mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,995
- 3,401
UmerogwaHuu uchambuzi wa kijinga sana,yaani Maghu unasema alikuwa mjamaa?na wizi wote ule aliofanya Kupitia Tanroads!
Yeye sukuma gang lake,walikuwa weI tu,hata wakina polepole,Bashiru ni mabepari tu sasa hv Wana hasira maana tonge halipo,na
China sio nchi ya kijamaa,acha kupotosha,wacomunist wa sasa sio wale wa kipindi Cha Tazara,1960s,itikadi ya ujamaa kipindi hicho ilikuwa "only means to an end"it was a tool to fight US capitalism expansionism!sasa hv hatuna vita baridi,ni vita ya kiuchumi,hakuna mchina mjamaa!!
Kama huoni tofauti yoyote, basi ni kwa hakika ulikua umezimia tangu 2015 na umekuja kujifufukia 2020. Pole sana una safari ndefu sana ya kujua mambo mepesiKimejirudisha vipi shimoni wakati miradi yote inatekelezwa kama awali?. Mahospitali yanajengwa kama awamu ya tano.
Umeme unasambazwa kama awamu ya tano ilivyokuwa na mashule kwa wingi yanajengwa huko mikoani.
Ajira za kumwaga zinaendelea kutolewa huko mikoani kama ilivyokuwa awamu ya tano.
Ufisadi upo vile vile kama awamu zote kuanzia ya kwanza. Sioni chochote cha tofauti na awamu zilizotangulia.
Unafahamu kwamba hata vyombo vya dola vinagawanyika?,nao wanamitazamo tofauti pia,kwani ukisikia coup imetokea unafikiri ni kwa sababu ipi?
Nakubaliana na wewe, hakuna namna CCM inaweza kupona within 10 years. Mabadiliko yao ya ndani hayawezi tena kuwaokoa. Mipasuko imefikia hatua mbaya beyond repair.Katiba ya CCM inatambua kuwa CCM ni chama cha Kijamaa (Wakulima na wafanyakazi) lakini miaka yote jambo hili limekuwa si kweli kwa 100%.
Ndani ya CCM kuna makundi 3 ya kiitikadi Bourgeoisies(Hili kundi lenye watu wenye ukwasi wa kifedha) hawa ni kundi la Kikwete, Lowassa na Hata sasa Samia hawa si wajamaa ila wanatumia nguvu ya CCM kunufaika na kuwanyonya Watanzania, hawa kwa aina yao hawatawai kuiletea Tanzania aina yoyote ile ya Maendeleo kama hawatakuwa na chama cha Kiliberali ambacho kinaweza kuwajibishwa na wanachi.
Kundi la pili ni Center-left hawa ni wajamaa wenye msimamo wa kati kama akina Ndugai, Bashe, Mpango, Hussein Mwinyi, na kundi lenye wataalam wengi.
Kundi lingine ni Far-left hawa ni akina Bashiru, Polepole, Mpina, Lukuvi, Hayati Magufuli , Hayati Nyerere, Mangula hawa wanafata Chinese model of leadership na Kundi hili likifuatiwa na center-left ndio wanaweza kuiletea Tanzania Maendeleo kwa watu wengi na kwa haraka kwa mataifa ya Asia ya Mashariki.
The Bolsheviks/Bolshevists
Hili likuwa kundi lenye mlengo mkali wa Kimarx (Far - left) lililoanzishwa na Lenin huko Russia ili kuipindua Serikali ya Tsar hawa wao huaminin forcefully revolutions kama njia ya kuitoa serikali madarakani kama itabidi.
Vijana wa UVCCM kabla ya kuendelea kupigania nafasi za uongozi ili mpate deal ndogo za milioni milioni, mnatakiwa kujua kwa hali iliyopo CCM na mapadiliko ya Siasa ya Dunia na kijamii, ni suala la muda kuona vyama 2 au 3 vikubwa kitoka ndani ya CCM msipoteze future yenu kuitetea CCM angalieni hizi pande 3 nilizozitaja na mchague upande na muelewe faida na hasara.
CCM ina miaka michache sana chini ya miaka 10 kuvunjika kwa aibu sana, so vijana kama mnaweza anzeni kujiandaa na maisha bila uchawa na vipesa vidogo vidogo vya Rushwa.
Mwisho Bolsheviks wataibuka waishindi kwenye Round ya kwanza ya mabadiliko
Definition ya uchawa ndio wewe.Kimejirudisha vipi shimoni wakati miradi yote inatekelezwa kama awali?. Mahospitali yanajengwa kama awamu ya tano.
Umeme unasambazwa kama awamu ya tano ilivyokuwa na mashule kwa wingi yanajengwa huko mikoani.
Ajira za kumwaga zinaendelea kutolewa huko mikoani kama ilivyokuwa awamu ya tano.
Ufisadi upo vile vile kama awamu zote kuanzia ya kwanza. Sioni chochote cha tofauti na awamu zilizotangulia.
Kuna wachumiA tumbo hapa Tz ,Bolshevik WA tumbo labdaKatiba ya CCM inatambua kuwa CCM ni chama cha Kijamaa (Wakulima na wafanyakazi) lakini miaka yote jambo hili limekuwa si kweli kwa 100%.
Ndani ya CCM kuna makundi 3 ya kiitikadi Bourgeoisies(Hili kundi lenye watu wenye ukwasi wa kifedha) hawa ni kundi la Kikwete, Lowassa na Hata sasa Samia hawa si wajamaa ila wanatumia nguvu ya CCM kunufaika na kuwanyonya Watanzania, hawa kwa aina yao hawatawai kuiletea Tanzania aina yoyote ile ya Maendeleo kama hawatakuwa na chama cha Kiliberali ambacho kinaweza kuwajibishwa na wanachi.
Kundi la pili ni Center-left hawa ni wajamaa wenye msimamo wa kati kama akina Ndugai, Bashe, Mpango, Hussein Mwinyi, na kundi lenye wataalam wengi.
Kundi lingine ni Far-left hawa ni akina Bashiru, Polepole, Mpina, Lukuvi, Hayati Magufuli , Hayati Nyerere, Mangula hawa wanafata Chinese model of leadership na Kundi hili likifuatiwa na center-left ndio wanaweza kuiletea Tanzania Maendeleo kwa watu wengi na kwa haraka kwa mataifa ya Asia ya Mashariki.
The Bolsheviks/Bolshevists
Hili likuwa kundi lenye mlengo mkali wa Kimarx (Far - left) lililoanzishwa na Lenin huko Russia ili kuipindua Serikali ya Tsar hawa wao huaminin forcefully revolutions kama njia ya kuitoa serikali madarakani kama itabidi.
Vijana wa UVCCM kabla ya kuendelea kupigania nafasi za uongozi ili mpate deal ndogo za milioni milioni, mnatakiwa kujua kwa hali iliyopo CCM na mapadiliko ya Siasa ya Dunia na kijamii, ni suala la muda kuona vyama 2 au 3 vikubwa kitoka ndani ya CCM msipoteze future yenu kuitetea CCM angalieni hizi pande 3 nilizozitaja na mchague upande na muelewe faida na hasara.
CCM ina miaka michache sana chini ya miaka 10 kuvunjika kwa aibu sana, so vijana kama mnaweza anzeni kujiandaa na maisha bila uchawa na vipesa vidogo vidogo vya Rushwa.
Mwisho Bolsheviks wataibuka waishindi kwenye Round ya kwanza ya mabadiliko
Bashiru ameanza mobilizationKuna wachumiA tumbo hapa Tz ,Bolshevik WA tumbo labda
CCM ina miaka michache sana chini ya miaka 10 kuvunjika kwa aibu sana, so vijana kama mnaweza anzeni kujiandaa na maisha bila uchawa na vipesa vidogo vidogo vya Rushwa.Katiba ya CCM inatambua kuwa CCM ni chama cha Kijamaa (Wakulima na wafanyakazi) lakini miaka yote jambo hili limekuwa si kweli kwa 100%.
Ndani ya CCM kuna makundi 3 ya kiitikadi Bourgeoisies(Hili kundi lenye watu wenye ukwasi wa kifedha) hawa ni kundi la Kikwete, Lowassa na Hata sasa Samia hawa si wajamaa ila wanatumia nguvu ya CCM kunufaika na kuwanyonya Watanzania, hawa kwa aina yao hawatawai kuiletea Tanzania aina yoyote ile ya Maendeleo kama hawatakuwa na chama cha Kiliberali ambacho kinaweza kuwajibishwa na wanachi.
Kundi la pili ni Center-left hawa ni wajamaa wenye msimamo wa kati kama akina Ndugai, Bashe, Mpango, Hussein Mwinyi, na kundi lenye wataalam wengi.
Kundi lingine ni Far-left hawa ni akina Bashiru, Polepole, Mpina, Lukuvi, Hayati Magufuli , Hayati Nyerere, Mangula hawa wanafata Chinese model of leadership na Kundi hili likifuatiwa na center-left ndio wanaweza kuiletea Tanzania Maendeleo kwa watu wengi na kwa haraka kwa mataifa ya Asia ya Mashariki.
The Bolsheviks/Bolshevists
Hili likuwa kundi lenye mlengo mkali wa Kimarx (Far - left) lililoanzishwa na Lenin huko Russia ili kuipindua Serikali ya Tsar hawa wao huaminin forcefully revolutions kama njia ya kuitoa serikali madarakani kama itabidi.
Vijana wa UVCCM kabla ya kuendelea kupigania nafasi za uongozi ili mpate deal ndogo za milioni milioni, mnatakiwa kujua kwa hali iliyopo CCM na mapadiliko ya Siasa ya Dunia na kijamii, ni suala la muda kuona vyama 2 au 3 vikubwa kitoka ndani ya CCM msipoteze future yenu kuitetea CCM angalieni hizi pande 3 nilizozitaja na mchague upande na muelewe faida na hasara.
CCM ina miaka michache sana chini ya miaka 10 kuvunjika kwa aibu sana, so vijana kama mnaweza anzeni kujiandaa na maisha bila uchawa na vipesa vidogo vidogo vya Rushwa.
Mwisho Bolsheviks wataibuka waishindi kwenye Round ya kwanza ya mabadiliko
Kuna kazi inafanyika mkuu tena kila kona ya TZ na ni ya maana sana. Kama wewe ni wale wale wa mitandaoni Dar huwezi kuiona na hivyo huwezi kuiheshimu pia.Kama huoni tofauti yoyote, basi ni kwa hakika ulikua umezimia tangu 2015 na umekuja kujifufukia 2020. Pole sana una safari ndefu sana ya kujua mambo mepesi
Kipindi cha JPM watu wa aina yako ndio walisema 'vyuma vimekaza' au umesahau hiyo kauli?.Definition ya uchawa ndio wewe.
Nchi ipo gizani , maji hakuna . Ufisadi umetamalaki.
Kipindi cha JPM hayakuepo hayo
Nimesoma Ukraine nayajua sana hayo mambo mkuu, Bolishevik ina maana ya wengi wao au 'majority' na Menshevik ina maana wachache wao au 'minority'.Naomba kufatilie Bolishvisk na Meshvisk huko Russia
Bolishevik ni wajamaa ambao hawakutaka kushirikiana na Watawala (Tsar) na wakataka hatua kali za kimapinduzi zifanyikeNimesoma Ukraine nayajua sana hayo mambo mkuu, Bolishevik ina maana ya wengi wao au 'majority' na Menshevik ina maana wachache wao au 'minority'.
Mkuu hawa CCM walishindwa kuiga hizo sera za kirusi. Wanaoitwa wajamaa ni mabepari wakubwa tu. Waafrika tumejawa na unafiki unaotazama maslahi zaidi.Bolishevik ni wajamaa ambao hawakutaka kushirikiana na Watawala (Tsar) na wakataka hatua kali za kimapinduzi zifanyike
Menshevik walikuwa jamaa waliotaka kushirikiana (Tsar) na wakataka soft stance. the same situation is happening in CCM
Kuna wana CCM ambao ni wapebari ndani ya Chama cha kijamaa mfano ni Sera za Samia na watu wake, they are very off the CCM values and virtue na Kuna Wana CCM ambao ni wajamaa hasa ambao kwa Sasa sijaona kama Bashiru.
Tanzania wengi very poor country na Watanzia ni maskini, Bashiru ni upande wa watu wengi
Mkubwa wangu naomba nikueleze yale uliyo na shaka nayo, JPM alifanya mambo mengi sana makubwa snaa, hakuna kitu mama samia anafanya nje ya kupigana na yale ya jamaa lkn bado yanamshinda kbsa, SGR mpk leo haijaanza kazi, umeme kule stiglers ilitakiwa iwe 2022, lkn unaambiwa mpk 2024. Yan mama kaweka tozo, mikopo mingi, anahangaika sana lkn bado kufikia ile level ya JPM ni ndoto na haiwezekan kbsa huo ndio ukweli. JPM alikua RAISI bwana.. Alikua akihutubia taifa watu tunamsikiliza kwa adabu na nidhamu alikua mbele ya muda, alikua mdadisi sana, alikua na maamuzi na alionyesha njia.Kuna kazi inafanyika mkuu tena kila kona ya TZ na ni ya maana sana. Kama wewe ni wale wale wa mitandaoni Dar huwezi kuiona na hivyo huwezi kuiheshimu pia.
Hatuwezi kumfufua ajitetee au aongoze nchi yetu zimebakia kumbukumbu. Level ya JPM kufikiwa na Samia ni maoni binafsi.Mkubwa wangu naomba nikueleze yale uliyo na shaka nayo, JPM alifanya mambo mengi sana makubwa snaa, hakuna kitu mama samia anafanya nje ya kupigana na yale ya jamaa lkn bado yanamshinda kbsa, SGR mpk leo haijaanza kazi, umeme kule stiglers ilitakiwa iwe 2022, lkn unaambiwa mpk 2024. Yan mama kaweka tozo, mikopo mingi, anahangaika sana lkn bado kufikia ile level ya JPM ni ndoto na haiwezekan kbsa huo ndio ukweli. JPM alikua RAISI bwana.. Alikua akihutubia taifa watu tunamsikiliza kwa adabu na nidhamu alikua mbele ya muda, alikua mdadisi sana, alikua na maamuzi na alionyesha njia.
Yani ukirejea uongozi wa JPM unaona kbsa raia walikua na raha sana... Walisema yanayowasibu na hatua zilichukuriwa haraka, leo hii tunalalama mbolea, maji, mifumuko ya bei, umeme, mikopo vyuoni, biashara mtaani zimeharibika sana, uhalifu umeongezeka, ufisadi, umwinyi kwa viongozi, yan nchi hata haierewk kama inaongozwa na CHADEMA, CCM AU ACT wameungana dhidi ya raia.
Enzi za CHUMA nchi kwanza ilikua na msisimko fulani ivi wa kujiamin sana unapotoka nje ya nchi...
CCM ilikufa 2015. Ikainuliwa kwa mkono wa chuma na aibu. Ili ikubalike tena ikabidi ibatizwe kwa moto. Tukaambiwa siri nyingi za matatizo yalitokana na ccm ikiwemo kufungulia maji kwenye mabwawa ili umeme usiwepo majenereta yauzwe, vigogo wa madawa ya kulevya wakabanwa hadi wale tulioambiwa wakidakwa nchi itatikisika.
Drugs dealers maarufu walitikiswa hadi wakakimbia nchi.
Waliozoea kuipiga serikali kwa makaratasi kina seth na kina rugemalira nao wakatulizwa.
Tukaona ndege zikinunuliwa, umeme wa bei nafuu, miundo mbinu ya maji, reli ya umeme, barabara za lami hadi milangoni kwenye vimitaa vyetu na mataa, hospital kila kona ya nchi.
Hapa chama tukakisamehe maana kilituonyesha kujutia hasa.
Lakini imedhihirika wazi sasa ni vigumu shetani kuiona pepo. Kimejirudisha tena shimoni.
media gan ss unazohisi hazikuongea ukweli, ni wakosefu wa maarifa tu wanaoamin mtu akifa anatakiwa kusahaulika, mbali na kwamba kafa lkn kuishi mema na yale tunayoamin yamesaidia jamii zetu sio vibayaHatuwezi kumfufua ajitetee au aongoze nchi yetu zimebakia kumbukumbu. Level ya JPM kufikiwa na Samia ni maoni binafsi.
Kuna watu humu humu wanazo data nyingi tu zenye kuonyesha namna SSH anavyofanya maajabu muda huu huu wakati sisi wengine akili zimenasa kwenye kuwazia jana na mema yake ya JPM.
Kila rais ana karama zake anavyo vitu anavyoweza kufanya na vipo haviwezi kuvifanya. JPM hakwenda zaidi ya Addis Ababa hakuwa na uwezo katika sekta ya kimataifa SSH anaiweza sana sekta hiyo.
Na mahaba niue ni tatizo la baadhi yetu, siamini kama awamu ya tano hakukuwa na wizi serikalini, ulikuwepo sana tu lakini JPM alipenda na aliweza kuitawala media iwe inatoa habari ambazo anaona yeye zinafaa kuwafikia watu.