Huyu bwana mudhihiri mudhihiri msameheni hana kosa kwanza
hata elimu yake ni ndogo na inamtosha ye na familia yake ndio maana yuko dar muda wote akijua ubunge ni wa familia yake,,hata sasa anapoangaika na shule pale open..kisa kahahidiwa cheo fulani
ni moja ya matokeo ,,,ma prof kuleni vichwa washenzi kama hawa
wawe na adabu,,pili jamani kweli tutafika kwa style hii jamani haya
mungu tumwachie mwenyewe natumaini anaona yote na kwajina la yesu ipo siku wananchi tutachoka mheshimiwa jakaya kikwete na familia ya El mtakapoamini kumbe mungu yupo,,,tutachoka nakuamua jambo msiloamini kutafuta haki zetu