hmaloh
Senior Member
- Nov 22, 2018
- 162
- 314
Lini mkuu unatuletea hizo 7 laws???Nitakapo leta 7 laws nitagusia na issue za protection humo ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini mkuu unatuletea hizo 7 laws???Nitakapo leta 7 laws nitagusia na issue za protection humo ndani
It could be betterHuu uzi ulijikita kuonyesha dark side,labda next time nije na uzi wa light side.
Post # 775 episode 12Tunasubiri muendelezo jamaa
He's goneJana nimemuota hapa nimetoka kuvunja kikoba nataka nikalisalimie kabuli lake 🥹
Yap! 🥹He's gone
Vipimo tulishapata mkuuPole mkuu.
Kama hamjapitia vipimo vya kiafya fanyeni hivyo wewe na mkeo ili mjue kikwazo.
Tanzanian DreamNaomba ushauri Tanzanian Dream ,Binafsi sijawai shiriki maaganoya kiganga , lakini mke wangu aliniambia aliwai kwenda kwa mganga na walichinja kuku, then akanywa damu nadhani kwasababu ya changamoto za uzazi , pia na waliwai vunja nazi, na alipewa dawa za kunywa ,kupaka n.k.. NB: alifanya mm sikuwepo akaja kunambia baada ya 2 month ivi.. na nilikua na mkataza mambo ya waganga lakini alizunguka, Hadi sasi hivi hajafanikiwa.. still nampleka kanisani na kwenye maombi anaenda, lakini sijui kama ametoka kwenye madhabau au la? Kama unachochote cha kunishauri karibu mkuu unisaidie..
Pia nawengine nawakaribisha kwa ushauri.
Kama ni uzi mpya usiache kututag wadau tunaohitaji kujua hizo 7 natural laws and the light ways in advance.Nadhani uzi mpya itapendeza zaidi
Kuna ukweli wa tatizo uliobainika?Vipimo tulishapata mkuu
Sasa kama mwanamke amekwisha ingia huko na kama anafanya hivyo kutokana na tishio la kuachwa na wewe basi ondoa hicho kikwazo na kuwa karibu naye muda mwingi kama inawezekana.Vipimo tulishapata mkuu
/Tanzanian Dream hii post tunaomba uifanyie kazi,Mkuu huoni kwamba hapo umefundisha watu zaidi hiyo dark path na sio the right one??
Kwanini walau usiongeze episode moja ya jinsi ulivyotoka huko na Yesu kukukomboa?? Kwanini usielezee jinsi nuru inafanya kazi??
Dah!sio mchezo,hii wiki nilikuwa nalala saa tisa usiku....mpk recho akawa ananiambia unalipwa!😀😀Tungeenda mdogo mdogo tu mkuu,sema umechoka kuandika
Story imeisha pasipo story za kugegedana
Yaani kweli kabisa... mara kuna siri kubwa mara ushirikina mara wana mitaji sijui... ila usisahau wahindi wenyewe wametuzidi akili hilo tukubali kwanza. Then tuanze kutibu ugonjwa wa umaskiniWatanzania tunapenda mazingaombwe [emoji23][emoji23][emoji23]
Pm yangu itakuwa na shida,nimesharipot kwa moderator ndio nasikiliziahaujibu PM mkuu
Kwa uelewa wako dua za albadril ni ushirikina? Na je inafanya kazi?Pm yangu itakuwa na shida,nimesharipot kwa moderator ndio nasikilizia
Mkuu ukipandisha uzi wa 7 laws utuwekee link hapa.Pm yangu itakuwa na shida,nimesharipot kwa moderator ndio nasikilizia