The Chanzo: Maeneo yenye matukio mengi zaidi ya Ubakaji na ulawiti Tanzania

The Chanzo: Maeneo yenye matukio mengi zaidi ya Ubakaji na ulawiti Tanzania

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
20240724_214429.jpg
 
20240724_234354.jpg



Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!


Hizi takwimu zinaonyesha kabisa watu wa mkoa wa Mara ni jamii iliyostaarabika na yenye hofu ya Mungu,kiukweli Mkoa wangu wa Mara kitu ambacho bado tunakifanyia kazi ni Ukatili tu wa kuwakung'uta wanawake,bila shaka Kwa namna jamii yetu inavyoenda inastaarabika naamini haya mambo ya kibabe yatafika mwisho!

Kinachonishangaza kwenye hizi takwimu ni namna upande fulani ambao wao huwa wanajinasibu kuwa na Mungu lakini ndiyo wanaongoza Kwa Ulawiti na Ubakaji!
 
😆😆😆 wadudu wa chuga wanatatuana marinda tu hawana habarii.
Mjini Magharibi hii jamii siyo ya kuizungumzia kabisa
Kuna kipindi nilikuwa naishi Bahari Beach Bunju......Aisee ukisikiliza Redio za visiwani Kipindi Cha Matukio wanaita Mawio ni noma sana.

Kila siku kuna repotiwa matukio mawili au matatu ya Ulawiti.
 
View attachment 3051219


Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!


Hizi takwimu zinaonyesha kabisa watu wa mkoa wa Mara ni jamii iliyostaarabika na yenye hofu ya Mungu,kiukweli Mkoa wangu wa Mara kitu ambacho bado tunakifanyia kazi ni Ukatili tu wa kuwakung'uta wanawake,bila shaka Kwa namna jamii yetu inavyoenda inastaarabika naamini haya mambo ya kibabe yatafika mwisho!

Kinachonishangaza kwenye hizi takwimu ni namna upande fulani ambao wao huwa wanajinasibu kuwa na Mungu lakini ndiyo wanaongoza Kwa Ulawiti na Ubakaji!
Na hili watamsingizia Papa Francis?
 
Back
Top Bottom