Nakandamiza Kibara
Senior Member
- Jul 17, 2007
- 143
- 10
Hongereeni sana wananchi wa maeneo ya Buzwagi.JK kaona aibu kubwa na naamini hakuwa na kusema zaidi ya longo longo zake , sasa kakimnbia issue na kuuchia mkoa.Lakini Mbunge wa eneo hilo yuko wapi ?Aibu kubwa kwa mtu wa kasi wewe.