THE BOYS: Moja ya series zinazohitaji kujitoa akili na ufahamu ili kuiangalia. Bila hivyo haifai hata kidogo (18+)

THE BOYS: Moja ya series zinazohitaji kujitoa akili na ufahamu ili kuiangalia. Bila hivyo haifai hata kidogo (18+)

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
images (3).jpeg


THE BOYS drama ya kimarekani inayohusisha masuperheros au (Mashujaa kwa waswahili). Drama hii inaelezea Superheroes wenye ushawishi kwa umma waliyejiwekeza katika (siasa) wanasiasa, na wakati mwingine hata kuheshimiwa kama miungu.

Lakini hapohapo kuna kundi la ambao wanatumia nguvu zao kwa manufaa ya raia wa kawaida na wengine kujiweka juu ya wote hata juu ya sheria. Je, ni nini kinatokea pale mashujaa wanapofanya uhuni na kuanza kutumia vibaya madaraka yao kwa manufaa yao? Wakati huohuo kikundi kidogo cha watu wasio na uwezo dhidi ya hawa wenye nguvu kubwa, walichojipa jina la "the Boys" wanaanza harakati zao za kishujaa kufichua ukweli kuhusu kundi la superhero wanaojipa ukuu kwa kuficha ukweli wa maovu yao kupitia nguvu za kipropaganda na kiserikali wanaojiita "the seven" chini ya kampuni inayojihusisha nao inayoitwa Vought, kampuni inayotumia nguvu nyingi za kiserikali na kipesa katika kuficha siri zao chafu.

images (4).jpeg
 
View attachment 3040722

THE BOYS drama ya kimarekani inayohusisha masuperheros au (Mashujaa kwa waswahili). Drama hii inaelezea Superheroes wenye ushawishi kwa umma waliyejiwekeza katika (siasa) wanasiasa, na wakati mwingine hata kuheshimiwa kama miungu.
Lakini hapohapo kuna kundi la ambao wanatumia nguvu zao kwa manufaa ya raia wa kawaida na wengine kujiweka juu ya wote hata juu ya sheria. Je, ni nini kinatokea pale mashujaa wanapofanya uhuni na kuanza kutumia vibaya madaraka yao kwa manufaa yao? Wakati huohuo kikundi kidogo cha watu wasio na uwezo dhidi ya hawa wenye nguvu kubwa, walichojipa jina la "the Boys" wanaanza harakati zao za kishujaa kufichua ukweli kuhusu kundi la superhero wanaojipa ukuu kwa kuficha ukweli wa maovu yao kupitia nguvu za kipropaganda na kiserikali wanaojiita "the seven" chini ya kampuni inayojihusisha nao inayoitwa Vought, kampuni inayotumia nguvu nyingi za kiserikali na kipesa katika kuficha siri zao chafu.
Ndio nimeanza Jana kuangalia nipo season 1 episode ya 4 ,Naambiwa zipo season nne but tayari imeanza kuniboa.

Translucent kabutuliwa ndo nipo mitaa hiyo
 
Ndio nimeanza Jana kuangalia nipo season 1 episode ya 4 ,Naambiwa zipo season nne but tayari imeanza kuniboa.

Translucent kabutuliwa ndo nipo mitaa hiyo
Season 4 episode 7 mpaka sasa
 
Mimi movie ikishakua fictional, wahusika wakishavaa magwanda kama hayo, sijui mara wana mabawa huwa siifatilii tena. Mara ya mwisho ten years ago niliweza fatilia spiderman, cat woman au ile harrypotter was my last. Hizi zingine zote zinaniboa.
 
Hiyo franchise ni kali.

Kuanzia comics, hiyo adaptation na ile spinoff ya gen v.

Kali mno.

Napenda sana breaking bad ila hapa duh, nimeanza kushawishika kuivua taji....
Wameibadilisha genre ya superheroes....

Hakuna mambo ya backstories, wala wale cliche' villains

Ni kama vile mwandishi alijiuliza tu 'Vipi kama superheroes wangekuwepo kweli?'
 
Mimi movie ikishakua fictional, wahusika wakishavaa magwanda kama hayo, sijui mara wana mabawa huwa siifatilii tena. Mara ya mwisho ten years ago niliweza fatilia spiderman, cat woman au ile harrypotter was my last. Hizi zingine zote zinaniboa.
🤣🤣
 
View attachment 3040722

THE BOYS drama ya kimarekani inayohusisha masuperheros au (Mashujaa kwa waswahili). Drama hii inaelezea Superheroes wenye ushawishi kwa umma waliyejiwekeza katika (siasa) wanasiasa, na wakati mwingine hata kuheshimiwa kama miungu.

Lakini hapohapo kuna kundi la ambao wanatumia nguvu zao kwa manufaa ya raia wa kawaida na wengine kujiweka juu ya wote hata juu ya sheria. Je, ni nini kinatokea pale mashujaa wanapofanya uhuni na kuanza kutumia vibaya madaraka yao kwa manufaa yao? Wakati huohuo kikundi kidogo cha watu wasio na uwezo dhidi ya hawa wenye nguvu kubwa, walichojipa jina la "the Boys" wanaanza harakati zao za kishujaa kufichua ukweli kuhusu kundi la superhero wanaojipa ukuu kwa kuficha ukweli wa maovu yao kupitia nguvu za kipropaganda na kiserikali wanaojiita "the seven" chini ya kampuni inayojihusisha nao inayoitwa Vought, kampuni inayotumia nguvu nyingi za kiserikali na kipesa katika kuficha siri zao chafu.

View attachment 3040732
Ila huyo jamaa wa samaki anazingua kishenzi
 
The Boys msimu wanne ndiyo umeisha. Homelander anachukua control ndani ya serikali ya Marekani. Huku katawanya supes kila kona. Vice president kawa assassinated. Nchi imejaa hofu, vurugu na sintofahamu. Lakini hatujui nini kitafuata....tungojee msimu wa 5 na wa mwisho kwenye series hii.
 
Mimi movie ikishakua fictional, wahusika wakishavaa magwanda kama hayo, sijui mara wana mabawa huwa siifatilii tena. Mara ya mwisho ten years ago niliweza fatilia spiderman, cat woman au ile harrypotter was my last. Hizi zingine zote zinaniboa.
Same here. Nyingi nimezifuta dk 15 tu za kuiangalia
 
View attachment 3040722

THE BOYS drama ya kimarekani inayohusisha masuperheros au (Mashujaa kwa waswahili). Drama hii inaelezea Superheroes wenye ushawishi kwa umma waliyejiwekeza katika (siasa) wanasiasa, na wakati mwingine hata kuheshimiwa kama miungu.

Lakini hapohapo kuna kundi la ambao wanatumia nguvu zao kwa manufaa ya raia wa kawaida na wengine kujiweka juu ya wote hata juu ya sheria. Je, ni nini kinatokea pale mashujaa wanapofanya uhuni na kuanza kutumia vibaya madaraka yao kwa manufaa yao? Wakati huohuo kikundi kidogo cha watu wasio na uwezo dhidi ya hawa wenye nguvu kubwa, walichojipa jina la "the Boys" wanaanza harakati zao za kishujaa kufichua ukweli kuhusu kundi la superhero wanaojipa ukuu kwa kuficha ukweli wa maovu yao kupitia nguvu za kipropaganda na kiserikali wanaojiita "the seven" chini ya kampuni inayojihusisha nao inayoitwa Vought, kampuni inayotumia nguvu nyingi za kiserikali na kipesa katika kuficha siri zao chafu.

View attachment 3040732
Hizi movie za masuper heroes nilikuwaga nazipenda kipindi nikiwa mtoto. Siku hizi movie za namna hii yani siwezi kuzitazama. Movie kama sijui Thor, sijui superman, spiderman, batman hakuna kabisa.
 
Back
Top Bottom