The dark side of business

Ukiingiza tu story za kula tunda kimasihara naacha kuusoma huu uzi ndugu mwandishi

Huwa zinaanza hivi... Yule baba ake febi alikuwa na binti anaitwa manka Basi nilivyo kuwa naenda kuongeza kitabu kingine kumbe mtoto kanielewa ila tu alikuwa haniambii Toka kitambo

HUWA ZINAKELA SANA AISE ZINAFANYA STORY HATA KAMA ILIKUWA NZURI INAKUWA MBAYA LABDA WATOTO NDIO HUWA WANAZIPENDA
 
Ndo maana nikeishia kusoma njiani...
 
sijipendi? ziko njemba zimeshiba. matajiri na mambo yao ya kafara. enzi hizo fundi ujenzi. kisha kesho anaenda kanisani kama mwema.
Lakini kuna mdau kasema hapo juu ukitaka hela nyingi nazo zinakua na mengi kuna matajir wana fanya vitu vya ajabu sana kwa mimi ninaona kabisa kama kuna moto basi matajiri washakubali kuwa wao ni wa motoni kwanzia matendo mpaka nafsi zao.
 
Naam
 
toka niliposhuhudia mtoto mchanga anafukiwa akiwa hai kwa ishu za kafara za matajiri. sina hamu na binadamu unaweza kuwa unamuheshimu mtu kumbe ni mtu wa hovyo kabisa. tunaipenda dunia kama tunaishi milele
Funguka Mkuu Elim ni Bahari Tupe elim
 
Elezea kidogo mkuu ili nisikuulize maswali sana, kwa hio Alkuwa ni mtoto wao wahusika au ni teketeka au hujui pia
okay si mwandishi mzuri japo pia sio kisa kirefu. hicho kipindi nilikua nafanya kazi za ujenzi. mtoto ni hao wanaoibwa/ukisikia wamepotea. mtoto aliibwa na waliopewa hiyo kazi walidakishwa chao. mtoto alipaswa kufukiwa mzima kwa masharti ya mganga kama zindiko la godown ya biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…