The Bolsheviks, Dkt. Bashiru, Somo kwa UVCCM na CCM

The Bolsheviks, Dkt. Bashiru, Somo kwa UVCCM na CCM

Hizo
media gan ss unazohisi hazikuongea ukweli, ni wakosefu wa maarifa tu wanaoamin mtu akifa anatakiwa kusahaulika, mbali na kwamba kafa lkn kuishi mema na yale tunayoamin yamesaidia jamii zetu sio vibaya

Sio maoni binafsi kuwa SAMAI hana uwezo kama wa JPM. ni ukwel uliobayana, wala hatutaki hata sababu za Covid sijui vita ili nchi ikae sawa inahitaji sana viongozi shupavu ni dhahir tunahitaj viongozi wadadisi viongozi wenye misimamo na wanaoweza kuchukua hatua.

Inawezekana unampenda SAMAI kwa sababu zako binafsi hilo siwez kuliingilia kwasbb upendo upo moyoni.
Tukitaka tu kuweka hoja mezani ni kwel tupu JPM alikua mbali sana kiuwezo ukimringanisha na bi mkubwa uwezo tu wa kuongoza.

JPM.
NDEGE
SGR
BUS TERMINAL
TARMAC ROADS
DOM CAPITAL CITY
REFERAL HOSPITAL
BRIDGEs
Nyerere dam
Oil pipe line.

Kusafir safir hakujawah kuleta maendeleo kbsa, jamaa hakua akisafir na tulion impact yake, ni kama ilivyo wahi kuwa enzi za SOKOINE.

Kila mmoja anaubora wake na madhaifu yake. Lkn hauwez kufananisha ubora wa JPM na SAMIA. naamin hata mama anaweza kukubali haya.

Kama tutampata BASHIRU anaweza kutusaidia kuturudisha kwenye mstari wa JPM na tukasau upigaji na uchawa wa kijinga na kuliinua taifa
Bila kusahau ikulu ya Dodoma nembo isiyofutika vizazi na vizazi

Sent from my RMX2189 using JamiiForums mobile app
 
Hizo
media gan ss unazohisi hazikuongea ukweli, ni wakosefu wa maarifa tu wanaoamin mtu akifa anatakiwa kusahaulika, mbali na kwamba kafa lkn kuishi mema na yale tunayoamin yamesaidia jamii zetu sio vibaya

Sio maoni binafsi kuwa SAMAI hana uwezo kama wa JPM. ni ukwel uliobayana, wala hatutaki hata sababu za Covid sijui vita ili nchi ikae sawa inahitaji sana viongozi shupavu ni dhahir tunahitaj viongozi wadadisi viongozi wenye misimamo na wanaoweza kuchukua hatua.

Inawezekana unampenda SAMAI kwa sababu zako binafsi hilo siwez kuliingilia kwasbb upendo upo moyoni.
Tukitaka tu kuweka hoja mezani ni kwel tupu JPM alikua mbali sana kiuwezo ukimringanisha na bi mkubwa uwezo tu wa kuongoza.

JPM.
NDEGE
SGR
BUS TERMINAL
TARMAC ROADS
DOM CAPITAL CITY
REFERAL HOSPITAL
BRIDGEs
Nyerere dam
Oil pipe line.

Kusafir safir hakujawah kuleta maendeleo kbsa, jamaa hakua akisafir na tulion impact yake, ni kama ilivyo wahi kuwa enzi za SOKOINE.

Kila mmoja anaubora wake na madhaifu yake. Lkn hauwez kufananisha ubora wa JPM na SAMIA. naamin hata mama anaweza kukubali haya.

Kama tutampata BASHIRU anaweza kutusaidia kuturudisha kwenye mstari wa JPM na tukasau upigaji na uchawa wa kijinga na kuliinua taifa
Haya yote uliyoandika yanaonyesha ni mmoja wa wale wanaodanganywa na media za bongo. Kitu ninachopinga ni kumpa utakatifu JPM halafu SSH akaonekana kama ni shetani.


Ni ukosefu mkubwa wa shukrani ambao ni tabia yetu. Yote aliyofanya ni mema lakini haina maana kuwa waliobakia hawawezi kuyafanya.

Hakuna kiongozi aliyejenga nchi hii kumzidi Nyerere lakini huwezi kuuona ushamba unaopitiliza wa kumsifu sana yeye na kusahau michango ya wengine.
 
Katiba ya CCM inatambua kuwa CCM ni chama cha Kijamaa (Wakulima na wafanyakazi) lakini miaka yote jambo hili limekuwa si kweli kwa 100%.

Ndani ya CCM kuna makundi 3 ya kiitikadi Bourgeoisies(Hili kundi lenye watu wenye ukwasi wa kifedha) hawa ni kundi la Kikwete, Lowassa na Hata sasa Samia hawa si wajamaa ila wanatumia nguvu ya CCM kunufaika na kuwanyonya Watanzania, hawa kwa aina yao hawatawai kuiletea Tanzania aina yoyote ile ya Maendeleo kama hawatakuwa na chama cha Kiliberali ambacho kinaweza kuwajibishwa na wanachi.

Kundi la pili ni Center-left hawa ni wajamaa wenye msimamo wa kati kama akina Ndugai, Bashe, Mpango, Hussein Mwinyi, na kundi lenye wataalam wengi.

Kundi lingine ni Far-left hawa ni akina Bashiru, Polepole, Mpina, Lukuvi, Hayati Magufuli , Hayati Nyerere, Mangula hawa wanafata Chinese model of leadership na Kundi hili likifuatiwa na center-left ndio wanaweza kuiletea Tanzania Maendeleo kwa watu wengi na kwa haraka kwa mataifa ya Asia ya Mashariki.

The Bolsheviks/Bolshevists
Hili likuwa kundi lenye mlengo mkali wa Kimarx (Far - left) lililoanzishwa na Lenin huko Russia ili kuipindua Serikali ya Tsar hawa wao huaminin forcefully revolutions kama njia ya kuitoa serikali madarakani kama itabidi.

Vijana wa UVCCM kabla ya kuendelea kupigania nafasi za uongozi ili mpate deal ndogo za milioni milioni, mnatakiwa kujua kwa hali iliyopo CCM na mapadiliko ya Siasa ya Dunia na kijamii, ni suala la muda kuona vyama 2 au 3 vikubwa kitoka ndani ya CCM msipoteze future yenu kuitetea CCM angalieni hizi pande 3 nilizozitaja na mchague upande na muelewe faida na hasara.

CCM ina miaka michache sana chini ya miaka 10 kuvunjika kwa aibu sana, so vijana kama mnaweza anzeni kujiandaa na maisha bila uchawa na vipesa vidogo vidogo vya Rushwa.

Mwisho Bolsheviks wataibuka waishindi kwenye Round ya kwanza ya mabadiliko
Wapigania katiba wote Wana backup ya state na ndio washindi wa kweli!
 
Hongera kwa uchambuzi mzuri, kwa sasa CCM hiyo unayosema ya hayo makundi haiwezi kutokea kwani CCM kwa ujumla inategemea vyombo vya dola kuwepo. Na hakuna kundi hata moja kati ya hayo yanaweza kuthubutu kutoka nje ya nguvu ya dola, maana wanajua hawataweza kutoboa. Hayo makundi yote ndani ya CCM, nje ya vyombo vya hayana uwezo wa kufanya siasa.
Je hizo nguvu unazozisema zikiamua kuhamia upande mwingine itakuwaje ?!!
 
Back
Top Bottom