The dark side of business

The dark side of business

Hakuna dark side ya Wahindi ni kwamba hao jamaa wana mitaji
Dah
Hao Jamaal ana frem ya futi kadhaa alafu store yake size ya godwn
Hawa Jamaa Wana mtaji mkubwa mnooo
Hizo ni imani na matambiko tu hayana uhusiano wowote na mafanikio yao

Na wewe kachinje mbuzi ma utoe kafara uone kama utatoboa?

Hao jamaa wana mitaji na management nzuri na experience ya biashara

Familia na koo za Kihindi hapa Afrika Mashariki ni za muda mrefu, wanafanyabiashara tangu Tanganyika koloni la Uingereza

Ndio maana mikoa kadhaa Tanzania kuna mitaa inaitwa Uhindini jiulize kwa nini.

Kuna hii point aliwahi kuizungumza Mzee wa kupambania kwenye uzi mmoja ina ukweli sana:

Koo nyingi za Kihindi zilohama kutoka India miaka ya zamani na kwenda maeneo mmbalimbali kama East Africa, S.A, Canada, Uingereza n.k zilikuwa za wafanyabiashara

Mfano ni familia ya Karimjee hii ndiyo familia ya kwanza kuingiza na kuuza magari ya brand ya Toyota hapa Tanzania mwaka 1965. Mpaka leo kampuni ya Toyota wameweka hilo kwenye kumbukumbu zao. Karimjee waliingia East Africa mwaka 1825

Familia ya akina Gulam Dewji baba yake na Mo ni hivyohivyo ni wafanyabiashara wenye asili ya Kihindi waliokuja East Africa kama wafanyabiashara mwanzoni mwa miaka ya 1800s

Ndivyo na Wahindi waliohamia mataifa mengine. Kwa hiyo ni familia ambazo zina historia ya pesa na vibunda tangu miaka hiyo. Hebu imagine tangu 1800s watu wanapiga business!

Kwa hiyo ni mwendo wa kurithishana vibunda. Na koo zinakua kuoa na kuolewa na kupeana mitaji.


Ndio maana unaona hawa Wahindi wachache waliopo hapa wanaonekana wako vizuri financially
Mfano mzuri Ni Kenya
90% ya viwanda Ni wahindi
9% Somali
1% Kenyans

Viwanda vikunwa vyoooote unavyooona kuanzia kina Kimbo mwenye Jamaa
Yaani wooote wahindi
 
kweli.

hata mtu mwenye imani za kishirikina anaweza kutajirika, juhudi binafsi na mambo yaliyo nje ya uwezo wake yakimuendea sawa anatajirika

shida mtu kama huyu atasambaza habari za uongo kuhusu utajiri na watu watamuamini, si wanaona hela anazo?

ila sio vibaya, si tunajua tayari kwamba utajiri haubagui imani/mitazamo ya kiroho?

kila mtu ashinde mechi zake
Hi Elon Musk Ni Dini gani
 
Dah
Hao Jamaal ana frem ya futi kadhaa alafu store yake size ya godwn
Hawa Jamaa Wana mtaji mkubwa mnooo

Mfano mzuri Ni Kenya
90% ya viwanda Ni wahindi
9% Somali
1% Kenyans

Viwanda vikunwa vyoooote unavyooona kuanzia kina Kimbo mwenye Jamaa
Yaani wooote wahindi
Huu ndio ukweli nashangaa wanaokimbilia kusema jamaa wanatoa kafara

Masikini huwa wanaamini sana kwenye ushirikina
 
Tanzanian Dream huu muendelezo mboni km unatoka kwenye reli mkuu?

Tulichokitarajia na Heading inavyosoma na ulichoelezea mwanzo mboni kwenye muendelezo vinaanza kupingana pingana hivi, umeeleza in general summary kitu kilichotakiwa uelezee in detail unasema pale mwanzo Baba wa mshikaji wako alikua guru wa mambo fulani na wahindi wana mambo fulani meusi meusi ulipokuja kuendelea ukaficha white hujaelezea chochote na wala hujataka tujue chochote, simulizi inakosa utamu ndio maana nikakuuliza jamaa wamekuwahi PM usiwachome?

Sikia mkuu sisi hapa hatutaki hayo maelezo ya kwenye Ofisi yako madamu sijui kufukuza wafanyakazi na mengine tunataka urudi pale kwenye point ile ya mwanzo maana pale ndio umetuweka standby maana hii ya pili tunajua kilichofuata hukwenda kwa Mchungaji ulienda kwa Mganga, sasa acha hio rudi nyuma pale tuelezee kuhusu ulichoandika pale mwanzo kuhusu Mzee Fabi na Wahindi ulisema utaelezea mboni umeruka?
Mzee wa 0-10,unataka nimalize kila kitu kwny post moja,nitafika tu huko kwa wakabachori!
 
Back
Top Bottom