Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iknawezekana ikawa kweli au sio kweli. Mila na desturi zinachangia matukio mengi kuto ripotiwa polisi. Inawezekana kuna matukio mengi lakini jamii haitoi taarifa polisi.View attachment 3051219
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Hizi takwimu zinaonyesha kabisa watu wa mkoa wa Mara ni jamii iliyostaarabika na yenye hofu ya Mungu,kiukweli Mkoa wangu wa Mara kitu ambacho bado tunakifanyia kazi ni Ukatili tu wa kuwakung'uta wanawake,bila shaka Kwa namna jamii yetu inavyoenda inastaarabika naamini haya mambo ya kibabe yatafika mwisho!
Kinachonishangaza kwenye hizi takwimu ni namna upande fulani ambao wao huwa wanajinasibu kuwa na Mungu lakini ndiyo wanaongoza Kwa Ulawiti na Ubakaji!
Hilo ndo sahihi kwani kwa jinsi walivyo Makatili mwathirika akitishwa kwamba ukienda kuripoti Nakuua, basi hatokwenda kwa kuhofia Usalama wake.Iknawezekana ikawa kweli au sio kweli. Mila na desturi zinachangia matukio mengi kuto ripotiwa polisi. Inawezekana kuna matukio mengi lakini jamii haitoi taarifa polisi.
Huyo unamjua weweSio kweli. Subiri wenye Taarifa watakuja. Kwani yule Mwl. alikuwa wa wapi vile?
hatupoNgojeni kweny mauaji na ukatili
Lete hizo takwimu, au wewe ndiye muathirika hukutoa taarifa?Upo mkuu. Takwimu za Mkoa wa Mara HAZIKUPATIKANA. Watoa Taarifa hawakuwepo Ofisini na muda ukawa umeisha.![]()
sawa tumekusika muraView attachment 3051219
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Hizi takwimu zinaonyesha kabisa watu wa mkoa wa Mara ni jamii iliyostaarabika na yenye hofu ya Mungu,kiukweli Mkoa wangu wa Mara kitu ambacho bado tunakifanyia kazi ni Ukatili tu wa kuwakung'uta wanawake,bila shaka Kwa namna jamii yetu inavyoenda inastaarabika naamini haya mambo ya kibabe yatafika mwisho!
Kinachonishangaza kwenye hizi takwimu ni namna upande fulani ambao wao huwa wanajinasibu kuwa na Mungu lakini ndiyo wanaongoza Kwa Ulawiti na Ubakaji!
Nyie huko ni ushirikina na kuuana hovyoImebarikiwa Geita na watu wake
Watu wa geita tutaiona mbingu mubashara wakushangaza.
Nimestaajabu kuona wazee wa Imani Wame score kama zote!!.
Huku geita Tutaendelea kuwasalimia Zima moto kama kawaida kuwakumbusha kama maji yapo.
Kwahiyo Bora kutatuana rindas?Nyie huko ni ushirikina na kuuana hovyo
😀😀Hayo wagonjee takwimu za utapiamlo , mauaji , kupigwa na wake zao .Nyie huko ni ushirikina na kuuana hovyo
Liwa na wewe sasaMachalii 215 wa Arusha na 123 Kilimanjaro waliliwa kiboga mwaka 2023 ..
Cc luambo makiadi Chaliifrancisco Stress Challenger Benjamini Netanyahu OKW BOBAN SUNZU
View attachment 3052555
Kinyesi city bado hamna vyoo , mnajisaidia vichakani ...Liwa na wewe sasa