Mr IQ
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 1,024
- 1,377
Sina tatizoKuna uwezekano wewe hauna tatizo kwenye mfumo wa uzazi? Jambo moja na ni muhimu kulitambua ni kwamba sisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina tatizoKuna uwezekano wewe hauna tatizo kwenye mfumo wa uzazi? Jambo moja na ni muhimu kulitambua ni kwamba sisi
Sawa mkuu.. ila ujasiri sina mkuu... ila ngoja niombe mungu kwenye hiliFunga naye ndoa kulingana na imani yako,utakuja kunishukuru
Nilisha pima nae, lkn historically alikuwa na mtu kwenye relation kam miaka miwili ivi bila matokeo, ila jamaa alikimbia na kumwacha..Vyema mkuu!
Sasa nimepata utulivu.
Ni hivi;
Wanaume tulio wengi tukiwa na matatizo ya uzazi tunawabebesha wake zetu zigo lote la lawama.
Sasa kama uko vyema,mchukue mkeo bila kumtaarifu jina na sehemu ilipo hospital mkafanye vipimo yakinifu maana hawa wanawake ni mafya.
Pia baadhi ya wanawake wana historia mbaya ya maisha yao kabla ya kuolewa,sasa unaweza kukuta aliwahi kutoa mimba kienyeji hali inayoweza pelekea kuharibu mfumo wa uzazi na kizazi chote kung'olewa.
Sasa huwa HAWAKO TAYARI KUWEKA WAZI bali atakupa ushirikiano ktk juhudi za ufumbuzi wa tatizo.
Atatafuta wataalamu hewa na shuhuda lukuki,wewe utamuwezesha lkn kumbe hapo ni fedha tu zinakusanywa kwani chanzo cha tatizo ni yeye na anajua bayana kuwa HALITATULIKI.
Samahani,naomba uje pm.Nilisha pima nae, lkn historically alikuwa na mtu kwenye relation kam miaka miwili ivi bila matokeo, ila jamaa alikimbia na kumwacha..
Hii niliipata baada ya kufuatialia sanaa tatizo nini na aliniambia mwenyewe
Mkuu,Funga naye ndoa kulingana na imani yako,utakuja kunishukuru
Mr IQSamahani,naomba uje pm.
Amenipa maelezo kwa ufupi ila surely nilichopata ni spiritual blood za familia, lkn inahitaji ufuatiliaj wa kina sanaa
Duh, Hivyo rangi ya zambarau inanikumbusha ile tamthilia ya Aladin,Kuna jini inaitwa Angutika Jin.DJ Murphy anamuita Darius. Rangi ya zambarau.Iran sio waarabu
tusaidiane kaka namna ya kutatua tatizo.Amenipa maelezo kwa ufupi ila surely nilichopata ni spiritual blood za familia, lkn inahitaji ufuatiliaj wa kina sanaa
By tanzanian dreambusiness is a sure way onto riches,
By Joachim masawe"mzee fabi"ukitaka upate wazo zuri la Biashara angalia customer Queueing"
By tanzanian dreambusiness is a quickest and riskiest way onto riches
By tanzanian dreamchangamoto kwny biashara ni kawaida ila tatizo ni namna unavyozitatua
By Joachim masawe"mzee fabi"elimu ya maisha haifundishwi shuleni,ipo katika kusoma vitabu"
A quote from"the dark path"kwenye ulimwengu wa roho mtaji una matter zaidi kuliko faida
A quote from "the dark path"kuna dimensions huwezi kuzivuka if you know nothing about spirituality,
A quote from"the dark path"kuwa tajiri ni rahisi,kigumu ni kuulinda utajiri wako
By Joachim masawe"mzee fabi"winning is in following instructions"
By legendary Joachim masawedo business in order to become a great investor"
Mzigo uko jikoni,soon utakuwa mezaniMkuu 7 laws tayari au bado?
tunaisubiri hiyo thread tufunge mwaka.Mzigo uko jikoni,soon utakuwa mezani
Dj murphy atakuwa anawajua sana hao viumbe,maana hilo jina Darius ni jina la ki persianDuh, Hivyo rangi ya zambarau inanikumbusha ile tamthilia ya Aladin,Kuna jini inaitwa Angutika Jin.DJ Murphy anamuita Darius. Rangi ya zambarau.
Ndoa ya bomani,ndoa ya kimila,ndoa zote ni ndoa halali ikiwa tu kuna malidhiano ya pande mbili,kuna baraka za wazazi na kuna mashahidi,hapo ndoa imekamilikaMkuu,
Hivi ukifunga ndoa Bomani yaani serikalini pekee bila kufanya hivyo kwenye dini (Kanisani) kunakuwa na shida yoyote?