CottonEyeJoe
JF-Expert Member
- Jan 8, 2008
- 331
- 72
na aliyekwambia hivyo ni nani ?? nimesema nilichosema kutokana na maneno uliyosema !
Fair enuff..... At the moment we are discussing Mkullo hayo ya Mbowe we will be and are being discusssed... My take though is that being a harcore "personal" defaulter is different than running a company that is defaulting....
...Mbowe na Mkullo wooote ni mafisadi tu!!! hawafai kupewa hata ujumbe wa nyumba kumi kumi.
Fair enuff..... At the moment we are discussing Mkullo hayo ya Mbowe we will be and are being discusssed...
... At the moment we are discussing Mkullo hayo ya Mbowe we will be and are being discusssed... My take though is that being a harcore "personal" defaulter is different than running a company that is defaulting....
That means you are comparing the two. You are defending Mbowe, even as you purport to say that we're talking about Mkulo.
Can't have it both ways. Just say this is about Mkulo, and put a period there.
Then we can move forward with Mkulo discussion.
All I am saying is that resistance to pay a personal debt and the resistance of corporate entinty (or even country for that matter) are to different things. The latter is does not directly mean that you cant lead a company or Country for that matter....
All I am saying is that resistance to pay a personal debt and the resistance of corporate entinty (or even country for that matter) are to different things. The latter is does not directly mean that you cant lead a company or Country for that matter....
Jamani mwee,
Nilidhani hapa ni mahala pa kujadili mada kama inavyoletwa...
Swala kubwa hapa ni Mkullo na nadhani kuna watu mnajaribu kupotosha maana ya hoja hii kwa kuingiza siasa.
...Huyo Mbowe anajulikana na kisheria kesi yake ipo mahakamani na anaendelea kulipa lakini huyu Mkullo hili ni janga jipya na kapewa nafasi KUBWA sana ya kuendeleza kutumaliza!...
Jamani, jamani litazameni Azimio la Zanzibar kwa macho ya uchungu, kwani Mbowe hakupewa mkopo huo kwa kufuata taratibu za Azimio hilo isipokuwa aliomba mkopo huo kama wafanyabiashara wengine wote ambao wanalipa ama wamechelewa kulipa...
Kama tunajali maendeleo ya taifa kwa manufaa ya taifa basi wote wanaolitia hasara taifa ni lazima tuwakemee. Tukichagua chagua ooh fulani sio waziri inasabisha watu waanze kujiuliza lengo kuu lililopo, hasahasa iwapo watu haohao wanaomtetea mtia hasara taifa kwa kigezo cha kutokuwa waziri wamedhihirika kuwa mstari wa mbele kukemea hasara inayoletewa taifa na watanzania wenye asili ya kiasia au wahindi, je hawa ni mawaziri?
Wote tuwakemee.
hili la Mbowe nilishalitolea maoni huko nyuma na anayetaka kujua maoni yangu arudi akaangilie. Sipendi kweli kujirudia rudia. Mmeshasema Mbowe anadaiwa, it has been established; tunajua amelipa kiasi gani, na deni lililosalia hata NSSF wenyewe hawajui... Yaani hatuwezi kuzungumzia kitu hicho hicho alimradi tunarudia kilichokwishasemwa.
Kama kuna mtu ana info mpya kuhusu madeni mapya ya Mbowe ambayo hajalipa bandikeni hapa thread, lakini haiwezekani kuwa tukizungumzia madeni mapya ya x,y kwa vile tu ni CCM basi mnakimbilia "Mbowe". Kama kuna mtu ana data mpya kuhusu Mbowe na madeni yake wekeni data katika mapambano haya all are fair!
hili la Mbowe nilishalitolea maoni huko nyuma na anayetaka kujua maoni yangu arudi akaangilie. Sipendi kweli kujirudia rudia. Mmeshasema Mbowe anadaiwa, it has been established; tunajua amelipa kiasi gani, na deni lililosalia hata NSSF wenyewe hawajui... Yaani hatuwezi kuzungumzia kitu hicho hicho alimradi tunarudia kilichokwishasemwa.
Kama kuna mtu ana info mpya kuhusu madeni mapya ya Mbowe ambayo hajalipa bandikeni hapa thread, lakini haiwezekani kuwa tukizungumzia madeni mapya ya x,y kwa vile tu ni CCM basi mnakimbilia "Mbowe". Kama kuna mtu ana data mpya kuhusu Mbowe na madeni yake wekeni data katika mapambano haya all are fair!
No matter what way we're going to take MMK, swala la attachement ya NSSF and Mbowe will be there. Kama mbowe anadaiwa na Mkullo anadaiwa then wote ni wadeni. Hakuna small mdeni au big mdeni, mdeni ni mdeni. Mbowe will be part of NSSF drowning back as well as Mr. Mkullo. We can go east or decide to drive west but that will remain the reality.
That the Minister of Finance Mr. Mustafa Haidi Mkullo owe one of our premier Bank a loan of 30,000,000 plus accrued interest to the total of about 24,000,000 ( a debt of abt 54,000,000). It has been allegedly estabilished with documentary proof that Mr. Mkullo while he was a Deputy Minister of Finance alipatiwa mkopo huo ambao hadi hivi sasa hajalipa kitu chochote kinachoeleweka....
So, anapojiandaa kusimama kusoma bajeti vile vinzi vinavyozunguka vimeahidi kuonesha ushahidi wa deni hilo kubwa muda mfupi baada kabla ya yeye kusoma bajeti hiyo.. so, kama ninyi na miye nimekaa ku subiri kuona kama 'vyalika'?
Mkullo is another Mbowe!!!!
I dont see why the name of the bank in this case is withheld, any reason MMK? Alichukua huu mkopo lini exactly?