The dark side of business

The dark side of business

Vyema mkuu!
Sasa nimepata utulivu.
Ni hivi;
Wanaume tulio wengi tukiwa na matatizo ya uzazi tunawabebesha wake zetu zigo lote la lawama.
Sasa kama uko vyema,mchukue mkeo bila kumtaarifu jina na sehemu ilipo hospital mkafanye vipimo yakinifu maana hawa wanawake ni mafya.

Pia baadhi ya wanawake wana historia mbaya ya maisha yao kabla ya kuolewa,sasa unaweza kukuta aliwahi kutoa mimba kienyeji hali inayoweza pelekea kuharibu mfumo wa uzazi na kizazi chote kung'olewa.

Sasa huwa HAWAKO TAYARI KUWEKA WAZI bali atakupa ushirikiano ktk juhudi za ufumbuzi wa tatizo.
Atatafuta wataalamu hewa na shuhuda lukuki,wewe utamuwezesha lkn kumbe hapo ni fedha tu zinakusanywa kwani chanzo cha tatizo ni yeye na anajua bayana kuwa HALITATULIKI.
Nilisha pima nae, lkn historically alikuwa na mtu kwenye relation kam miaka miwili ivi bila matokeo, ila jamaa alikimbia na kumwacha..
Hii niliipata baada ya kufuatialia sanaa tatizo nini na aliniambia mwenyewe
 
Ten quotes from the thread "the dark side of business"
business is a sure way onto riches,
By tanzanian dream
ukitaka upate wazo zuri la Biashara angalia customer Queueing"
By Joachim masawe"mzee fabi"
business is a quickest and riskiest way onto riches
By tanzanian dream
changamoto kwny biashara ni kawaida ila tatizo ni namna unavyozitatua
By tanzanian dream
elimu ya maisha haifundishwi shuleni,ipo katika kusoma vitabu"
By Joachim masawe"mzee fabi"
kwenye ulimwengu wa roho mtaji una matter zaidi kuliko faida
A quote from"the dark path"
kuna dimensions huwezi kuzivuka if you know nothing about spirituality,
A quote from "the dark path"
kuwa tajiri ni rahisi,kigumu ni kuulinda utajiri wako
A quote from"the dark path"
winning is in following instructions"
By Joachim masawe"mzee fabi"
do business in order to become a great investor"
By legendary Joachim masawe
 
Mkuu,
Hivi ukifunga ndoa Bomani yaani serikalini pekee bila kufanya hivyo kwenye dini (Kanisani) kunakuwa na shida yoyote?
Ndoa ya bomani,ndoa ya kimila,ndoa zote ni ndoa halali ikiwa tu kuna malidhiano ya pande mbili,kuna baraka za wazazi na kuna mashahidi,hapo ndoa imekamilika
 
Back
Top Bottom