Tanzanian Dream huu muendelezo mboni km unatoka kwenye reli mkuu?
Tulichokitarajia na Heading inavyosoma na ulichoelezea mwanzo mboni kwenye muendelezo vinaanza kupingana pingana hivi, umeeleza in general summary kitu kilichotakiwa uelezee in detail unasema pale mwanzo Baba wa mshikaji wako alikua guru wa mambo fulani na wahindi wana mambo fulani meusi meusi ulipokuja kuendelea ukaficha white hujaelezea chochote na wala hujataka tujue chochote, simulizi inakosa utamu ndio maana nikakuuliza jamaa wamekuwahi PM usiwachome?
Sikia mkuu sisi hapa hatutaki hayo maelezo ya kwenye Ofisi yako madamu sijui kufukuza wafanyakazi na mengine tunataka urudi pale kwenye point ile ya mwanzo maana pale ndio umetuweka standby maana hii ya pili tunajua kilichofuata hukwenda kwa Mchungaji ulienda kwa Mganga, sasa acha hio rudi nyuma pale tuelezee kuhusu ulichoandika pale mwanzo kuhusu Mzee Fabi na Wahindi ulisema utaelezea mboni umeruka?