The case against MUSTAFA MKULO

Kama tunajali maendeleo ya taifa kwa manufaa ya taifa basi wote wanaolitia hasara taifa ni lazima tuwakemee. Tukichagua chagua ooh fulani sio waziri inasabisha watu waanze kujiuliza lengo kuu lililopo, hasahasa iwapo watu haohao wanaomtetea mtia hasara taifa kwa kigezo cha kutokuwa waziri wamedhihirika kuwa mstari wa mbele kukemea hasara inayoletewa taifa na watanzania wenye asili ya kiasia au wahindi, je hawa ni mawaziri?
Wote tuwakemee.
 

ZMCP,
Siku zote nasema kwa manazi wa Chadema kunya anakunya kuku tu, akinya bata kidogo tu basi kaharisha!
 

so mzee, are you suggesting kwamba akiwa na deni nini afanyiwe ?? hapa nafikiri tutarudi kule kule ppf.....nssf kufilisiwa na ..........??
 
Mkullo is another Chenge.

Hivi hao wadeni wake wasipolipa kodi na kuja kumuomba mwanya wa msamaha wa kodi ataweza kuwakatalia?

Unajua kwamba mbowe pia anadaiwa ? tukimuita nae another chenge kutakalika kweli humu ?? well, for that matter, mbowe is/was another chenge as well !
 
Hii inaonyesha jinsi JK na serikali yake ya CCM jinsi walivyo bega kwa bega kutafuna pesa ya walipa kodi kiroho mbaya, na jinsi wasivyo na nia ya kupiga vita UFISADI.

ni kweli kabisa maana pia serikali ya kikwete hiyo hiyo ndiyo iliyomkopa Freeman Aikaeli Mbowe kipindi kileeee '96 hadi leo hajalipa....kweli serikali ya kikwete ilianza haya mambo tokea 96 ilipomkopa mbowe !! na mbowe anaendelea tu kutafuna pesa za wananchi ! na sasa watu wanakuja na topics zao zinazosema it has come to my attention, je hiyo attention hawakuwa nayo wakati mbowe anaongelewa humu kuhusu deni lake ?? huu ni unafiki sasa !
 

unaongea kitu usichokijua ! ushahidi gani unaongelewa wewe unaonyesha mbowe alirudisha hizo pesa ?? ulete hapa huo ushahidi ! Nitashukuru sana ! Maana hata mbowe mwenyewe alikiri kwamba anadaiwa na anahitaji muda na nafasi ili aweze kuongea nao ! sasa wewe unasema ushahidi, mzee naomba uulete huo ushahidi unaosema kuhusu mbowe !!
 
mwaka jana akiwa Naibu Waziri... mfano wako kuwa Mkullo is "another" Mbowe waweza kuwa na ukweli... lakini Mbowe siyo Waziri wa Fedha!

so does that make the debt unpayable or............................?? am feeling dizzy on this one !
 

watu washaanza kuchokonoa moto humu ndani ! watu wanamtetea mbowe eti kwa kuwa sio waziri........heheheh.....watu wanafaa kuwa comedians humu !
 
I dont its ethical to put a hardcore defaulter such as this dude to be your Minister of Finance, That is like putting a paedophile in charge of running a childrens nursery (a recipe for disaster), Sasa kama huyu mtu anashidwa kuheshimu na kumanage personal finances zake mwenyewe kweli ataweza ku-manage finance za nchi zima!!!
 

if so, hii ina maana mbowe has no chances and should not be given any chances kuongoza watu/chama kutokana na statement yako ! upo tayari kumpinga mbowe kutokana na maneno yako ??
 
if so, hii ina maana mbowe has no chances and should not be given any chances kuongoza watu/chama kutokana na statement yako ! upo tayari kumpinga mbowe kutokana na maneno yako ??

Who said I support Mbowe or Chadema for that matter????
 
kama walichukua mkopo kihalali bila foul yeyote sioni ubaya wa mtu yeyote kudaiwa,najua kuna sheria za mtu kushindwa deni afanywe nini na ni jukumu la mdai kufanya hivyo ili apate pesa zake..kukopa/kulipa/kushindwa kulipa/kuchelewa kulipa ni nature ya biashara ya hiyo mikopo kwa hiyo sioni sababu yeyote kwao kushindwa kuwa wenyeviti wa chama au mawaziri kwa ajiri tuu ni wadaiwa,na NSSF waache kelele kama kweli wanamdai mbowe na kashindwa kulipa wanajua mali zake zote zilipo ni swala la kuzipiga round tuu na dalali kunyoosha mkono....done deal!
 

Kama viongozi wetu wanadaiwa na wanavunja sheria katika kudaiwa huko, basi ni vyema tukawakemea wote equally, kama ni kosa kwa Mkullo kuwa na deni na kuvunuja sheria kwenye kulilipa, na Mbowe pia ana deni hilo hilo na sababu zile zile, basi wote tuwapige mawe sawa sawa,

Ninaomba kusema kuwa wayalipe madeni yao haraka kama kweli wanadaiwa na wanavunja sheria kwa kutokuyalipa!
 
watu humu ovyo sana, anadaiwa mkullo wanajidai wana attention alipokuwa akiongelewa mbowe deni lake walikuwa wapi ?? bana mie saa nyingine watu kama hawa nawatolea tu mshipa wa aibu pembeni na kuongea ninachokiona....
 

ES vipi mkuu upo?
 
watu humu ovyo sana, anadaiwa mkullo wanajidai wana attention alipokuwa akiongelewa mbowe deni lake walikuwa wapi ?? bana mie saa nyingine watu kama hawa nawatolea tu mshipa wa aibu pembeni na kuongea ninachokiona....

...acha kuweka emotions zako humu utafikiri na wewe una 10% kumbe kada tuu!
 
...acha kuweka emotions zako humu utafikiri na wewe una 10% kumbe kada tuu!

vizuri kwa kuweka hilo sawa maana wengi walikuwa wakispeculate kwamba na mie nafaidika na ufisadi ! una uhakika gani kwamba sina % yoyote huko ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…