Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahaasKutokaView attachment 3051128View attachment 3051129
Hadi
View attachment 3051131View attachment 3051132
Ukiendekeza sana wazungu.........
😀 😀 😀KutokaView attachment 3051128View attachment 3051129
Hadi
View attachment 3051131View attachment 3051132
Ukiendekeza sana wazungu.........
Kwani yule RC anasema je?
Cc The Boss, Faiza Foxy et al
Kuna kipindi nilikuwa naishi Bahari Beach Bunju......Aisee ukisikiliza Redio za visiwani Kipindi Cha Matukio wanaita Mawio ni noma sana.😆😆😆 wadudu wa chuga wanatatuana marinda tu hawana habarii.
Mjini Magharibi hii jamii siyo ya kuizungumzia kabisa
Na hili watamsingizia Papa Francis?View attachment 3051219
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Hizi takwimu zinaonyesha kabisa watu wa mkoa wa Mara ni jamii iliyostaarabika na yenye hofu ya Mungu,kiukweli Mkoa wangu wa Mara kitu ambacho bado tunakifanyia kazi ni Ukatili tu wa kuwakung'uta wanawake,bila shaka Kwa namna jamii yetu inavyoenda inastaarabika naamini haya mambo ya kibabe yatafika mwisho!
Kinachonishangaza kwenye hizi takwimu ni namna upande fulani ambao wao huwa wanajinasibu kuwa na Mungu lakini ndiyo wanaongoza Kwa Ulawiti na Ubakaji!
Mjini Magharibi imetisha, anyway kukosekana Njombe na Geita kwenye hizi orodha kunatia mashaka
Ngojeni kweny mauaji na ukatiliAfadhali Mkoa wa MARA haupo kwenye UJINGA huo.
Hata Mimi nimefurahi sana,Mkoa wa Mara una maadili sanaAfadhali Mkoa wa MARA haupo kwenye UJINGA huo.
Alafu utasikia wazanzibari wanasema sisi bara tuwaharibia nchi Yao😂Mjini Magharibi 😅