Mkubwa wangu naomba nikueleze yale uliyo na shaka nayo, JPM alifanya mambo mengi sana makubwa snaa, hakuna kitu mama samia anafanya nje ya kupigana na yale ya jamaa lkn bado yanamshinda kbsa, SGR mpk leo haijaanza kazi, umeme kule stiglers ilitakiwa iwe 2022, lkn unaambiwa mpk 2024. Yan mama kaweka tozo, mikopo mingi, anahangaika sana lkn bado kufikia ile level ya JPM ni ndoto na haiwezekan kbsa huo ndio ukweli. JPM alikua RAISI bwana.. Alikua akihutubia taifa watu tunamsikiliza kwa adabu na nidhamu alikua mbele ya muda, alikua mdadisi sana, alikua na maamuzi na alionyesha njia.
Yani ukirejea uongozi wa JPM unaona kbsa raia walikua na raha sana... Walisema yanayowasibu na hatua zilichukuriwa haraka, leo hii tunalalama mbolea, maji, mifumuko ya bei, umeme, mikopo vyuoni, biashara mtaani zimeharibika sana, uhalifu umeongezeka, ufisadi, umwinyi kwa viongozi, yan nchi hata haierewk kama inaongozwa na CHADEMA, CCM AU ACT wameungana dhidi ya raia.
Enzi za CHUMA nchi kwanza ilikua na msisimko fulani ivi wa kujiamin sana unapotoka nje ya nchi...