Kilitime,
Je, katika hoja yake yake kipengele cha saba Nd. Zitto hakusema hivi:-
Mheshimiwa Spika, Kwanza kabisa napenda nilikumbushe Bunge lako Tukufu kuwa Rais alikwishapiga marufuku kusainiwa kwa mikataba mipya ya Madini mpaka hapo sheria za madini zitakarekebishwa. Akisoma hotuba ya Wizara ya Nishati na Madini mnamo tarehe 17/7/2006, Waziri wa Nishati na Madini Mheshimiwa Ibrahim Msabaha alilitaarifu Bunge kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amezuia kusainiwa kwa Mikataba mipya ya Madini. Nimeambatanisha Hansard ya siku hiyo kama uthibitisho wa kauli hiyo. Sasa inakuwaje Waziri wa Nishati na Madini kwenda kinyume na maagizo ya Rais? Tena nje ya Nchi?
Kilitime,
Mimi nakushauri hivi, maadam majibu mengi ya Karamage unayakubali basi tafadhali ebu rudi nyuma utafute maelezo ya Mkapa Kieleweke ambaye akliyaweka maswali ya ndugu Zitto kisha jabiru kutafuta taratibu majibu ya Waziri yanayolingana na swali.. kama hutaona kwamba Waziri alikuwa akichukua sheria hii na kuibandika kilaka mahala ambapo hakutakiwa. Na kila mmoja wao anadai anao mshahidi na kuambatanisha Hansard lakini wenezetu mnachagua hiyo ya Karamage!.. Kikao ndicho pekee kingeweza kutupa UWAZI wa swala hili... siwezi kutumia ukweli ama Uahihi maanake Wadanganyika mnaweza niweka katika kundi la Kabwe!http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=4468&page=12
Labda niweke maswali machache hapa na aribu kuyajibu kutokana na Karamage! maswali in BOLD
24. Mheshimiwa Spika, hata hivyo katika hotuba ya Waziri wa Fedha Mheshimiwa Basil Mramba, akiwasilisha Hotuba ya Bajeti mwaka 2002, tarehe 13 mwezi Juni, alizungumzia kipengele hiki. Ninaomba kunukuu sehemu ya hotuba ya Waziri wa Fedha Mhe. Basili Mramba.
"Amendment to the Income Tax structure, (44) Mr. Speaker, in this area I propose to take the following measures:
(v) I propose to reinstate the additional 15 percent capital allowance on unredeemed qualifying capital expenditure as set out in the Mining Act. No. 5 of 1998"….. Mwisho wa kunukuu.
25. Mheshimiwa Spika, nilipopitia sheria ya fedha ya mwaka 2002 nimekuta sehemu ya 8 inazungumzia mabadiliko katika kodi ya mapato ya 1973. Na hata katika ukurasa wa kwanza wa sheria hii (Arrangement of Contents), sheria ya Madini haitajwi.
26. Mheshimiwa Spika, maelezo haya ya Waziri wa Fedha ya mwaka 2002 yanaonesha dhahiri utata wa kipengele hiki. Ni kwa vipi kifungu cha sheria ambacho hakijafutwa kirejeshwe?
27. Mheshimiwa Spika, tuchukulie kuwa maneno ya Waziri ni ya kweli. Je kwa nini makampuni ya Madini ambayo yameingia Mkataba na serikali kuanzia Julai mosi 2001 hayajaanza kulipa kodi ya mapato?
28. Mheshimiwa Spika, utata huu ambao umegubika sekta hii ya madini unaweza kufafanuliwa na Bunge lako tukufu kupitia Kamati Teule. Kamati teule ya Bunge ichunguze upitiaji wa mikataba hii na kuona kama kuna vitendo vyovyote vya uvunjifu wa sheria za nchi na kupotea kwa mapato ya Serikali na ufisadi.
Mwisho wa kunukuu!
Ndugu yangu naona hapa umerukia hili bus bila kuangalia liendako!.. hivi uliyasoma vizuri hoja za ndugu Zitto?..Mkandara,
It is open kwamba sheria hazijabadilishwa,,, lakini mathematically (proof by contradiction) haijadhihirika bado, hakuna sehemu mpaka sasa aidha imeletwa hapa JF au tumesoma mahali iliyosema "Serikali haitaingia mkataba mwingine na mwekezaji wowote wa madini hadi hapo sheria itakapobadilika"
Je, katika hoja yake yake kipengele cha saba Nd. Zitto hakusema hivi:-
Mheshimiwa Spika, Kwanza kabisa napenda nilikumbushe Bunge lako Tukufu kuwa Rais alikwishapiga marufuku kusainiwa kwa mikataba mipya ya Madini mpaka hapo sheria za madini zitakarekebishwa. Akisoma hotuba ya Wizara ya Nishati na Madini mnamo tarehe 17/7/2006, Waziri wa Nishati na Madini Mheshimiwa Ibrahim Msabaha alilitaarifu Bunge kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amezuia kusainiwa kwa Mikataba mipya ya Madini. Nimeambatanisha Hansard ya siku hiyo kama uthibitisho wa kauli hiyo. Sasa inakuwaje Waziri wa Nishati na Madini kwenda kinyume na maagizo ya Rais? Tena nje ya Nchi?
Kilitime,
Mimi nakushauri hivi, maadam majibu mengi ya Karamage unayakubali basi tafadhali ebu rudi nyuma utafute maelezo ya Mkapa Kieleweke ambaye akliyaweka maswali ya ndugu Zitto kisha jabiru kutafuta taratibu majibu ya Waziri yanayolingana na swali.. kama hutaona kwamba Waziri alikuwa akichukua sheria hii na kuibandika kilaka mahala ambapo hakutakiwa. Na kila mmoja wao anadai anao mshahidi na kuambatanisha Hansard lakini wenezetu mnachagua hiyo ya Karamage!.. Kikao ndicho pekee kingeweza kutupa UWAZI wa swala hili... siwezi kutumia ukweli ama Uahihi maanake Wadanganyika mnaweza niweka katika kundi la Kabwe!http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=4468&page=12
Labda niweke maswali machache hapa na aribu kuyajibu kutokana na Karamage! maswali in BOLD
24. Mheshimiwa Spika, hata hivyo katika hotuba ya Waziri wa Fedha Mheshimiwa Basil Mramba, akiwasilisha Hotuba ya Bajeti mwaka 2002, tarehe 13 mwezi Juni, alizungumzia kipengele hiki. Ninaomba kunukuu sehemu ya hotuba ya Waziri wa Fedha Mhe. Basili Mramba.
"Amendment to the Income Tax structure, (44) Mr. Speaker, in this area I propose to take the following measures:
(v) I propose to reinstate the additional 15 percent capital allowance on unredeemed qualifying capital expenditure as set out in the Mining Act. No. 5 of 1998"….. Mwisho wa kunukuu.
25. Mheshimiwa Spika, nilipopitia sheria ya fedha ya mwaka 2002 nimekuta sehemu ya 8 inazungumzia mabadiliko katika kodi ya mapato ya 1973. Na hata katika ukurasa wa kwanza wa sheria hii (Arrangement of Contents), sheria ya Madini haitajwi.
26. Mheshimiwa Spika, maelezo haya ya Waziri wa Fedha ya mwaka 2002 yanaonesha dhahiri utata wa kipengele hiki. Ni kwa vipi kifungu cha sheria ambacho hakijafutwa kirejeshwe?
27. Mheshimiwa Spika, tuchukulie kuwa maneno ya Waziri ni ya kweli. Je kwa nini makampuni ya Madini ambayo yameingia Mkataba na serikali kuanzia Julai mosi 2001 hayajaanza kulipa kodi ya mapato?
28. Mheshimiwa Spika, utata huu ambao umegubika sekta hii ya madini unaweza kufafanuliwa na Bunge lako tukufu kupitia Kamati Teule. Kamati teule ya Bunge ichunguze upitiaji wa mikataba hii na kuona kama kuna vitendo vyovyote vya uvunjifu wa sheria za nchi na kupotea kwa mapato ya Serikali na ufisadi.
Mwisho wa kunukuu!