The dark side of business

The dark side of business

Huo upande wa giza ndio wenye tija. Waliofanikiwa wooooooote, wamepitia huo upande wa giza. Mtu asikudanganye eti ni Mungu tu!!! Ila ujue mafanikio ni siri na siri ndio mafanikio yenyewe.
Ni kweli wapo walitoboa kwa nguvu za giza lkn pia wapo waliotoboa kwa kumtegemea M-ngu, light side is the best
 
Pale kwenye search andika"why G-d and not God then search
Nimepitia mkuu ila kwa nilivoelewa msingi wao ni katika zile ten commandments katika ile sehemu inasema usilataje bure jina la bwana mungu wako kama nipo wrong elezea kidogo end hii website mbona ina lengo la kuwapa maarifa wa Jewish only?
 
Hizo ni imani na matambiko tu hayana uhusiano wowote na mafanikio yao

Na wewe kachinje mbuzi ma utoe kafara uone kama utatoboa?

Hao jamaa wana mitaji na management nzuri na experience ya biashara

Familia na koo za Kihindi hapa Afrika Mashariki ni za muda mrefu, wanafanyabiashara tangu Tanganyika koloni la Uingereza

Ndio maana mikoa kadhaa Tanzania kuna mitaa inaitwa Uhindini jiulize kwa nini.

Kuna hii point aliwahi kuizungumza Mzee wa kupambania kwenye uzi mmoja ina ukweli sana:

Koo nyingi za Kihindi zilohama kutoka India miaka ya zamani na kwenda maeneo mmbalimbali kama East Africa, S.A, Canada, Uingereza n.k zilikuwa za wafanyabiashara

Mfano ni familia ya Karimjee hii ndiyo familia ya kwanza kuingiza na kuuza magari ya brand ya Toyota hapa Tanzania mwaka 1965. Mpaka leo kampuni ya Toyota wameweka hilo kwenye kumbukumbu zao. Karimjee waliingia East Africa mwaka 1825

Familia ya akina Gulam Dewji baba yake na Mo ni hivyohivyo ni wafanyabiashara wenye asili ya Kihindi waliokuja East Africa kama wafanyabiashara mwanzoni mwa miaka ya 1800s

Ndivyo na Wahindi waliohamia mataifa mengine. Kwa hiyo ni familia ambazo zina historia ya pesa na vibunda tangu miaka hiyo. Hebu imagine tangu 1800s watu wanapiga business!

Kwa hiyo ni mwendo wa kurithishana vibunda. Na koo zinakua kuoa na kuolewa na kupeana mitaji.


Ndio maana unaona hawa Wahindi wachache waliopo hapa wanaonekana wako vizuri financially
HAwa washenzi toka Asia wote ni parasites , Mungu anisaidie niwe rais ,nafukuzia hizi simbilisi toka Asia zote .
Natumia policy ya Idd Amin
 
Nimepitia mkuu ila kwa nilivoelewa msingi wao ni katika zile ten commandments katika ile sehemu inasema usilataje bure jina la bwana mungu wako kama nipo wrong elezea kidogo end hii website mbona ina lengo la kuwapa maarifa wa Jewish only?
Kwa sehemu uko sahihi,jina la M-ngu linatajwa kwenye sacred issues tu zinazomhusu,ila kwny mambo mengine inatakiwa atajwe kwa codes
 
Siku zote utajiri wa kiroho, kichawi, kishetani na kishirikina Husikika tu kwa waafrika maskini choka mbaya.

Kama kuna utajiri wa kishetani kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi watu kama kina Mo Dewj, Bakhressa, Elon musk, Bill gates, warren Buffet, Jeff Bezos na matajiri wengine wakubwa.

Au huyo shetani na yeye pesa zake ni za kuunga unga?
Tatizo hela zingine zote duniani hawajaweka "in god we trust" kwa hiyo shetani akiio a tuu dollar nguvu inakata
 
Back
Top Bottom