The Chanzo: Maeneo yenye matukio mengi zaidi ya Ubakaji na ulawiti Tanzania

The Chanzo: Maeneo yenye matukio mengi zaidi ya Ubakaji na ulawiti Tanzania

Kuna kipindi nilikuwa naishi Bahari Beach Bunju......Aisee ukisikiliza Redio za visiwani Kipindi Cha Matukio wanaita Mawio ni noma sana.

Kila siku kuna repotiwa matukio mawili au matatu ya Ulawiti.
Huko ndiko FaizaFoxy anasema kumejaa ustaarabu!
 
Imebarikiwa Geita na watu wake
Watu wa geita tutaiona mbingu mubashara wakushangaza.

Nimestaajabu kuona wazee wa Imani Wame score kama zote!!.

Huku geita Tutaendelea kuwasalimia Zima moto kama kawaida kuwakumbusha kama maji yapo.
 
Mjini Magharibi ndio huko kunaongozwa kwa dini ?????????????????????????????????
 
View attachment 3051219


Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!


Hizi takwimu zinaonyesha kabisa watu wa mkoa wa Mara ni jamii iliyostaarabika na yenye hofu ya Mungu,kiukweli Mkoa wangu wa Mara kitu ambacho bado tunakifanyia kazi ni Ukatili tu wa kuwakung'uta wanawake,bila shaka Kwa namna jamii yetu inavyoenda inastaarabika naamini haya mambo ya kibabe yatafika mwisho!

Kinachonishangaza kwenye hizi takwimu ni namna upande fulani ambao wao huwa wanajinasibu kuwa na Mungu lakini ndiyo wanaongoza Kwa Ulawiti na Ubakaji!
Duh,
Hivi Mjini magharibi si ni Zenji?
Kama ndivyo idadi ya watu (population) ni ndogo huko, lakini kwa matukio ya ubakaji na "kufukua matope" hao jamaa kumbe ni vinara!!!
Hatari sana!
 
Back
Top Bottom