The case against MUSTAFA MKULO

Huyu hatufai kabisa kama data zenyewe ziko hivi,tutaendelea kuendeshwa mpaka lini mimi nadhani Tanzania tunahitaji mapinduzi ili kurudisha adabu ama mnaonaje maana wote tunageuzwa wajinga na mazmbukuku
 
The man is placed at a strategic place ready for raising money for CCM, haendi kokote unless yatokee yalimtokea Chengele
 
The man is placed at a strategic place ready for raising money for CCM, haendi kokote unless yatokee yalimtokea Chengele

Atatoka tuu it is just a matter of tym,na siku zenyewe sii nyingi sana zilizobaki, ulitegemea Cents kuumbuka that soon????
 
That the Minister of Finance Mr. Mustafa Haidi Mkullo owe one of our premier Bank a loan of 30,000,000 plus accrued interest to the total of about 24,000,000 ( a debt of abt 54,000,000). It has been allegedly estabilished with documentary proof that Mr. Mkullo while he was a Deputy Minister of Finance alipatiwa mkopo huo ambao hadi hivi sasa hajalipa kitu chochote kinachoeleweka....

So, anapojiandaa kusimama kusoma bajeti vile vinzi vinavyozunguka vimeahidi kuonesha ushahidi wa deni hilo kubwa muda mfupi baada kabla ya yeye kusoma bajeti hiyo.. so, kama ninyi na miye nimekaa ku subiri kuona kama 'vyalika'?
 
Mkullo is another Chenge.

Hivi hao wadeni wake wasipolipa kodi na kuja kumuomba mwanya wa msamaha wa kodi ataweza kuwakatalia?
 

Hii inaonyesha jinsi JK na serikali yake ya CCM jinsi walivyo bega kwa bega kutafuna pesa ya walipa kodi kiroho mbaya, na jinsi wasivyo na nia ya kupiga vita UFISADI.
 
Hivi Kikwete hamjui Mkullo au kamuweka pale makusudi?
 
Mkullo is another Mbowe!!!!
I dont see why the name of the bank in this case is withheld, any reason MMK? Alichukua huu mkopo lini exactly?
 
Subiri vinzi vitakuletea habari. Hivi Mbowe ni waziri? Au basi imekuwa ni ushabiki?
 
Subiri vinzi vitakuletea habari. Hivi Mbowe ni waziri? Au basi imekuwa ni ushabiki?

Nazungumzia wanasiasa waliovuta mkwanja mnene na kukaidi kurudisha katika muda wa makubaliano kwa sababu zao binafsi, sio ushabiki mkuu. They all belong to the same group when it comes to their financial reputation, wangekuwa UK hawa wote wangekuwa na poor credit score!
 
Ushahidi unaonyesha Mbowe alirudisha pesa, Je, huyu waziri ambaye huna hata chembe ya data za hizo pesa alizokopa wakati tunategemea vinzi vitupe dataz utasema nini? Maana unaonekana kuanza kutetea wakati info... huna.

Hiyo bad credit unaipima vipi? Rejea kwenye thread ya pesa alizokopa Mbowe ujiridhishe.
 
Kana Ka Nsungu,

Nakubaliana na wewe kwamba kuna connection kati ya Mkulo na Mbowe kama hii habari inavyoonyesha. Na kwamba Mkullo angekuwa na credit score mbaya Viwanja.

Lakini kumtetea Mbowe, naweza kusema, hata nchi za nje mkubwa wa kampuni akikopa kwa niaba ya Kampuni, huwa sifa mbaya ya kutolipa deni haimwendei yeye bali kampuni yake. Ndio maana Marekani kampuni zina credit score pia. Hata majimbo nayo yana credit score.

 
Kuhani Mkuu

Tuwekee data za Waziri sasa.
 

Ukweli ni kwamba Mbowe hajamaliza kulipa deni, so far ameweza kulipa sehemu tu ya deni. Vigezo vya credit scoring unaweza kuvipata kwenye www.experian.co.uk au www.equifax.co.uk. So far sijaona kokote kwenye post zangu nilipomtetea mtu, read btn the lines.
 
Nilipo sikia Mkulo ni waziri wa fedha, Nepi yangu ilianguka chini kwa kutetemeka. Mkulo aliiba sana pale NSSF na alikuwa another Balali pale NSSF.
Alichofanya Balali ndicho Mkulo alifanya. Michango ya wavuja jasho ipo mikononi mwa wachache akiwa mmojawapo na haitarudi ng'ooooooooo.

Naye lazima aende chiniii

je Mwungana ananguvu hiyo?????????
 

Sasa mwaga data hapa zimebaki ngapi na huyo Mkullo karudisha ngapi? Ili tuweze kumkoma nyani hapa mchana kweupe maana ya Mbowe tunayajua na pumba zikija tunaziona. Haiwezekani kila hoja ahusishwe Mbowe wakati yeye sio waziri au amepewa dhamana yoyote ya kuliongoza taifa, wakati waliopewa hiyo dhamana wanakenua na kutapanya pesa ya walipa kodi.
 
Mkullo is another Mbowe!!!!
I dont see why the name of the bank in this case is withheld, any reason MMK? Alichukua huu mkopo lini exactly?


mwaka jana akiwa Naibu Waziri... mfano wako kuwa Mkullo is "another" Mbowe waweza kuwa na ukweli... lakini Mbowe siyo Waziri wa Fedha!
 

Dua unaeleweka vizuri ukisema hii mada haimuhusu Mbowe. Lakini ishia hapo. Ukianza kusema deni alishalipa unafungua milango ya arguments zinazosema deni hakulipa.

Hata mimi sipendi Mbowe anavyodhihakiwa kwa sababu nadhani ni mwanamapinduzi. Lakini tusimame kwenye ukweli. Kama kampuni yake haijalipa deni usiseme kalipa, halafu ukibanwa unasema, oooh, hii siyo mada ya Mbowe.

Ungeng'ang'ania hicho hicho, kwamba hii sio mada ya Mbowe. Nukta.
 
Sasa mwaga data hapa zimebaki ngapi na huyo Mkullo karudisha ngapi? Ili tuweze kumkoma nyani hapa mchana kweupe maana ya Mbowe tunayajua na pumba zikija tunaziona.

Rejea kwenye thread ya pesa alizokopa Mbowe ujiridhishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…