Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This is such a monumental discovery! Enhe, leta habari za mabibi zao sasa.
Naona watu wengi wanamhukumu Mugongo Mugongo na kumhusisha na kila aina ya ufisadi wa viongozi wa CCM.
Mimi nafikiri mchango wa Mugongo ni muhimu mno hapa JF. Anasaidia kutuonyesha upande mwingine wa shilingi.
Kusingelikuwa na watu kama hao hapa, huenda JF ingegeuka na kuwa
kama lile bunge la Dodoma tunalolipinga ila sasa mawazo tawala yangelikuwa upande mwingine.
Pia naona kama Mugongo muda mwingi anajaribu kweli kutokuingia kwenye personal attacks, kitu ambacho ni muhimu sana.
Ni vizuri kujadili hoja zake na sio kuanza kumshambulia yeye mwenyewe binafsi. Sio kazi rahisi kuwa mtetezi wa serikali hapa JF, inabidi kumpa jamaa tano zake maana anajitahidi mno.
Naona watu wengi wanamhukumu Mugongo Mugongo na kumhusisha na kila aina ya ufisadi wa viongozi wa CCM.
Mimi nafikiri mchango wa Mugongo ni muhimu mno hapa JF. Anasaidia kutuonyesha upande mwingine wa shilingi.
Kusingelikuwa na watu kama hao hapa, huenda JF ingegeuka na kuwa
kama lile bunge la Dodoma tunalolipinga ila sasa mawazo tawala yangelikuwa upande mwingine.
Pia naona kama Mugongo muda mwingi anajaribu kweli kutokuingia kwenye personal attacks, kitu ambacho ni muhimu sana.
Ni vizuri kujadili hoja zake na sio kuanza kumshambulia yeye mwenyewe binafsi. Sio kazi rahisi kuwa mtetezi wa serikali hapa JF, inabidi kumpa jamaa tano zake maana anajitahidi mno.
I personally enjoy Mugongo's presence here. If you guys would stop taking him too seriously and start taking him lightly you would find the humor in him/ what he says. But since you guys show that you get vexed by what he says...he probably feeds off of that and continues to do what he does (best).
kazi ipo kwelikweli,leteni na majibu ya waziri basi