KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 92
teh teh. JF saa nyingine bana.. hadi naamua kucheka !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi hawa wananchi wanafikiri Rais ni nani? Kama wao wamemchagua mbunge bomu hayo ni matatizo yao. Kama mbunge wao ameshindwa kuwatetea Bungeni na kumuunga mkono huyo Zitto wenu, sasa wanataka Rais afanye nini. Tusipoangalia watu watasubiri hadi Rais aje awasongee ugali! Huu ni upuuzi, kama kweli wamehamasika na kuamka, waende kuandamana kwa mbunge wao, wasimsumbue Rais wetu kwa mambo ya kipuuzi. Washindwe na kuregea kabisaaa! wanakera.
Asanteni.
hivi hawa wananchi wanafikiri Rais ni nani? Kama wao wamemchagua mbunge bomu hayo ni matatizo yao. Kama mbunge wao ameshindwa kuwatetea Bungeni na kumuunga mkono huyo Zitto wenu, sasa wanataka Rais afanye nini. Tusipoangalia watu watasubiri hadi Rais aje awasongee ugali! Huu ni upuuzi, kama kweli wamehamasika na kuamka, waende kuandamana kwa mbunge wao, wasimsumbue Rais wetu kwa mambo ya kipuuzi. Washindwe na kuregea kabisaaa! wanakera.
Asanteni.
Let us hope they're beginning to see. There is a lot of work to be done though; they should always recognize that.
hivi hawa wananchi wanafikiri Rais ni nani? Kama wao wamemchagua mbunge bomu hayo ni matatizo yao. Kama mbunge wao ameshindwa kuwatetea Bungeni na kumuunga mkono huyo Zitto wenu, sasa wanataka Rais afanye nini. Tusipoangalia watu watasubiri hadi Rais aje awasongee ugali! Huu ni upuuzi, kama kweli wamehamasika na kuamka, waende kuandamana kwa mbunge wao, wasimsumbue Rais wetu kwa mambo ya kipuuzi. Washindwe na kuregea kabisaaa! wanakera.
Asanteni.
Wananchi WASIMSUMBUE RAIS...!!!!
Kusaini mgodi wa Madini kwa niaba ya nchi ni UPUUZI...!!! Kweli, kuelimisha watanzania sio kazi ndogo.
Hii lugha ya "wenyewe"..."they"....haisaidii. Mtu unaongea as if wewe haikuhusu bwana...aagghhhh....
Kura ndio niliyo nayo na uchungu wa maonevu yanayotendeka. Uongozi wa kisiasa, I don't think so. That's why ......'they,' who aspire to lead katika ushindani.
Timu ya kabumbu ni wachezaji 11, usitake mashabiki nao tuingie uwanjani. Kazi ni kuwapigia mayowe wachezaji sisi tukiwa nje ya uwanja.
Kama una uwezo wa kucheza ni bora uingie uwanjani kuliko kupiga mayowe ukiwa pembeni. Kwa kuingia unaweza ukaleta tofauti na kuanza kufunga magoli. Key words..."Kama una uwezo wa kucheza"...lakini kama uwezo huna endelea kukaa pembeni na kupiga mayowe