The dark side of business

The dark side of business

Siku zote utajiri wa kiroho, kichawi, kishetani na kishirikina Husikika tu kwa waafrika maskini choka mbaya.

Kama kuna utajiri wa kishetani kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi watu kama kina Mo Dewj, Bakhressa, Elon musk, Bill gates, warren Buffet, Jeff Bezos na matajiri wengine wakubwa.

Au huyo shetani na yeye pesa zake ni za kuunga unga?
Oya mleta mada ndio analeta maelezo yeye kashapita kote huko atatupa ABC zote wewe vuta siti kaa hapo usikilize na usome kwa kutulia usijitie kujua wakati haujui
 
Hakuna dark side ya Wahindi ni kwamba hao jamaa wana mitaji
Wangapi Wana mitaji na BIASHARA Zina wafia mikononi.

Mimi nacho jua BIASHARA nyingi Sana natolea mfano pharmaceutical industry companies za wahindi hapa bongo.

Wahindi wanatoa Sana kafara watachinja mambuzi na makondoo na kugawa NYAMA bureee watu weusi watagombania nyama zilizo somewa kisomo na manuizi

Inabidi uwe na mtaji lakini business Zinaendeshwa kwa invoices za siku 30's mpaka 90's days ziki mature ndio una pay..

BIASHARA ni MAARIFA na kua na taarifa nyingi za BIASHARA husika (information is power) Kuna Siri nyingi na nyingine huwezi ziona Wala kuambiwa Kuna nature of customers na mambo mengi mengi
 
Wangapi Wana mitaji na BIASHARA Zina wafia mikononi.

Mimi nacho jua BIASHARA nyingi Sana natolea mfano pharmaceutical industry companies za wahindi hapa bongo.

Wahindi wanatoa Sana kafara watachinja mambuzi na makondoo na kugawa NYAMA bureee watu weusi watagombania nyama zilizo somewa kisomo na manuizi

Inabidi uwe na mtaji lakini business Zinaendeshwa kwa invoices za siku 30's mpaka 90's days ziki mature ndio una pay..

BIASHARA ni MAARIFA na kua na taarifa nyingi za BIASHARA husika (information is power) Kuna Siri nyingi na nyingine huwezi ziona Wala kuambiwa Kuna nature of customers na mambo mengi mengi
Hizo ni imani na matambiko tu hayana uhusiano wowote na mafanikio yao

Na wewe kachinje mbuzi ma utoe kafara uone kama utatoboa?

Hao jamaa wana mitaji na management nzuri na experience ya biashara

Familia na koo za Kihindi hapa Afrika Mashariki ni za muda mrefu, wanafanyabiashara tangu Tanganyika koloni la Uingereza

Ndio maana mikoa kadhaa Tanzania kuna mitaa inaitwa Uhindini jiulize kwa nini.

Kuna hii point aliwahi kuizungumza Mzee wa kupambania kwenye uzi mmoja ina ukweli sana:

Koo nyingi za Kihindi zilohama kutoka India miaka ya zamani na kwenda maeneo mmbalimbali kama East Africa, S.A, Canada, Uingereza n.k zilikuwa za wafanyabiashara

Mfano ni familia ya Karimjee hii ndiyo familia ya kwanza kuingiza na kuuza magari ya brand ya Toyota hapa Tanzania mwaka 1965. Mpaka leo kampuni ya Toyota wameweka hilo kwenye kumbukumbu zao. Karimjee waliingia East Africa mwaka 1825

Familia ya akina Gulam Dewji baba yake na Mo ni hivyohivyo ni wafanyabiashara wenye asili ya Kihindi waliokuja East Africa kama wafanyabiashara mwanzoni mwa miaka ya 1800s

Ndivyo na Wahindi waliohamia mataifa mengine. Kwa hiyo ni familia ambazo zina historia ya pesa na vibunda tangu miaka hiyo. Hebu imagine tangu 1800s watu wanapiga business!

Kwa hiyo ni mwendo wa kurithishana vibunda. Na koo zinakua kuoa na kuolewa na kupeana mitaji.


Ndio maana unaona hawa Wahindi wachache waliopo hapa wanaonekana wako vizuri financially
 

JamiiForums

Inaendelea................

Kuna uzi wangu niliutupia hapa unasema"experience ya miaka 15 ya kijiajiri(nadiriki kusema business is a sure way onto true riches)"kwenye huo uzi sikuelezea hiyo miaka 15 nilikuwa nafanya mishe gani, simply ilikuwa ni mishe ya vocha(wholesale)

Sasa baada ya kumaliza six,nilirudi mtaani na harakati za biashara zikaanza rasmi,kuna biashara ndogo nilianzisha lkn mawazo yangu yalikuwa ni mishe ya vocha za jumla, sema mtaji ulikuwa kipengele,so nikavutavuta siku mpk naingia chuo,ile biashara mdogo ilienda poa kimtindo,kuna dogo nilikuwa namwacha shop,mm naendelea na kitabu,nikapata boom(kwny intake yetu tulichelewa kupata,so tukapewa lumpsum ya mwaka mzima ilikuwa Kama 2.4M),chap nikaigeuza kuwa mtaji wa Biashara ya ndoto zangu,hii biashara ya vocha ni kama Biashara ya mafuta,faida yake ni ndogo sana lkn ukiuza mzigo mkubwa faida unaiona,kipindi hicho hii mishe ilikuwa 🔥 🔥 ila now days ni ya kawaida sana,kuuza mzigo wa milioni 5 kwa siku ilikuwa ni jambo la kawaida,nilichanganya shule na biashara kwasababu sikuwa na gutts tena za kusubiri mpk nimalize.
Chuo kilipoisha,
Kwa kweli sikuwa hata na chembe ya kutafuta ajira ijapokuwa matokeo yalikuwa mazuri,washkaji niliomaliza nao walikimbilia ajira,mimi nikaingia rasmi kwenye biashara ya vocha za jumla, wakati namaliza chuo mtaji ulikuwa kama 3M hv lkn ndani ya miezi sita mtaji ukafika 10M miezi sita mingine ikafika 20M,kwa waliofanya mishe hii backdays wanajua kama ukiuza mzigo wa milioni basi faida ni elfu 20,nilikuwa nauza mpk 8M kwa siku,kukunja laki hadi laki na nusu perday ilikuwa kawaida,dat time nikanunua kiwanja,nikajenga maflemu kama nane,then kwa nyuma niliplan kujenga apartments za kupangisha,nilinunua hiace(daladala)ili nitanue wigo,it was amazingl!coz I was just 23,nikazidi kusema "business is a quickest way onto riches" ila sikujua kuwa business is also a riskiest way onto riches,kwa ufupi ile side A ya biashara niliimaster ipasavyo,nilipiga kazi sana mpk watu wakahisi natumia ndumba,kwasababu ofisini watu walikuwa wanajaa,foleni kama nmb,hakika biashara na maisha kwa ujumla viliniendea poa,mtaani kila mtu alitamani afanye biashara kwakile alichokiona kinatokea kwangu,nilitengeneza jina kwa muda mfupi sana ghafla yakaanza mapicha picha,mara nikute damu kwny kiti ninachokalia pale ofisini,Mara hirizi,pesa zikawa zinapotea kimazingara,hua siamini uchawi lkn hiki kilichokuwa kinatokea ni uchawi bila chenga,nilifukuza wafanyakazi lkn haikusaidia(nilihisi wananipiga)nilipiga moyo konde lkn changamoto zilizidi to the extent nikaanza kuogopa biashara,kwa kweli nilibaki njia panda,ila Kuna wazo likanijia,juu ya nini cha kufanya......................
*****************************
Biashara zina ups and downs,niliona upande mmoja,sasa dunia inanionyesha upande wa pili,nini kitaendelea baada ya kupata wazo.............usikose
 
Hizo ni imani na matambiko tu hayana uhusiano wowote na mafanikio yao

Na wewe kachinje mbuzi ma utoe kafara uone kama utatoboa?

Hao jamaa wana mitaji na management nzuri na experience ya biashara

Familia na koo za Kihindi hapa Afrika Mashariki ni za muda mrefu, wanafanyabiashara tangu Tanganyika koloni la Uingereza

Ndio maana mikoa kadhaa Tanzania kuna mitaa inaitwa Uhindini jiulize kwa nini.

Kuna hii point aliwahi kuizungumza Mzee wa kupambania kwenye uzi mmoja ina ukweli sana:

Koo nyingi za Kihindi zilohama kutoka India miaka ya zamani na kwenda maeneo mmbalimbali kama East Africa, S.A, Canada, Uingereza n.k zilikuwa za wafanyabiashara

Mfano ni familia ya Karimjee hii ndiyo familia ya kwanza kuingiza na kuuza magari ya brand ya Toyota hapa Tanzania mwaka 1965. Mpaka leo kampuni ya Toyota wameweka hilo kwenye kumbukumbu zao. Karimjee waliingia East Africa mwaka 1825

Familia ya akina Gulam Dewji baba yake na Mo ni hivyohivyo ni wafanyabiashara wenye asili ya Kihindi waliokuja East Africa kama wafanyabiashara mwanzoni mwa miaka ya 1800s

Ndivyo na Wahindi waliohamia mataifa mengine. Kwa hiyo ni familia ambazo zina historia ya pesa na vibunda tangu miaka hiyo. Hebu imagine tangu 1800s watu wanapiga business!

Kwa hiyo ni mwendo wa kurithishana vibunda. Na koo zinakua kuoa na kuolewa na kupeana mitaji.


Ndio maana unaona hawa Wahindi wachache waliopo hapa wanaonekana wako vizuri financially
Acha ubishi broo,biashara zina siri nyingi sana
 
Hizo ni imani na matambiko tu hayana uhusiano wowote na mafanikio yao

Na wewe kachinje mbuzi ma utoe kafara uone kama utatoboa?

Hao jamaa wana mitaji na management nzuri na experience ya biashara

Familia na koo za Kihindi hapa Afrika Mashariki ni za muda mrefu, wanafanyabiashara tangu Tanganyika koloni la Uingereza

Ndio maana mikoa kadhaa Tanzania kuna mitaa inaitwa Uhindini jiulize kwa nini.

Kuna hii point aliwahi kuizungumza Mzee wa kupambania kwenye uzi mmoja ina ukweli sana:

Koo nyingi za Kihindi zilohama kutoka India miaka ya zamani na kwenda maeneo mmbalimbali kama East Africa, S.A, Canada, Uingereza n.k zilikuwa za wafanyabiashara

Mfano ni familia ya Karimjee hii ndiyo familia ya kwanza kuingiza na kuuza magari ya brand ya Toyota hapa Tanzania mwaka 1965. Mpaka leo kampuni ya Toyota wameweka hilo kwenye kumbukumbu zao. Karimjee waliingia East Africa mwaka 1825

Familia ya akina Gulam Dewji baba yake na Mo ni hivyohivyo ni wafanyabiashara wenye asili ya Kihindi waliokuja East Africa kama wafanyabiashara mwanzoni mwa miaka ya 1800s

Ndivyo na Wahindi waliohamia mataifa mengine. Kwa hiyo ni familia ambazo zina historia ya pesa na vibunda tangu miaka hiyo. Hebu imagine tangu 1800s watu wanapiga business!

Kwa hiyo ni mwendo wa kurithishana vibunda. Na koo zinakua kuoa na kuolewa na kupeana mitaji.


Ndio maana unaona hawa Wahindi wachache waliopo hapa wanaonekana wako vizuri financially
Nimeipenda hii
 
Nakubali mkuu unaweza fungua biashara, siku za mwanzon mwanzon mambo yakaenda fresh wateja wanajaa mzigo unauza unaisha faida inaongezeka mtaji unauona unakua kabisa mala ghafla mapicha picha yanaanza wateja wanakata mzigo unadoda unashinda imesinzia dukani hatimae una give up.... Aisee nguvu hasi kwenye biashara zipo aisee hata mim nilikuwa siamini haya mambo mpaka pale nilipopakana na mnyantuzu mmoja na tukawa tunafanya biashara Moja... Aisee Hawa watu washenzi sanaa🤣
 
Back
Top Bottom