The dark side of business

The dark side of business

mlivyo wafupi vibonge mtakuwa tu wachawi
😹🤣🤣🤣🤣
Wewe unaokutana nao ni wakinga kweli??
Wakinga sio vibonge hao watakuwa wamemix labda na uchagani 🤣

Ile list ya waliokufa kkoo ulipitia pics zao kwa makini? Hebu sema umeona nini??

Wewe una hasira na dada zako waliodondokea bafuni, vitraco km ndimu za kiangazi na vifua vikubwa. Washukuru walipewa rangi baadhi yao 🤣🤣😹😹
 
😹🤣🤣🤣🤣
Wewe unaokutana nao ni wakinga kweli??
Wakinga sio vibonge hao watakuwa wamemix labda na uchagani 🤣

Ile list ya waliokufa kkoo ulipitia pics zao kwa makini? Hebu sema umeona nini??

Wewe una hasira na dada zako waliodondokea bafuni, vitraco km ndimu za kiangazi na vifua vikubwa. Washukuru walipewa rangi baadhi yao 🤣🤣😹😹
kunywa maji sister
 
😹🤣🤣🤣🤣
Wewe unaokutana nao ni wakinga kweli??
Wakinga sio vibonge hao watakuwa wamemix labda na uchagani 🤣

Ile list ya waliokufa kkoo ulipitia pics zao kwa makini? Hebu sema umeona nini??

Wewe una hasira na dada zako waliodondokea bafuni, vitraco km ndimu za kiangazi na vifua vikubwa. Washukuru walipewa rangi baadhi yao 🤣🤣😹😹
Aione min -me dada zake wakisimangwa
 
Inaendelea......
Nilizama ndani,nikamkuta mbaba wa makamo around 50s,huyu mtaalamu alijulikana kwa jina moja la "ngurumo"
"Karibu kijana,usiogope,umefika kwangu shida yako imekwisha"(aliongea mzee ngurumo kwa kujitapa)
Mm:nimeskia habari zako,nikasema nije nikuone,huenda ukanisaidia(nikamwelezea changamoto nilizopitia na nini nahitaji kutoka kwake)
Ngurumo:nimesaidia wafanyabiashara wengi sana,hiyo issue yako ni ndogo,akaniambia weka elfu 50 hapo kwenye kikapu,baada ya kuweka aliniambia nenda urudi usiku saa mbili,uje na njiwa.

Niliondoka,saa mbili juu ya alama nikawa nimefika
Ngurumo:kijana umekuja na yule njiwa
Mm:ndio huyu hapa
Ngurumo:sasa ngoja nimpigie dereva atupeleke lango la bahari
Ilifika saa tatu ndio dereva akaja,tukaondoka

Tukiwa njiani
Ngurumo akaniuliza yule njiwa yuko wapi?muda wote nilikuwa nimemshika lakini saa hiyo sikumwona
"Hebu simamisha gari"aliongea ngurumo kwa jazba!dereva akaweka gari pembeni,tukaanza kutafuta mule ndani ya gari hakuonekana!
Ngurumo:kijana inaonekana vita yako ni kubwa sana,nilikuwa nakuchukulia kawaida lkn naanza kuona mambo mazito(ngurumo alianza kuingiwa na wasiwasi)
Hali Kama hii haijawahi kunitokea,leo kuna nini?(mzee ngurumo alijiuliza mwenyewe,)tulipoteza Kama nusu saa pale,gafla tusikia Kama njiwa anapiga mabawa chini ya gari,kucheki kumbe yuko chini ya gari,tulijiuliza alitokaye hakuna aliyekuwa na majibu
Safari iliendelea.......
Huko lango la bahari ni mbali,tulitembea na gari kwa saa moja na nusu,hatimaye tukafika.
Hapo lango la bahari pana beach moja kubwa(sitaitaja) hapo beach Kuna harakati za kawaida zinaendelea,tukavuta siti takawa tunavuta pumzi ili tuingie baharini,mida Kama ya saa tano na nusu usiku,tukasogea baharini,nikabadili nguo nikavaa nguo za kazi,nikaanza kupiga hatua kuelekea baharini,wakati huo ngurumo yuko ufukweni,ananiambia kijana nenda,usigeuke nyuma,wewe nenda tu.. usiogope..dah usiku bahari inatisha,mkononi nilikuwa nimeshika coins,lengo la ngurumo kunileta huku bahari ni kuni connect na miungu ya pesa..
"Rusha hizo hela kwa nguvu huku ukisema,eeh miungu ya baharini nipeni utajiri,nipeni ulinzi"wakati natamka hayo maneno ghafla bahari ilifunuka mbele yangu,mzee ngurumo akasema usiogope,maombi yako yamepokelewa,rusha hizo hela haraka...nilizirusha fasta...akaniambia rudi kinyume nyume,kazi imekwisha,mapigo ya moyo yalinienda mbio sana,moyoni nikasema hakika njia ya utajiri ni ngumu ila kwa kuwa nimeshapiga one step ahead,ngoja nikomae nione mwisho utakuwaje!....tulirudi kwenye gari fasta,hatukuwa na muda wa kupoteza.....
Mzee ngurumo akaniambia bado issue moja tunaenda kuimalizia usiogope huu ndio uanaume...........
*******************"*********
Nilijua mambo yamekwisha kumbe picha ndio linaanza!hapo ilikuwa inakimbilia saa saba usiku,mzee ngurumo akamwambia dereva kimbiza gari tumebakiwa na nusu saa tu...........nini kitajiri...

nitarudi
EPisode inayofuata ukumbuke kutuambia Ngurumo kwenye utalaam wake anatumia nini kum scan mteja. NI PEMBE, kuku, kitabu n.k
Na majibu yako yalikuwaje aliona nn kwenye darubini
 
Back
Top Bottom