Ogah,
Nakwambia kuna vitu ambavyo hata havieleweki kisawasawa!.. sheria moja inapinga nyingine na sielewi ipi inatangulia. Mara utasikia Sheria ya fedha, Sheria ya Kodi na mapato, sheria ya Madini n.k. ambazo alizitumia wakati uleee wa Richmond na tukabishana sana humu kuhusu sheria ipi inatangulia.. mwisho wake hakuna cha sheria wala mjomba wake ni kwamba tulipigwa bao.
Pale Mheshimiwa wetu aliposema Zitto Kabwe amechanganya sheria mbili tofauti (zinazopingana) ina maana kuna kimchezo kinatembea hapa.. inakuwaje sheria mbili ziwe zinapingana ktk mradi mmoja wa Madini, yaani wataalam wetu ktk madini wana sheria tofauti zinatofautiana na Fedha au Kodi na mapato ktk mradi mmoja! Hawa Kamati ya Ushauri wataweza vipi kutoa ushauri wa haki ikiwa hakuna njia moja tu inayoeleweka kisheria.
Labda sikusoma vizuri lakini mjomba inabidi nikubali kitu kimoja.. Uhuni umetumika sana kama ilivyokuwa ktk Richmond na Rada!
Nakwambia kuna vitu ambavyo hata havieleweki kisawasawa!.. sheria moja inapinga nyingine na sielewi ipi inatangulia. Mara utasikia Sheria ya fedha, Sheria ya Kodi na mapato, sheria ya Madini n.k. ambazo alizitumia wakati uleee wa Richmond na tukabishana sana humu kuhusu sheria ipi inatangulia.. mwisho wake hakuna cha sheria wala mjomba wake ni kwamba tulipigwa bao.
Pale Mheshimiwa wetu aliposema Zitto Kabwe amechanganya sheria mbili tofauti (zinazopingana) ina maana kuna kimchezo kinatembea hapa.. inakuwaje sheria mbili ziwe zinapingana ktk mradi mmoja wa Madini, yaani wataalam wetu ktk madini wana sheria tofauti zinatofautiana na Fedha au Kodi na mapato ktk mradi mmoja! Hawa Kamati ya Ushauri wataweza vipi kutoa ushauri wa haki ikiwa hakuna njia moja tu inayoeleweka kisheria.
Labda sikusoma vizuri lakini mjomba inabidi nikubali kitu kimoja.. Uhuni umetumika sana kama ilivyokuwa ktk Richmond na Rada!