kama mnaweza anzeni kujiandaa na maisha bila uchawa na vipesa vidogo vidogo vya Rushwa.

Mwisho Bolsheviks wataibuka waishindi kwenye Round ya kwanza ya mabadiliko
Mmeanza kulalamika
 
On the one & two[emoji444][emoji444][emoji442][emoji442][emoji441][emoji441]
 
Nyerere far left? Hapana. Alikuwa na falsafa yake ya ujamaa iliyokuwa tafauti na socialism au Marxism ya USSR, China, Cuba etc. Ambacho unaweza kumpa Nyerere ni ukweli wake kwa imani yake hiyo. Hakuwahi kufikiriria kujikumbizia mali.
Hao wengine wote ni watawala wanaotumia dola kujikusanyia. Ukiwaita waliberali, wa kati, au kushoto bado wote ni wamoja. MO zao tu ndiyo tafauti.
 
Hongera kwa uchambuzi mzuri, kwa sasa CCM hiyo unayosema ya hayo makundi haiwezi kutokea kwani CCM kwa ujumla inategemea vyombo vya dola kuwepo. Na hakuna kundi hata moja kati ya hayo yanaweza kuthubutu kutoka nje ya nguvu ya dola, maana wanajua hawataweza kutoboa. Hayo makundi yote ndani ya CCM, nje ya vyombo vya hayana uwezo wa kufanya siasa.
 
Katiba ya CCM inatambua kuwa CCM ni chama cha Kijamaa (Wakulima na wafanyakazi) lakini miaka yote jambo hili limekuwa si kweli kwa 100%.

Ndani ya CCM kuna makundi 3 ya kiitikadi Bourgeoisies(Hili kundi lenye watu wenye ukwasi wa kifedha) hawa ni kundi la Kikwete, Lowassa na Hata sasa Samia hawa si wajamaa ila wanatumia nguvu ya CCM kunufaika na kuwanyonya Watanzania, hawa kwa aina yao hawatawai kuiletea Tanzania aina yoyote ile ya Maendeleo kama hawatakuwa na chama cha Kiliberali ambacho kinaweza kuwajibishwa na wanachi.

Kundi la pili ni Center-left hawa ni wajamaa wenye msimamo wa kati kama akina Ndugai, Bashe, Mpango, Hussein Mwinyi, na kundi lenye wataalam wengi.

Kundi lingine ni Far-left hawa ni akina Bashiru, Polepole, Mpina, Lukuvi, Hayati Magufuli , Hayati Nyerere, Mangula hawa wanafata Chinese model of leadership na Kundi hili likifuatiwa na center-left ndio wanaweza kuiletea Tanzania Maendeleo kwa watu wengi na kwa haraka kwa mataifa ya Asia ya Mashariki.

The Bolsheviks/Bolshevists
Hili likuwa kundi lenye mlengo mkali wa Kimarx (Far - left) lililoanzishwa na Lenin huko Russia ili kuipindua Serikali ya Tsar hawa wao huaminin forcefully revolutions kama njia ya kuitoa serikali madarakani kama itabidi.

Vijana wa UVCCM kabla ya kuendelea kupigania nafasi za uongozi ili mpate deal ndogo za milioni milioni, mnatakiwa kujua kwa hali iliyopo CCM na mapadiliko ya Siasa ya Dunia na kijamii, ni suala la muda kuona vyama 2 au 3 vikubwa kitoka ndani ya CCM msipoteze future yenu kuitetea CCM angalieni hizi pande 3 nilizozitaja na mchague upande na muelewe faida na hasara.

CCM ina miaka michache sana chini ya miaka 10 kuvunjika kwa aibu sana, so vijana kama mnaweza anzeni kujiandaa na maisha bila uchawa na vipesa vidogo vidogo vya Rushwa.

Mwisho Bolsheviks wataibuka waishindi kwenye Round ya kwanza ya mabadiliko
Huu uchambuzi wa kijinga sana,yaani Maghu unasema alikuwa mjamaa?na wizi wote ule aliofanya Kupitia Tanroads!
Yeye sukuma gang lake,walikuwa weI tu,hata wakina polepole,Bashiru ni mabepari tu sasa hv Wana hasira maana tonge halipo,na
China sio nchi ya kijamaa,acha kupotosha,wacomunist wa sasa sio wale wa kipindi Cha Tazara,1960s,itikadi ya ujamaa kipindi hicho ilikuwa "only means to an end"it was a tool to fight US capitalism expansionism!sasa hv hatuna vita baridi,ni vita ya kiuchumi,hakuna mchina mjamaa!!
 
Kundi lingine ni Far-left hawa ni akina Bashiru, Polepole, Mpina, Lukuvi, Hayati Magufuli
Far left wameshindwa Nchi nyingi sana kuleta Maendeleo mfano mzuri Venezuela akuna Maduro.
Sisi Watanzania tunataka utawala wa Kidemokrasia ili tuchague mfumo tunaotaka sio huwo wa Kikomunisti wenye laana.

CCM istulazimishe na Ukomusti hatuutaki ulishafeli Nchi imeoza.

Sisiemu iachane na Siasa za Ujamaa uliofeli ifuate Siasa za Kiliberali kama inataka ku Survive.
 
CCM ilikufa 2015. Ikainuliwa kwa mkono wa chuma na aibu. Ili ikubalike tena ikabidi ibatizwe kwa moto. Tukaambiwa siri nyingi za matatizo yalitokana na ccm ikiwemo kufungulia maji kwenye mabwawa ili umeme usiwepo majenereta yauzwe, vigogo wa madawa ya kulevya wakabanwa hadi wale tulioambiwa wakidakwa nchi itatikisika.

Drugs dealers maarufu walitikiswa hadi wakakimbia nchi.

Waliozoea kuipiga serikali kwa makaratasi kina seth na kina rugemalira nao wakatulizwa.

Tukaona ndege zikinunuliwa, umeme wa bei nafuu, miundo mbinu ya maji, reli ya umeme, barabara za lami hadi milangoni kwenye vimitaa vyetu na mataa, hospital kila kona ya nchi.

Hapa chama tukakisamehe maana kilituonyesha kujutia hasa.

Lakini imedhihirika wazi sasa ni vigumu shetani kuiona pepo. Kimejirudisha tena shimoni.
Kimejirudisha vipi shimoni wakati miradi yote inatekelezwa kama awali?. Mahospitali yanajengwa kama awamu ya tano.

Umeme unasambazwa kama awamu ya tano ilivyokuwa na mashule kwa wingi yanajengwa huko mikoani.

Ajira za kumwaga zinaendelea kutolewa huko mikoani kama ilivyokuwa awamu ya tano.

Ufisadi upo vile vile kama awamu zote kuanzia ya kwanza. Sioni chochote cha tofauti na awamu zilizotangulia.
 
Katiba ya CCM inatambua kuwa CCM ni chama cha Kijamaa (Wakulima na wafanyakazi) lakini miaka yote jambo hili limekuwa si kweli kwa 100%.

Ndani ya CCM kuna makundi 3 ya kiitikadi Bourgeoisies(Hili kundi lenye watu wenye ukwasi wa kifedha) hawa ni kundi la Kikwete, Lowassa na Hata sasa Samia hawa si wajamaa ila wanatumia nguvu ya CCM kunufaika na kuwanyonya Watanzania, hawa kwa aina yao hawatawai kuiletea Tanzania aina yoyote ile ya Maendeleo kama hawatakuwa na chama cha Kiliberali ambacho kinaweza kuwajibishwa na wanachi.

Kundi la pili ni Center-left hawa ni wajamaa wenye msimamo wa kati kama akina Ndugai, Bashe, Mpango, Hussein Mwinyi, na kundi lenye wataalam wengi.

Kundi lingine ni Far-left hawa ni akina Bashiru, Polepole, Mpina, Lukuvi, Hayati Magufuli , Hayati Nyerere, Mangula hawa wanafata Chinese model of leadership na Kundi hili likifuatiwa na center-left ndio wanaweza kuiletea Tanzania Maendeleo kwa watu wengi na kwa haraka kwa mataifa ya Asia ya Mashariki.

The Bolsheviks/Bolshevists
Hili likuwa kundi lenye mlengo mkali wa Kimarx (Far - left) lililoanzishwa na Lenin huko Russia ili kuipindua Serikali ya Tsar hawa wao huaminin forcefully revolutions kama njia ya kuitoa serikali madarakani kama itabidi.

Vijana wa UVCCM kabla ya kuendelea kupigania nafasi za uongozi ili mpate deal ndogo za milioni milioni, mnatakiwa kujua kwa hali iliyopo CCM na mapadiliko ya Siasa ya Dunia na kijamii, ni suala la muda kuona vyama 2 au 3 vikubwa kitoka ndani ya CCM msipoteze future yenu kuitetea CCM angalieni hizi pande 3 nilizozitaja na mchague upande na muelewe faida na hasara.

CCM ina miaka michache sana chini ya miaka 10 kuvunjika kwa aibu sana, so vijana kama mnaweza anzeni kujiandaa na maisha bila uchawa na vipesa vidogo vidogo vya Rushwa.

Mwisho Bolsheviks wataibuka waishindi kwenye Round ya kwanza ya mabadiliko
Ujamaa hufeli pale wenye pesa zinazotumika katika mfumo wanapoishiwa. Kwamba hizi bure bure zinakwisha wakati wanaoilisha nchi wanapoishiwa. Hayo ni maneno ya hayati Ronald Reagan rais wa zamani wa Marekani.
 
CCM ilikufa 2015. Ikainuliwa kwa mkono wa chuma na aibu. Ili ikubalike tena ikabidi ibatizwe kwa moto. Tukaambiwa siri nyingi za matatizo yalitokana na ccm ikiwemo kufungulia maji kwenye mabwawa ili umeme usiwepo majenereta yauzwe, vigogo wa madawa ya kulevya wakabanwa hadi wale tulioambiwa wakidakwa nchi itatikisika.

Drugs dealers maarufu walitikiswa hadi wakakimbia nchi.

Waliozoea kuipiga serikali kwa makaratasi kina seth na kina rugemalira nao wakatulizwa.

Tukaona ndege zikinunuliwa, umeme wa bei nafuu, miundo mbinu ya maji, reli ya umeme, barabara za lami hadi milangoni kwenye vimitaa vyetu na mataa, hospital kila kona ya nchi.

Hapa chama tukakisamehe maana kilituonyesha kujutia hasa.

Lakini imedhihirika wazi sasa ni vigumu shetani kuiona pepo. Kimejirudisha tena shimoni.
Sheiza umeokoka lini?
 
Katiba ya CCM inatambua kuwa CCM ni chama cha Kijamaa (Wakulima na wafanyakazi) lakini miaka yote jambo hili limekuwa si kweli kwa 100%.

Ndani ya CCM kuna makundi 3 ya kiitikadi Bourgeoisies(Hili kundi lenye watu wenye ukwasi wa kifedha) hawa ni kundi la Kikwete, Lowassa na Hata sasa Samia hawa si wajamaa ila wanatumia nguvu ya CCM kunufaika na kuwanyonya Watanzania, hawa kwa aina yao hawatawai kuiletea Tanzania aina yoyote ile ya Maendeleo kama hawatakuwa na chama cha Kiliberali ambacho kinaweza kuwajibishwa na wanachi.

Kundi la pili ni Center-left hawa ni wajamaa wenye msimamo wa kati kama akina Ndugai, Bashe, Mpango, Hussein Mwinyi, na kundi lenye wataalam wengi.

Kundi lingine ni Far-left hawa ni akina Bashiru, Polepole, Mpina, Lukuvi, Hayati Magufuli , Hayati Nyerere, Mangula hawa wanafata Chinese model of leadership na Kundi hili likifuatiwa na center-left ndio wanaweza kuiletea Tanzania Maendeleo kwa watu wengi na kwa haraka kwa mataifa ya Asia ya Mashariki.

The Bolsheviks/Bolshevists
Hili likuwa kundi lenye mlengo mkali wa Kimarx (Far - left) lililoanzishwa na Lenin huko Russia ili kuipindua Serikali ya Tsar hawa wao huaminin forcefully revolutions kama njia ya kuitoa serikali madarakani kama itabidi.

Vijana wa UVCCM kabla ya kuendelea kupigania nafasi za uongozi ili mpate deal ndogo za milioni milioni, mnatakiwa kujua kwa hali iliyopo CCM na mapadiliko ya Siasa ya Dunia na kijamii, ni suala la muda kuona vyama 2 au 3 vikubwa kitoka ndani ya CCM msipoteze future yenu kuitetea CCM angalieni hizi pande 3 nilizozitaja na mchague upande na muelewe faida na hasara.

CCM ina miaka michache sana chini ya miaka 10 kuvunjika kwa aibu sana, so vijana kama mnaweza anzeni kujiandaa na maisha bila uchawa na vipesa vidogo vidogo vya Rushwa.

Mwisho Bolsheviks wataibuka waishindi kwenye Round ya kwanza ya mabadiliko
Maneno mazito !! Tusubiri tuone. !!
 
Far left wameshindwa Nchi nyingi sana kuleta Maendeleo mfano mzuri Venezuela akuna Maduro.
Sisi Watanzania tunataka utawala wa Kidemokrasia ili tuchague mfumo tunaotaka sio huwo wa Kikomunisti wenye laana.

CCM istulazimishe na Ukomusti hatuutaki ulishafeli Nchi imeoza.

Sisiemu iachane na Siasa za Ujamaa uliofeli ifuate Siasa za Kiliberali kama inataka ku Survive.
Bolshevik wanashindwa kila kona ya dunia. Msingi wa ubepari ni kufanya kazi kwa juhudi na maarifa. Msingi wa ujamaa ni kugawama kila kitu kwa usawa, hao wanaozalisha hicho mnachogawana huwa wanachoka kumlisha kila mtu kila wakati.

Ubepari ni ubunifu, Switzerland hawalimi na hawana ardhi ya kuwawezesha kulima, wanaishi kwa kutumia akili tu wanatengeneza vitu vyenye kuhitajika maisha yote ya binadamu kama vile saa za mikononi.

Matajiri wakubwa wa dunia wanapata pesa kwa kutengeneza na kuuza bidhaa zenye ulazima na umuhimu na wanaendelea kudumu. Ujamaa hauruhusu ubunifu kwani unapiga vita upekee (individualism).
 
Bolshevik wanashindwa kila kona ya dunia. Msingi wa ubepari ni kufanya kazi kwa juhudi na maarifa. Msingi wa ujamaa ni kugawama kila kitu kwa usawa, hao wanaozalisha hicho mnachogawana huwa wanachoka kumlisha kila mtu kila wakati.

Ubepari ni ubunifu, Switzerland hawalimi na hawana ardhi ya kuwawezesha kulima, wanaishi kwa kutumia akili tu wanatengeneza vitu vyenye kuhitajika maisha yote ya binadamu kama vile saa za mikononi.

Matajiri wakubwa wa dunia wanapata pesa kwa kutengeneza na kuuza bidhaa zenye ulazima na umuhimu na wanaendelea kudumu. Ujamaa hauruhusu ubunifu kwani unapiga vita upekee (individualism).
CCM wakitaka kusurvive wa adopt Uliberali. mimi naamini Rais wa kwanza Mliberali alikuwa ni Mzee Mwinyi ambae alikuja na slogan ya "Rukhsa hata kuleni Chura rukhsa" tunataka Demokrasia ya Kikiberali Maendeleo yatakuja kwa juhudi zako.
 
Bolshevik wanashindwa kila kona ya dunia. Msingi wa ubepari ni kufanya kazi kwa juhudi na maarifa. Msingi wa ujamaa ni kugawama kila kitu kwa usawa, hao wanaozalisha hicho mnachogawana huwa wanachoka kumlisha kila mtu kila wakati.

Ubepari ni ubunifu, Switzerland hawalimi na hawana ardhi ya kuwawezesha kulima, wanaishi kwa kutumia akili tu wanatengeneza vitu vyenye kuhitajika maisha yote ya binadamu kama vile saa za mikononi.

Matajiri wakubwa wa dunia wanapata pesa kwa kutengeneza na kuuza bidhaa zenye ulazima na umuhimu na wanaendelea kudumu. Ujamaa hauruhusu ubunifu kwani unapiga vita upekee (individualism).

Maoni yangu sio kuwa akina Bashiru watashinda kwa muda Mrefu la hasha, ila namaanisha Makundi ndani ya CCM hayapikiki chungu kimoja tena, sababu ni makundi yenye tofauti kubwa sana sana kiitikadi.

Kifo cha Magufuli imekuwa kama accelerated death ya CCM, hizi tofauti tunazoziona sasa sio Maigizo ni vita halisi, ambayo ndani ya miaka michache sana (chini ya 10) kundi la akina Bashiru ambalo liko relevant kwa sasa kwa wananchi litaanza kufanya social mobilization.

Bashiru kuwa mjumbe wa kamati ya kilimo was planned move tangu mwanzo (alijipangia alipo na nguvu), ni suala la muda kabla ya wabunge wengine nao kuanza kumuhoji Rais Samia hadharani.
 
Hongera kwa uchambuzi mzuri, kwa sasa CCM hiyo unayosema ya hayo makundi haiwezi kutokea kwani CCM kwa ujumla inategemea vyombo vya dola kuwepo. Na hakuna kundi hata moja kati ya hayo yanaweza kuthubutu kutoka nje ya nguvu ya dola, maana wanajua hawataweza kutoboa. Hayo makundi yote ndani ya CCM, nje ya vyombo vya hayana uwezo wa kufanya siasa.
Haya makundi hayana tena reconciliation.

Vyombo vya Dola vinaicha CCM miaka kadhaa ijayo, chini ya 10
 
Siyaoni hayo makundi ya CCM. CCM ni ile ile aliyoanzisha Nyerere sema siku hizi imejaa mafisadi.
 
Kimejirudisha vipi shimoni wakati miradi yote inatekelezwa kama awali?. Mahospitali yanajengwa kama awamu ya tano.

Umeme unasambazwa kama awamu ya tano ilivyokuwa na mashule kwa wingi yanajengwa huko mikoani.

Ajira za kumwaga zinaendelea kutolewa huko mikoani kama ilivyokuwa awamu ya tano.

Ufisadi upo vile vile kama awamu zote kuanzia ya kwanza. Sioni chochote cha tofauti na awamu zilizotangulia.
Endelea kujitoa akili. Muda utakuambia.
 
Back
Top Bottom