The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

"DUA"hakuna sheria kama hiyo kaka,hata usome mpaka asbh..........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................
 
sitoshangaa kama mheshimiwa zitto akifanyiwa majungu asishinde uchaguzi 2010 ! suala je haki ipo wapi ? maskini wee, hivi kwa nini watu wenye uchungu na nchi yao siku zooote hupingwa vikali mno ?
 
yaaaani what the f*****KKKK !@ nimesoma kumbe jamaa kasimamishwa hadi 2008 ! what the..................mhm, aiseeeeeee, that needs to go to the records people.
 
kutukana na hoja ambazo zitto alizo wasilisha nimegundua kitu kimoja ambacho ni mtego kwa serikali,kama wangekubali kuundwa kwa tume basi mikataba yote ingekuwa adharani kitu ambacho wanakipinga kwa nguvu zote.kwani hawawezi kujadili hizo hoja bila kuwepo kwa hiyo mikataba.hapo ndipo palipo na utata ktk sakata lote hili.
 
Wewe uko nchi gani? Zitto amesema hagombei tena 2010. Siasa sio lelemama.

najua alisema hivyo, lakini yeye kama mwanasiasa lazima aonyeshe umahiri wake na sio kuvunja tamaa mapema, nadhani kama situation itakuwa life threatening, basi namuunga mkono kwamba asigombee !
 
Hii article ni tofauti na "hoja ya Zitto yatupwa na ageuziwa kibao" kwa maoni yangu inastahili kuwa independent. Tunajadili hoja muhimu kuhusu hatma ya nchi yetu. Hivyo article muhimu kama hii inabidi ziwe independent ili wachangiaji wapate nafasi ya kuiona na kuichangia. Natanguliza Shukrani.

Wananchi wamlilia Kabwe, wadai haki haikutendeka

Imeandikwa na Boniface Meena, Mussa Juma, Andrew Msechu, Hawra Shamte na Muhibu Saidi
 
yaaaani what the f*****KKKK !@ nimesoma kumbe jamaa kasimamishwa hadi 2008 ! what the.................

Sababu;...ili tusahau, maana kwa kusahau sie hatujambo!!! Baada ya wiki tu TUTASAHAU yote haya...!!!
 
Mida hii, chama cha mhe. Zitto (CHADEMA) kinamfanyia pati ya pongezi..

Why am I not surprised? Wabongo kwa pati! When Taifa Stars scores a remote goal, we throw a bash, when Flaviana Matata lands from Mexico, a party! When Mwisho Mwampamba comes second in voyeuristic contest, a party! When an MP is sacked for lying, a party! We are a nation of festivals. And we want to catch up with the rest of the world! A nation is as strong as the character of its people.
 
kama mtikila amesema anafungua kesi mahakama kuu kupinga adhabu ya zitto....i think it is strategically right..CHADEMA wamuunge mtikila mkono..kwani inapendeza kama kesi hiyo inafunguliwa na mtanzania yoyote aliyeona haki haikutendeka.........utakuwa mtihani wa kwanza kwa augustino ramadhan..ili tujue na yeye muhimili wake umeshatekwa kama ule wa sitta au la..
 

kama mtikila atafungua kesi ni sawa sawa, lakini cha kushangaza chadema wanafanya party, party ya nini ? au ndio fumbo hilo kwamba wanafanya vile kukimaliza ccm, ? mhm, labda party hiyo ni kusherekea mwanzo wa mwisho wa muungwana, we never know ! lets wait.
 
nimeona erasto tumbo ......mkurugenzi wa CHADEMA anaongelea mapokezi ya zitto jumamosi..wajitahidi kwa pamoja na wabunge wote wa upinzani na viongozi wao akiwemo mtikila wafanye rainball opposition meeting than ever....

nadhani vijana wanamapinduzi wengi waanze kuandaliwa kugombea wilayani/majimboni....kila jimbo lianze kulifikiria hili.........siku bunge likifikia wapinzani hata 100 tu ..basi nawahakikishieni tofauti itaonekana...maana wengi wa wabunge wa ccm ni mabubu wanaokula wanavimbiwa hadi wanatapikia viatu vyao,,...wanabaki kuchafua hewa na kulala bungeni kutwa nzima...
 

Mkubwa unatoa maagizo mtandaoni? Ila naomba unieleweshe "rainball" manake nini?
 
House resists Zitto's motion



Waziri anaongelea benefits, Je mabadiliko ya mkataba huu na ile ya zamani ni yapi? Hiyo ya kuweka idadi ya pesa sio kitu. kitu cha msingi ni mabadiliko kuonyesha kwamba huu ni mkataba bora kuliko ile ya mwanzo.
 
Mkubwa unatoa maagizo mtandaoni? Ila naomba unieleweshe "rainball" manake nini?


its rainbow.....macho na vidole vimekosa ushirikiano..i mean its typing error...vipi umeona hilo tu??....yule mbunge wenu eng stella aliwashauri vizuri sana pale alipotoa mfano wa biblia"..pakiwamo wenye haki 9 katika mji wenu nitawasamehe kwa ajili yao..yesu akashuka hadi akauliza kama kuna mwenye haki hata mmoja tu ili aunusuru mji wa sodoma na gomora..." eng stella alimalizia akasema pamoja na mabaya yote ya hoja za zitto kwa ccm "hawaoni hata hija moja ya muhimu??? ili wamsamehe kutokana na hiyo hoja moja nzuri.....wabunge wenzake wa ccm walim boow..hii ina maana wenzako wengi pale bungeni waliona sense kwenye hoja za zitto na kimsingi wanakubali kuwa zinahitaji kufanyiwa kazi..tatizo lipo kwa waitikiaji wa JSM Kama wewe.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…