The case against MUSTAFA MKULO

The case against MUSTAFA MKULO

Sijui hii kitu ina ukweli kiasi gani..... amueni wenyewe!

mkullo_phixr.jpg


DUU HAPA HACHOMOKI......nimikubali!!!

unajua baada ya jamaa kustaafu NSSF alitumia pesa rafu as if bado alikuwa kazini..kuna wakati alichoka sana kipesa ...alikuwa na ka dry cleaner kake pale kinondoni BP mwanamboka ..akashindwa kuiendesha..si alishazoea mteremko...mpaka anagombea ubunge 2005 alishakuwa taabani...kipesa ,sintakataa kama ilibidi aombe mkopo angalau aweze kuwalipa wale jamaa waliomkopesha pesa ya kampeni!!!!

cha kujiuliza ni je huo mkopo ameshaulipa????
 
kwenye hiyo doc.. inaonesha kuwa hadi mwezi wa nne uliopita hapa.. deni lilikuwa ni 53.. milioni na kwa vile hii ni judi sitashangaa kama linaweza kuwa limefikia kwenye 60... na kuna dalili suala la riba linawaumiza watu wengi kwani naona ni kama riba zinazochajiwa kila siku...
 
Unajua kwamba mbowe pia anadaiwa ? tukimuita nae another chenge kutakalika kweli humu ?? well, for that matter, mbowe is/was another chenge as well !

Mbowe alikopa na kesha lipa data ziko wazo dispute sijui why zipo ila tungoje mahakama iamue .Mahakama ni za CCM so nashangaa uoga unakuwawepo wa nini .Mbowe kakopa na kawekeza ndani ya tanzania ajira kawapa walioweza kupata na deni kalipa na madai mengine yako Mahakamani.Chenge kahamisha pesa na kapeleka nje ya Nchi naomba kada uone utofauti wa Mbowe na Chenge .
 
Only cowards will try to disrupt the flow of a thread like this and try to justify their actions because they think they are the only ones who are right all the time no matter how many responses they post per day.

They claim to be in the side of taxpayers and walalahoi when we know for sure that they are against the majority and fighting tooth and nail for their stomachs and MAFISADI of which by the latest revelations they are loosing ground - big time.

They tried on EL, Chenge etc. But at the end of the day the many Tanzanians have woken up and know for sure the time for liberation has come and it’s here now - PLAY YOUR PART.
 
Mkuu Dua nadhani hawa vijana wamekusikia .Umeongea kwa hasira na uchungu wa Nchi yako .Hapa watu sasa naomba na nasema it is time to stop interrupting then flow of threads.Ukiwa na jambo lako nashauri uanze mada .Hii ni mada nzuri sana lakini tukileta ushabiki twajivua nguo.
 
Mbowe alikopa na kesha lipa data ziko wazo dispute sijui why zipo ila tungoje mahakama iamue .Mahakama ni za CCM so nashangaa uoga unakuwawepo wa nini .Mbowe kakopa na kawekeza ndani ya tanzania ajira kawapa walioweza kupata na deni kalipa na madai mengine yako Mahakamani.Chenge kahamisha pesa na kapeleka nje ya Nchi naomba kada uone utofauti wa Mbowe na Chenge .

lunyungu, unajua hotel yake (Mbowe) ya arusha wanaorun ni watu wa wapi ??

Wewe ndiye usiyeliona deni la mbowe, lakini hata yeye mwenyewe (MBOWE) anakiri kwamba anadaiwa isipokuwa anataka kunegotiate na NSSF ! upo hapo ?
 
Lunyungu najua upo online, na umesema mbowe kawapa watanzani ajira, sasa nakuuliza unajua ni watu wa wapi wanaorun hiyo hoteli ya mbowe ???? kama hujui, sema nikwambie !
 
Una komaa kama Mh Mbowe mpaka kieleweke!

isn't that the nature of business... na sisi (kama Taifa) si kuna madeni tulishindwa kulipa ikabidi tuwaambiwa wakubwa ukweli kwamba hatulipi kwani hatuwezi kulipa...! wakafanya nini si walitusamehe.

Naamini Mkullo kama deni litakuwa gumu (asisubiri lifikie la kutokulipika) hatafanya kosa akilirenegotiate... lakini akijanya mgumu, itakuwa ni yale yale ya Mbowe.. deni la msingi atalipa (milioni 30) hiyo riba ndio itamliza... sasa hivi tayari riba imefikia 23 millioni more than half the original loan....at that rate ikifika mwisho wa mwaka the interests will be more than the original loan!! what kind of lending is going on in Tanzania?
 
Sijui hii kitu ina ukweli kiasi gani..... amueni wenyewe!

mkullo_phixr.jpg

Naona tunajenga taifa linaloamini kuwa kukopa benki ni kosa sasa sijui hizo benki zitadumu vipi bila watu kukopa. Tuachane na hilo siku hizi nimewaachia mjenge taifa la kimaskini mnavyojua ninyi. Au mnataka tena mawaziri wasikope ila waibe?
Kuhusu hii statement kama kuna mtu anafanya benki ningependa maelezo kwa manufaa yangu binafsi. Hivi inakuaje account inafunguliwa Jumapili? Tumeona kwenye account za EPA nadhani kuna kitu benki wanafanya na tuchukulia siku ya kufungua hiyo account haikuwa fools day 01/04/2007. Hii statement inaonyesha interest rate ni 0.0 hizo interest charges zinatoka wapi. Kitu kingine ambacho mwanakijiji umesema kuwa hakuna paymeny yoyote iliyofanyika mimi nimeona payment au ulikuwa unataka kuwatia hasira watu? Pia kama hiyo statement ni ya kweli basi nadhani alikopa 60 millions siyo 30 millions ambazo mwanakijiji amepewa. Let us take a simple math ukilopa $10 zinakuwa transfered kwenye account yako ambayo umefungua uki withdraw $2 you balance yako itakuwa $2 siyo $12 hicho ndicho kitu kilichotokea kama alikopa 30mil na inaonesha alilipa interests na fee kabla haya ku withdraw 20 mil. balance itakuwaje 50 mil.? Hii statement ni ya kuchonga na ipelekwe kwenye udaku mtu anawezaje kufungua account na kuwa na balance hapo hapo bila ku withdraw ua charges zozote? I might be wrong ila ningependa maelezo.
 
Unajua kuna wengine wamekaa mkao wa kula tu hapa. Kwa hiyo watatetea hata ambavyo haviwezi kutetewa. Mwizi ni mwizi tu; awe kaiba kuku, chungwa au ng'ombe. Hawa waliokwishaonyesha makucha yao mapema kabisa, wakae pembeni. Na wale walioko madarakani na wamethibitika kuliibia taifa na kufifisha mashirika ya umma wapigwe chini tu.

Siyo rahisi kupata watu wasio na doa, lakini lazima watu wawajibike kwa matendo yao. Siasa ya Tanzania imekuwa ya kila fisadi kukimbilia ili kushibisha zaidi matumbo yao. Ukishajulikana wewe ni fisadi, kaa pembeni kabisa. Kamalizeni na wadeni wako huku ukijua umeshapoteza sifa ya uongozi, labda uhamie sayari nyingine.

Sasa itakuwa kila siku ni kupambana na mafisadi tu. Akiondoka fisadi huyu, anaingia fisadi mwingine and the saga continues. No way!! Kwa wale mlioahidiwa vyeo kwa kuwakingia kifua mafisadi (whether wako serikalini, NGO au kwenye vyama mbadala) kawaambieni kwamba kazi ya utetezi ni ngumu kwa maana huu ni wakati mbaya sana kwao.
 

Mimi hii habari haijanikalia vizuri, maana naona imejaa innuendos! Kama hawa wakuu documentary proof wanayo, watuambie basi jina la benki, kiasi cha pesa kamili (sio hizo round figures na abts),lini Mheshimiwa alikopa, alitumia jina gani (yeye binafsi, kampuni yake n.k) na alikopa kwa makusudi gani. Hapo ndio ahukumiwe.

Au ndiyo uandishi wetu? Kila taarifa kama vile tunang'olewa meno!

Fundi, I support you totally...the discussion is getting us nowhere......bad taste in the mouth sort of!!
 
Unajua kuna wengine wamekaa mkao wa kula tu hapa. Kwa hiyo watatetea hata ambavyo haviwezi kutetewa. Mwizi ni mwizi tu; awe kaiba kuku, chungwa au ng'ombe. Hawa waliokwishaonyesha makucha yao mapema kabisa, wakae pembeni. Na wale walioko madarakani na wamethibitika kuliibia taifa na kufifisha mashirika ya umma wapigwe chini tu.

Siyo rahisi kupata watu wasio na doa, lakini lazima watu wawajibike kwa matendo yao. Siasa ya Tanzania imekuwa ya kila fisadi kukimbilia ili kushibisha zaidi matumbo yao. Ukishajulikana wewe ni fisadi, kaa pembeni kabisa. Kamalizeni na wadeni wako huku ukijua umeshapoteza sifa ya uongozi, labda uhamie sayari nyingine.

Sasa itakuwa kila siku ni kupambana na mafisadi tu. Akiondoka fisadi huyu, anaingia fisadi mwingine and the saga continues. No way!! Kwa wale mlioahidiwa vyeo kwa kuwakingia kifua mafisadi (whether wako serikalini, NGO au kwenye vyama mbadala) kawaambieni kwamba kazi ya utetezi ni ngumu kwa maana huu ni wakati mbaya sana kwao.

Kwa hiyo kukopa hela benki ni ufisadi au ni wizi?
 
huyu nae subilini mwaka huu uishe mtasikia tu ana hotel MORO mala amenunua mashamba kibao ana makampuni kibao subilini kwa maana hii wizara ni balaa inatajirisha waliopo kwenye vitengo...
 
Hii inaonyesha jinsi JK na serikali yake ya CCM jinsi walivyo bega kwa bega kutafuna pesa ya walipa kodi kiroho mbaya, na jinsi wasivyo na nia ya kupiga vita UFISADI.

Huyo ndio Rais wetu mpendwa na Baraza lake la Mawaziri wapendwa.
Jamani we acha tuuuuuuuuuuuuu
 
Hapa nadhani issue hii inaweza kuhusishwa kabisa na ile thread ya hapa iliyozungumzia UFISADI BENKI YA POSTA.. Hivi sasa Benki ya Posta wanahaha kuzima hii issue baada ya kufikishwa katika Kamati ya Hesabu za MAshirika ya UmMA (POC) chini ya Zitto na kumhusisha Mkulo kuwalinda
 
Back
Top Bottom