Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
logic's iliyotumika hapo ni kwamba mara hakuna mwandishi anaeripot matukio vinginevyo mara ingelua namba mbili happo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapenzi wasomaji.,mkumbuke Takwinu hizi hazihusishi watu wanaofirana Kwa hiari!😁
Lojiki. Iliyotumika au mawazo au maoni Yako!?logic's iliyotumika hapo ni kwamba mara hakuna mwandishi anaeripot matukio vinginevyo mara ingelua namba mbili happo
Arusha kwa hiari...nikiangalia yale mabuti yao kumbe beki hazikabi aisee.Wapenzi wasomaji.,mkumbuke Takwinu hizi hazihusishi watu wanaofirana Kwa hiari!😁
Dar ndo kinara kwenye hayo mswala yote SEMA huu unyambulifu WA kiwilaya umeficha takwimu halisi
Wamekimbia uzi huu OllaChuga OcKuna uzi humu Vijana wa Arusha wengi wao wamepasuliwa Spika zao....
hiyo mjini magharibi inayolinganishwa na mikoa,ni kaeneo kadogo sana, ila kamejaa ufirauni.
Noma sanaMjini Magharibi ndio huko kunaongozwa kwa dini ?????????????????????????????????
Upo mkuu. Takwimu za Mkoa wa Mara HAZIKUPATIKANA. Watoa Taarifa hawakuwepo Ofisini na muda ukawa umeisha.Afadhali Mkoa wa MARA haupo kwenye UJINGA huo.

Usifurahi ndg. yangu. Inawezekana Mahakama na Polisi wa Mara hawakutoa ushirikiano ili Taarifa zipatikane.Hata Mimi nimefurahi sana,Mkoa wa Mara una maadili sana
Sio kweli. Subiri wenye Taarifa watakuja. Kwani yule Mwl. alikuwa wa wapi vile?Huwezi kuona MARA Kwenye upuuzi huu.
I love you mara. Mkoa WA wanaume.
Duh; Moto wa kuotea mbali.Mjini Magharibi 😅
Hee! Ngoja utawasikia wakisema eti wahusika wengi ni Wakatoliki.Na hili watamsingizia Papa Francis?
Duh,View attachment 3051219
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Hizi takwimu zinaonyesha kabisa watu wa mkoa wa Mara ni jamii iliyostaarabika na yenye hofu ya Mungu,kiukweli Mkoa wangu wa Mara kitu ambacho bado tunakifanyia kazi ni Ukatili tu wa kuwakung'uta wanawake,bila shaka Kwa namna jamii yetu inavyoenda inastaarabika naamini haya mambo ya kibabe yatafika mwisho!
Kinachonishangaza kwenye hizi takwimu ni namna upande fulani ambao wao huwa wanajinasibu kuwa na Mungu lakini ndiyo wanaongoza Kwa Ulawiti na Ubakaji!