The Daily Nation(Kenya): Like others, Tanzania's Magufuli is bound to fail

The Daily Nation(Kenya): Like others, Tanzania's Magufuli is bound to fail

Kifyatu unatumia nguv nyingi kumuelewesha mtu aliyeamua kutoelewa. Acha nao,maendeleo ya serikal ya Magufuli ndo yatakua na majibu sahihi.
Lakini ni watu kama hawa ndio wanaowapa hawa maprofesa "uchwara" nguvu za kutudharau zaidi. Kama huyo guru wao Cheeseman akifuatilia maoni ya watanzania ni vizuri apitie hapa atoe ufafanuzi.
 
VIPI KUHUSU MTU ANAYEJIITA ANA-Phd na NI RAIS wa nchi alafu anajua kuwa SADAMU HUSSEIN ni rais wa KUWAIT or LIBYA???
Nimekwisha sikia sana watu wakimponda Magufuli kwa kutojua majina ya maraisi wa dunia (uarabuni).

Hivi huku kutojua majina ya hawa maraisi wa kiarabu kunaathiri vipi ufanisi wake wa kuiongoza Tanzania? Ufahamu pekee wa muhimu kwangu ni yeye kujua watanzania wake wako wapi na atawakwamua vipi kutoka kwenye adha hii wanayoipitia kwenye mikono ya mafisadi. Anything else is just icing on the cake.
 
Nimekwisha sikia sana watu wakimponda Magufuli kwa kutojua majina ya maraisi wa dunia (uarabuni).

Hivi huku kutojua majina ya hawa maraisi wa kiarabu kunaathiri vipi ufanisi wake wa kuiongoza Tanzania? Ufahamu pekee wa muhimu kwangu ni yeye kujua watanzania wake wako wapi na atawakwamua vipi kutoka kwenye adha hii wanaoipitia kwenye mikono ya mafisadi. Anything else is just icing on the cake.
nilikuwa namjibu masunga alikuwa anamponda waziri wa uingereza kwa kutokujua kuwa Afrika ni nchi au bara, ndio nikamuuliza vp kwa mwenye phd kutokujua sadamu husein kuwa sio rais wa libya nchi iliyopo afrika??
 
nilikuwa namjibu masunga alikuwa anamponda waziri wa uingereza kwa kutokujua kuwa Afrika ni nchi au bara, ndio nikamuuliza vp kwa mwenye phd kutokujua sadamu husein kuwa sio rais wa libya nchi iliyopo afrika??
Nimekuelewa mkuu.
 
Mkapa alikuwa mzuri sana katika kuimarisha taasisi. Hata hivyo taasisi hizo hazikuweza kupunguza rushwa, ufisadi, wizi wa Mali ya umma na Maendeleo yaliwalenga zaidi wageni, wawekezaji.

Nafikiri tu, Mkapa angekuwa Rais na Magufuli Waziri Mkuu.

Kwa mahali tulipofikia sasa, tunahitaji kusonga Mbele, washauri wa Rais waongeze bidii, wazee wa chama wasimuache mbali Mwenyekiti. Pamoja tutasonga Mbele.
 
Labda mwenzangu ni genius na wengine tuliishia darasa la saba. Ok, ame-tackle corruption ya bandarini, many kudos for that. Lakini mbona corrpution ya BOT, Escrow, Tanesco/IPTL haigusi?

Hiyo haiusiani na dictates ya my opinion, but by the fact that he does not want to bite the hand that feeds him. Publicity stunts are one thing, but real fundamental change is quite another.
Just try, try to be reasonable. How long is he in office? You seem to be in hurry seeing your problem solved. You are right, but blame yourself for allowing these to happen and accumulate over 20 years! BoT ilichomwa moto chini ya mtu ambaye leo hii eti naye anajidai reasonable kutoa mawazo ya maana! So stupidly support is reflected when you people now seem to have forgotten the recently misleadership by the so called wa awamu ya 4.
 
Just try, try to be reasonable. How long is he in office? You seem to be in hurry seeing your problem solved. You are right, but blame yourself for allowing these to happen and accumulate over 20 years! BoT ilichomwa moto chini ya mtu ambaye leo hii eti naye anajidai reasonable kutoa mawazo ya maana! So stupidly support is reflected when you people now seem to have forgotten the recently misleadership by the so called wa awamu ya 4.
I haven't forgotten the past administration and that is why I always bring up IPTL and Escrow. You decry the amiable dunce from Msoga when your current hero has told all his predecessors not to worry about anything as he has got their backs. How he is going to right the previous wrongs when he reassures the main perpetrators like that? Methinks he is not going to change much, it will be superficial fix here and there.
 
Lakini ni watu kama hawa ndio wanaowapa hawa maprofesa "uchwara" nguvu za kutudharau zaidi. Kama huyo guru wao Cheeseman akifuatilia maoni ya watanzania ni vizuri apitie hapa atoe ufafanuzi.
inshu ni kupiga kazi,hamna maneno mengi.
 

[emoji23] [emoji23] [emoji23] did you notice how twat he is? The same stupid British politician without a shame is Liam Fox..

The only smart English person is Isaac Newton, the rest are empty-headed like this professor who lives in Europe and lacks observational skills about Africa [Tanzania]. He has to make his brain cells more useful for once and study before he go around posting no sense to Magufuli.

he he he he'z so stupid,BT I lyk the way he murmurs.How do thy became politicians bcoz thy don know anything asee
 
Nadhani ukoo wenu wote wanaweza kuwa na akili kama zako, nisingependa kukutusi lakini unapokunya sebleni ukiwa na akili timamu, kisha ghafla wakaja wageni..utagundua kuwa.wewe ni.........
teh teh!!!!
 
jumuiya ya kimataifa imeshamstukia, kwamba atashindwa tu katika kila apangalo

Jumuia gani ya kimataifa? Ama ni kumuia ya mafisadi na wasiopenda haki ? Watasema watachoka, NI wao watashindwa. Utajiri wao WA dhuruma utapolomoka kwani hauna nsingi.
Nahisi tuko levels tofauti za ufahamu. Yaani corruption ya bandarini, kwenye containers elfu kadhaa na meli zaidi ya 60 kutoweka wewe unaita ni petty crooks! Do you have any reference standard for such nomenclature? Then you need me talk about escrow, why? The president is more informed on this than you. He has all the apparatus for knowing the truth than you. Importantly, the past regimes cultivated a good number of thieves. Now, where or which to start with cannot be dictated by your opinion.

Tulia kama baba, mama, kaka, dada, mjomba atakumbwa kwa miaka 5 hii, vumilia na uwashauri kutafuta kazi halali. waambie pesa haipatikani kwa ujanja, it's performance.
Akimaliza miaka 10 tumuongezee mingine 10 asafishe Tanzania kabisa.
 
Hommie.. I apologise to the rest of the world for these numpties [emoji23] [emoji23] [emoji23].. So a stupid who lives in Europe will tell what African context is? What a stupid joke white people are.
Small Minds at work...
 
Jumuia gani ya kimataifa? Ama ni kumuia ya mafisadi na wasiopenda haki ? Watasema watachoka, NI wao watashindwa. Utajiri wao WA dhuruma utapolomoka kwani hauna nsingi.

Akimaliza miaka 10 tumuongezee mingine 10 asafishe Tanzania kabisa.
mama obama(michelle),kwa saa za afrika mashariki,huku ni mchana,naona unaandika kama uko usingizini,uko USA?
 
Umeelewa alichokuwa anasoma huyo waziri kwenye hiyo video? Au umesoma niliyoyaandika halafu ukakimbilia kuninakili!

Haya angalia tena hii video, halafu uniambie aliulizwa nini akashindwa kujibu wala kujieleza.

he he he alikua anaweka kiwingu tu,hana jeur ya kuelewa hapo.Hiv yule dogo Yan yuko wap cku hiz
 
August 2016
Dar-es-Salaam, Tanzania

TANZANIA: THIS WEEK IN PERSPECTIVE NEW CCM LEADERSHIP


Source: David Lukanga

Thank you so much for bringing this discussion by these dons or may I call them sages about Magufuli. I am glad they concur with the points I used to critique Prof. Cheeseman's diatribe against Magufuli.
 
Back
Top Bottom